Dr. Slaa kuzungumza na Vyombo vya Habari, Serena Hotel - Septemba 1, 2015

Status
Not open for further replies.
Naona Ufipa sasa inasambaratika kama Russia daah!!
Mkuu Ritz, kumbuka wewe siyo wa kwanza kufanya 'uchuro' wa kuitabiria Chadema kusambaratika.

Hata 'mabosi' wako Wassira na Nape waliwahi kutabiri kuwa ni lazima Chadema itakufa before 2015, lakini badala yake hadi hivi leo tarehe 1/9/2015, Chadema imeendelea kuwa stronger and strongest.

Nikukumbushe tu ule msemo unaosema dua la kuku halimkuti mwewe!
 
Bila shaka inawezekana mda huu ukawa umeshalala au bado una peruzi peruzi huko na huko kwenye mitandao ya kijamii mbali mbali Dr.Slaa tumesikia na kuaminishwa kwamba hapo kesho nikimaainisha badae maana ni siku nyingine sasa mda huu ninavyoandika hapa ni 12:57 usiku... utaenda kuzungumza na waandishi wa habari na kuweka wazi msimamo wako Dr.Slaa mimi binafsi ninachokuomba Dr.Ujue chochote utakachoenda kuzungumza kama kwa lengo la kuharibu harakati hizi za mabadiliko Dr.Utakuwa hujatutendea haki kabisa kabisa wanabadiliko..mimi ni mmoja wapo niliyetokea kukuamini na kukupenda sana sababu ya kupambana kwa ajili ya mabiliko lengo kubwa ilikuwa ni kubadili mfumo mzima wa chama tawala wakae pembeni sasa kama kuna njia nyingine ambayo inaweza ikarahisisha hawa jamaa waondoke Dr.Slaa kwa nini unataka utuvunje mioyo yetu kisa ni Urais tu Dr.? nakuomba mzee wangu Slaa utusaidie afadhari kukaa kimya kuliko kwenda kuongea tena lengo ni kusamaratisha UKAWA taarifa zilizopo ni kwamba utaenda kuzungumza kwa udhamini wa ccm...Nina mengi kwako Dr.Slaa lakini lengo kubwa ni kukuomba kutofanya lolote ambalo linaweza likaharibu utaratibu mzima wa mabadiliko haya..Natumaini Mungu atakuongoza Dr.Katika hilo.
wako mtiifu mwanachama hai wa CHAUMA.

Wanatumia nguvu ya fedha kufanya hii nchi watakavyo lakini hakika Mungu atapigana nao
 
Chadema inakuhusu nini wewe gamba ?

Hukuona wana CDM kwenye mkutano mkuu uliorushwa live kwenye TV?. Hao ndio CDM kwenye vikao halali vya maamuzi. Hata hawa waliojiunga hivi karibuni nao ni wana CDM na wana haki kama wana CDM wengine. Hiyo CDM asili na CDM maslahi ni ya kwenu magamba, kwetu wana CDM, chama chetu ni kimoja na wanachama wote tuna haki sawa.

Na mwaka huu hamchomoki. Mtatutambua tarehe 25 October.
 
Let him be free to do whatever he thinks to be right.

Yeye hata angeongea nini hakuna kitakachobadili msimamo wa Watanzania kufanya mabadiliko.

Ccm wanatumia nguvu kubwa pesa nyingi kuzuia wimbi hili la mabadiliko hakika wanajisumbua bure

Hakuna anayeweza kuzuia wimbi la mabadiliko tanzania,labda Mungu ahairishe wimbi hili
 
HIVI KARIBUNI KUMEZUKA TENDENCY YA WATU WANAOJIITA TEAM LOWASSA KUWAKEBEHI NA KUWAKEJELI WALE WANACHADEMA ASILIA WANAOWAPINGA MITAZAMO YAOHUU NI MTIZAMO YAO.
Wengi miongoni mwa chadema asilia ni kama wamesusa hivi na wanahisi kupuuzwa na chama, chadema maslahi kwasasa ndo kila kitu, wanajifanya wao ndo chadema sanaaaaa!

WAKATI AKINA DR SLAA WANAHENYA KUKIJENGA CHAMA WAO WALIKUWA CCM WANAKULA BATA. Baada ya chama kunawiri na kupendeza,wamekivamia, wamekinunua na wanaanza kuleta jeuri. Kwanini wasingeenda kukinunua TADEA AU UMD? ACHENI DHARAU KWA WALE WALIOKIJENGA CHAMA. LEO MMEMTUKANA SANA DR SLAA BAADA YA KUSIKA KUWA ATAZUNGUMZA NA VYOMBO VYA HABARI
Binafsi sijaona hiyo dharau... To say the least Ni kwqmba cdm mpya has tried mno kureach to old cdm

