Dr. Slaa kuunguruma Washington D.C. Sept. 22, 2013

Dr. Slaa kuunguruma Washington D.C. Sept. 22, 2013

Wala hatuhitaji watu sampuli yako kwenye safari ya ukombo wa taifa letu.Baki huko huko mlikojitoa ufahamu. Mwili mkubwa ubongo wa sisimizi.

- Vipi hoja yangu kwamba kwenda DC Washington kuwahutubia wanachama wanne badala ya kupigania kufungua matawi Songea na Unguja ni dalili za kukosa uwezo wa kufikiri vizuri, unaonaje on that mkuu sana! Sasa niambie nani hasa anakuwa na akili ya sisimizi hapo? ha! ha! ha!

Le Mutuz
 
Acha upumbavu wako mbona Sir Elton John anajulikana kuwa ni shoga?sasa usijifiche nyuma ya kujulikana kwako hivyo, kutokuficha identity yako sio sababu ya wewe kutokuwa shoga full stop!

- ha! ha! ha! ha! Dr. Slaa kwenda kuhutubia wanachama wanne DC akaacha kufungua matawi Songea na Unguja kwangu ni dalili za uwezo mdogo wa kufikiri,

- Otherwise habari za ushoga wako hakuna anyezihitaji hapa tunaongea Dr. Slaa kwenda kuhutubia wanachama wanne tu na kuacha kufungua matawi Songea na Unguja, au? ha! ha! hapa leo hamchomoki mnajua mmchemsha ndio maana manajaribu kuleta matusi tena ya kizamani sana mbona huku mujini kuna matusi mapya sana? Hamjayasikia nini? ha! ha! ha!

- LEo nimewashika pazuri sana mtajisema mashoga wote huko! ha! ha! ha!

Le Mutuz

Le Mutuz
 
- Vipi hoja yangu kwamba kwenda DC Washington kuwahutubia wanachama wanne badala ya kupigania kufungua matawi Songea na Unguja ni dalili za kukosa uwezo wa kufikiri vizuri, unaonaje on that mkuu sana! Sasa niambie nani hasa anakuwa na akili ya sisimizi hapo? ha! ha! ha!

Le Mutuz

Shikamoo Babu,Mimi nilidhani mtu ukiwa mzee unakuwa na busara lakini wapi!!??Haya Babu yangu ni hayo tu
 
- Ha! ha! ha! kumbe unafuatilia habari na picha zangu saafi sana, hapa tulikuwa tunakula good times Jumamosi at Golden Tulip na My Super Friend Mr. Albert Makoye Mkurugenzi wa Itifaki wa Miss Tanzania, pole sana mtu asipokuwa na mawazo mgando kama yako basi ni shoga! ha! ha! ha! ha! ndio maana ninakichukia sana hicho chama maana kimejaza mburulazzz kama wewe Dr. Slaa mwenyewe ame-like na hakujibu unajua why cause anajua nilichosema ni ukweli mtupu kwamba,

- Huwezi kwenda kuhangaika na Wanachama Wanne DC Washington, ukaacha kuhangaika kuanzisha Tawi Unguja na Songea ambako ni wapiga kura DC Washington hakuna wapiga kura ni simply commonsense wala huhitaji kua na PhD, inaelekea huko kwenye chama cheni kuna mashoga wengi sana maana kila kukicha asiyekubali mawazo yenu ya mgando ni shoga, poleni sana na mashoga huko Chadema u know!!

Le Mutuz

Mimi binafsi sidhani kama wewe ni shoga, ila tu ni kama kuincidence, picha kuchukuliwa namna hiyo.
 
Shikamoo Babu,Mimi nilidhani mtu ukiwa mzee unakuwa na busara lakini wapi!!??Haya Babu yangu ni hayo tu

- Yaani kumbe ninamzidi babu mwenye miaka 75 mwenye kesi mahakamani za kugombea mke na anataka Urais? ha1 ha1 ha! ha!

Le Mutuz
 
Mimi binafsi sidhani kama wewe ni shoga, ila tu ni kama kuincidence, picha kuchukuliwa namna hiyo.

- Niwe nisiwe haihusu hapa kinachohusu hapa ni Dr. Slaa kwenda kuhutubia wanachama wanne DC Washington, badala ya kuhangaika kufungua matawi Unguja na Songea ambako Chadema hamna presence kabisa, inaleta maswali mengi sana kuhusu uwezo wa kufikiri na kuelewa hapa, something is not very right!!

- Ya ushoga fungua thread yake, lakini hapa ninamkoma nyani giladi kwamba kitendo cha Dr. Slaa kwenda DC badala ya Songea kinaleta wasi wasi na uwezo wa kufikiri huko upande wa pili, au unasemaje? ha! ha!

Le Mutuz
 
- Niwe nisiwe haihusu hapa kinachohusu hapa ni Dr. Slaa kwenda kuhutubia wanachama wanne DC Washington, badala ya kuhangaika kufungua matawi Unguja na Songea ambako Chadema hamna presence kabisa, inaleta maswali mengi sana kuhusu uwezo wa kufikiri na kuelewa hapa, something is not very right!!

- Ya ushoga fungua thread yake, lakini hapa ninamkoma nyani giladi kwamba kitendo cha Dr. Slaa kwenda DC badala ya Songea kinaleta wasi wasi na uwezo wa kufikiri huko upande wa pili, au unasemaje? ha! ha!

Le Mutuz


Keep calm, relax; subiri evidence/picha.
 
- Yaani kumbe ninamzidi babu mwenye miaka 75 mwenye kesi mahakamani za kugombea mke na anataka Urais? ha1 ha1 ha! ha!

Le Mutuz

Tatizo lako badala ya kujadili issues zinazo kabili taifa letu; unaleta propaganda za kujadili personalities/. Man up bro!

Dr. anawaumiza kichwa.
 
Keep calm, relax; subiri evidence/picha.

- Evidence? Si inaeleweka Chadema DC Washington ina wanachama wangapi au, I mean hivi kweli Tawi la Chadema DC Washington linaweza kuwa na maana sana kuliko Tawi la Songea na Unguja? I mean wapiga kura hapa ni nani Songea au DC? Mbona ni commonsense zaidi mkuu kuliko hata kuwa na PhD!!

Le Mutuz
 
Tatizo lako badala ya kujadili issues zinazo kabili taifa letu; unaleta propaganda za kujadili personalities/. Man up bro!

Dr. anawaumiza kichwa.

- Ninasema hivi Chadema mko beter off kuhangaikia kuanzisha Matawi mapya Songea na Unguja kuliko kwenda kuhutubia wanachama wanne DC Washington, unasema hii ni kujadili personalities? Really?

Le Mutuz
 
Tatizo lako badala ya
kujadili issues zinazo kabili taifa letu; unaleta
propaganda za kujadili personalities/. Man up
bro!

Dr. anawaumiza kichwa.

Tatizo ni kuwa waliberali akili wamezihamishia kwenye ma------
 
- Ukitaka fungua
thread ya ushoga wa wasio na mawazo kama yako hapa hoja yngu ni moja
tu:-

- DR. SLAA KWENDA KUHUTUBIA WANACHAMA WANNE WA CHADEMA DC WASHINGTON
BADALA YA KUTUMIA HAYO MAPESA KUFUNGUA MATAWI SONGEA NA UNGUJA NI DALILI
ZA UWEZO MDOGO WA KUFIKIRI NA KUELEWA, NAOMBA UGUSE HII HOJA YA USHOGA
FUNGULIA THREAD YAKE U KNOW! HA! HA! HA!

Le Mutuz

Baharia kwani hii thread umefungua wewe, si umedandia kwa mbele tu kama kawaida ya mashoga kushobokea mukaka!
 
- Evidence? Si inaeleweka Chadema DC Washington ina wanachama wangapi au, I mean hivi kweli Tawi la Chadema DC Washington linaweza kuwa na maana sana kuliko Tawi la Songea na Unguja? I mean wapiga kura hapa ni nani Songea au DC? Mbona ni commonsense zaidi mkuu kuliko hata kuwa na PhD!!

Le Mutuz

Common sense is what you don't have. "common sense is not common"
 
- Evidence? Si inaeleweka Chadema DC Washington ina wanachama wangapi au, I mean hivi kweli Tawi la Chadema DC Washington linaweza kuwa na maana sana kuliko Tawi la Songea na Unguja? I mean wapiga kura hapa ni nani Songea au DC? Mbona ni commonsense zaidi mkuu kuliko hata kuwa na PhD!!

Le Mutuz

Hivi kweli tawi la CCM Calfornia linaweza kuwa na maana sana kuliko tawi la Songea na Unguja?
Katibu wako msaidizi yupo Calfornia leo. Kabla huja toa kidani kwenye jicho la mwenzako; jiangalie kwanza wewe.

View attachment 111854

VIJIMAMBO: MAPOKEZI YA SHANGWE KWA MHE. NCHEMBA KATIKA JIJI LA WAJANJA OAKLAND - CALIFORNIA. UFUNGUZI LEO SEPT 14 USIKOSE CHAKULA NA VINJWAJI VYA KUMWAGA. USIKOSEE !!!!!
 
Back
Top Bottom