Kuchasoni Kuchawangu
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 603
- 340
- Thread starter
- #61
Dr slaa:
Mapolisi mnatuaibisha jana kule Rwenzera kijana wetu amepigwa na watu wa
ccm tukampigia simu ocd hakwenda kwa wakati muafaka.Baadaye gari la
polisi linakwenda wanamchukua kijana wakamtupia kwenye gari.na ndani ya
gari alikuwepo m/kiti wa ccm na kreti la bia na viroba vya konyagi
askari wamelewa.nawaagiza mapolisi kama mmeshindwa kazi vueni magwanda
yetu mturudishie.
tumekuja kuwajaza ujasiri, tumekuja kuwapa matumaini, tumekuja kuwaambia ukombozi uko karibu, tumekuja kuwaambia hatukubali kubaki na kusudio la kukata rufaa ili waendelea kula kuku.Tunaipindua hii haraka iwezekanavyo.