Ila slaa kasusa, kama.demi
Imeboa
 
Bila shaka inawezekana mda huu ukawa umeshalala au bado una peruzi peruzi huko na huko kwenye mitandao ya kijamii mbali mbali Dr.Slaa tumesikia na kuaminishwa kwamba hapo kesho nikimaainisha badae maana ni siku nyingine sasa mda huu ninavyoandika hapa ni 12:57 usiku... utaenda kuzungumza na waandishi wa habari na kuweka wazi msimamo wako Dr.Slaa mimi binafsi ninachokuomba Dr.Ujue chochote utakachoenda kuzungumza kama kwa lengo la kuharibu harakati hizi za mabadiliko Dr.Utakuwa hujatutendea haki kabisa kabisa wanabadiliko..mimi ni mmoja wapo niliyetokea kukuamini na kukupenda sana sababu ya kupambana kwa ajili ya mabiliko lengo kubwa ilikuwa ni kubadili mfumo mzima wa chama tawala wakae pembeni sasa kama kuna njia nyingine ambayo inaweza ikarahisisha hawa jamaa waondoke Dr.Slaa kwa nini unataka utuvunje mioyo yetu kisa ni Urais tu Dr.? nakuomba mzee wangu Slaa utusaidie afadhari kukaa kimya kuliko kwenda kuongea tena lengo ni kusamaratisha UKAWA taarifa zilizopo ni kwamba utaenda kuzungumza kwa udhamini wa ccm...Nina mengi kwako Dr.Slaa lakini lengo kubwa ni kukuomba kutofanya lolote ambalo linaweza likaharibu utaratibu mzima wa mabadiliko haya..Natumaini Mungu atakuongoza Dr.Katika hilo.
wako mtiifu mwanachama hai wa CHAUMA.
Wewe CCM haiwezi kushindwa
 
HIVI KARIBUNI KUMEZUKA TENDENCY YA WATU WANAOJIITA TEAM LOWASSA KUWAKEBEHI NA KUWAKEJELI WALE WANACHADEMA ASILIA WANAOWAPINGA MITAZAMO YAOHUU NI MTIZAMO YAO.
Wengi miongoni mwa chadema asilia ni kama wamesusa hivi na wanahisi kupuuzwa na chama, chadema maslahi kwasasa ndo kila kitu, wanajifanya wao ndo chadema sanaaaaa!

WAKATI AKINA DR SLAA WANAHENYA KUKIJENGA CHAMA WAO WALIKUWA CCM WANAKULA BATA. Baada ya chama kunawiri na kupendeza,wamekivamia, wamekinunua na wanaanza kuleta jeuri. Kwanini wasingeenda kukinunua TADEA AU UMD? ACHENI DHARAU KWA WALE WALIOKIJENGA CHAMA. LEO MMEMTUKANA SANA DR SLAA BAADA YA KUSIKA KUWA ATAZUNGUMZA NA VYOMBO VYA HABARI
Mkuu wewe na wengine mnaosubiri kutokee 'machafuko' ndani ya chadema sababu ya huvo chokochoko zenu za cdm asilia na cdm sijui maslai mtasubiri sana.
 
Hakuna maamuzi yeyote yanayowaridhisha wote hasa kwenye issue ya siasa
Kama wengi wanaunga mkono basi wengi wape
 
11752355_1623478464577864_5350972404792047834_n.jpg
 
Kama aliweza kumsaliti Mungu Ni sisi binadamu WA kawaida,?? Hakika sauti ya wengi Ni sauti ya Mungu, kwa hiyo maamuzi Ni yake.
 
Kile kimya kirefu cha Dr. W. P. Slaa kitakwisha baada ya kuzungumza na vyombo vya habari hapo kesho tarehe 01.09.2015.

Sote hatujui atasema nini ila tuombe Mungu shetani ampitie mbali asirudi Misri.

Stay tuned.

Updates:
Atazungumza saa NANE mchana na matangazo yake yatarushwa live na Azam 2
Dr. Slaa navyojua hivi sasa yuko Israel kenda Kuhiji. Karudi lini? Mbona kamba zenu jamani zimezidi..
 
Hatimaye katibu mkuu wa Cham cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Dr. Wilbrod Slaa ameamua rasmi kuachana na siasa baada ya tafakari ya muda mrefu.

Kesho Slaa anatarajiwa kutangaza uamuzi wake huo ndani ya 'Dar es Salaam Serena hotel' ambao utakuwa ni pigo kubwa kwa vyama vinavyounda UKAWA.

Katika hatua nyingine mwanachama wa CHADEMA anayeamini katika siasa za Dr. Slaa, G Sam ameamua kumuunga mkono kutokana na mizengwe ya uteuzi wa mgombea urais ndani ya chama hicho.

"Nitapiga kura kwa Halima Mdee na mgombea udiwani wa Chadema ila siyo kwa Edward Lowassa" anasema G Sam.

G Sam anamuonea Edward Lowassa kama mgombea dhaifu sana asiyeweza kwenda sambamba na kasi ya chama hicho. Aidha G Sam anakiri kuwa hana tatizo na Edward Lowassa kuhusu mambo ya ufisadi bali ni kutokana na udhaifu unaoonekana waziwazi juu ya mgombea huyo.

Kwakuwa na wewe ni DHAIFU pia usimpe kura yako Lowassa sababu wewe inaonyesha si mwanamabadiliko na uelewa wako ni mdogo sana.

Chadema ni taasisi na hivyo hata Dr. Slaa alikuwa anafata taratibu na misingi ya chama kama ilivyo kwa Lowassa lakini kama ulikuwa unafata majina na si chama basi nahakika Chadema si mahala pake.

Ulitakiwa uwe kwenye TeamKiba hivi au TeamDiamond au hata TeamWema hivi huko hatakosa amani.

Na ninahakika kwa 100% wanaChadema hawaitaka kura yako ya masharti. "Ni bora wachache wenye malengo sawa yaliyo thabiti kuliko wengi DHAIFU, wasiojitambua wenye kufata mIkumbo" EWGM

Hata Halima Mdee usimpigie kura sababu hata yeye anaongozwa na Katiba, Kanuni, Misingi na taratibu zilezile za Chadema kama za Lowassa.
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom