Kanyafu Nkanwa
JF-Expert Member
- Jul 8, 2010
- 849
- 103
- Thread starter
- #41
So far this is nice response kwa aliyeanzisha thread.
Lazima tukubali kuwa watu wametofautiana na mabavu na hasira huwa havimbadilishi mtu , kama wengi wa wanachadema wanavyojivua nguo humu. Hoja hujibiwa kwa hoja, kujibu kwa vituko havisaidii uchaguzi si umepita?
Ndiyo bwana. Ni kweli hasa. Tatizo mara nyingi mtu ukimbana kwenye sehemu zote anashindwa kuwa kimya na kusema chochote. Hiyo ndiyo shida ya watu wachache.