my slaa, my slaa, plz don't resign.. You are our true hero and fighter.. Dont weaken us now..
Mmeshindwa kumkamata na kumfunga??Safi sana ngoja tuangalie mawasiliani yakoje, hawa wezi koko wanafikiri Tanzania ni ya kwao peke yao au ni mali yao. EL amekuwa mwizi tangu miaka ya 1970 hadi leo bado ana kiu ya pesa za walipa kodi. It will never happen whatever the case.
Kwa mtu yeyote mwenye akili timamu kazi tuliyonayo ni kuing'oa ccm kwanza mambo mengine baadaye, hatutaki ubinafsi.
Hivi Dr Slaa ana ubavu wa kupata kura za Zanzibar na za watu wa ukanda wa pwani?
Washirika muhimu sana kwenye vita hii ni CUF baasi, kama hawa wameshakubali kushirikiana mapambano haua biashara imekwisha.
Mgombea mwenza Juma Duni Haji ameshakaa sana jela kwa mateso ya ccm halafu leo Dr aje kuthubutu kusaliti harakati hizi? Atapuuzwa tu.
Watz tunamwamini Dr.Slaa na hawezi kuwa sehemu ya wezi na walaghai huku wakijivika mwamvuli Wa ukawa
hiini moja ya shida kubwa miongoni mwa WATZ, mtu akihoji basi kahongwa, jibu maswali niliyouliza ili kuonesha werevu wako. Kama huna majibu nyamaza kimya, acha mipasho na kudhalilisha serikali zilizopita na ZILIZOPOMkuu alifurumushwa Bungeni akakimbia sasa unauliza majibu au na wewe peremende zinakudumaza?
Kama sehemu ni Serena Hotel basi Dr. Slaa keishaingia mikononi mwao.. bye bye Dr. Slaa tutakukumbuka kwa ujenzi wa chama chetu ila safari yetu ya mabadiliko haipukiki "hiki kikombe ni lazima tukinywe"
slaa akihama ukawa Invisible nipige ban hadi uchaguzi uishe
Mhh!!! Haya mkuu tukutane October.
Kama leo viongozi waandamizi wa ziara za Lowassa ni Sumaye na Masha, basi ujue kuna tatizo.
Ila tuwe na uvumilivu wa kisiasa , hatuipendi ccm ila Chadema wamejichanganya.
Inaonekana ndani ya Chadema slogan iliyopo ni kanyaga twende sio mikakati ya muda kuhusu kuchukua nchi, kifupi Chadema hawana plan b zaidi ya Lowassa.!
nitakuwa wa mwisho kumdharau dr slaa, cc MTAZAMO
Mambo yanaenda muswano kwa upande wa ukawa