Sio simba wa kawaida ni simba malala, Viumbe aina ya CCM hawakatizi mbele yake!!!Ataunguruma kwani ye simba....?
Ataunguruma kwani ye simba....?
Mi kiukweli slaa simkubali kugombea Urais,tatizo lake kubwa ana hasira sana,nchi haiwezi.CCM baadhi mafisadi nawachukia,ila wana majembe yana point ambayo hayana kashfa,yakitangaza kugombea yanapita bila kipingamizi.mfano.Mwakyembe,sita,Magufuli n.k.
Hahaha hahaha jibu zuri mno..maccm yanaogopa dr slaa akiwa rais watanyea debeSio simba wa kawaida ni simba malala, Viumbe aina ya CCM hawakatizi mbele yake!!!
Ataunguruma kwani ye simba....?
Ritz,Nadhani huo utakuwa mwaliko wa kina Jasusi,
Nyangau baba yako.