- Thread starter
- #81
tatizo hili ni serikari ya awamu hii tu,mbona enzi za mkapa ,mwinyi hata nyerere hilo halikuwepo,tatizo kaugeuza uraisi kuwa wa familia ,halafu kingine mume mwenywe kila siku safari sasa yeye akae nyumbani asubiri,mnakijua alichofuata uko
Hatukusikia mtu kama Ridhiwan kwa mfano!