Kubwa jinga lingine hapa.- Masikini wa Mungu badala ya kuhangaika kuanzisha tawi Unguja na Songea, anaenda DC Washington kuhutubia wanachama wanne wa Chadema, atalipwa miposho, atalipwa mihela kibao kisa na mkasa hakuna wa kumwabia kitu huko Chadema, kwa kweli Mungu anipishilie mbali na hicho chama cha vipofu watupu na siasa za makengeza, hivi nyinyi mna nini vichwani mwenu?
Le Mutuz