Dr Slaa kuunguruma Temeke Jumapili hii

Dr Slaa kuunguruma Temeke Jumapili hii

Status
Not open for further replies.
ifwero bure kabisa. umedharauliwa bado hukomi saa zote kuandika ujinga tu
 
Ee mungu asante kwa kutuletea mwana mfalme na mwokozi wa wanyonge hapa kwetu.chadema tulianza na mungu na tutamaliza na mungu.Amen
 
Ee mungu asante kwa kutuletea mwana mfalme na mwokozi wa wanyonge hapa kwetu.chadema tulianza na mungu na tutamaliza na mungu.Amen
Angalia sana usiende na mke wako utakuja kujuta kama Mshumbushi.
 
Dr slaa anapapenda sana Temeke, aina ya watu wanaokaa kule ndio wale wanaokebehiwa siku zite na fans wa chadema
 
ni katika viwanja vya NHC , njia panda ya uwanja wa Taifa karibu kabisa na CHUO KIKUU CHA UALIMU - DUCE , kwa mujibu wa matangazo kutoka kwenye gari la matangazo mkutano huo utaanza majira ya saa 8 mchana . wito wangu kwa wana Temeke TUSIKOSE KUHUDHURIA MKUTANO HUU , KUTEMBELEWA NA DR SLAA NI BAHATI KUBWA NA HESHIMA KUBWA SANA KWETU , HUYU NDIYE MKOMBOZI HALISI WA NCHI , KILA MAHALI NCHI HII WANAMLILIA , PIIIPOOOOZZZZZ !!!!!

Wakuu.

Kuna taarifa imesambazwa kwenye mitandao ya kijamii (Jamiifroums ikiwemo) kuwa katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) atafanya mkutano mkubwa wa hadhara kesho wilaya ya Temeke.

Kwa heshima na taadhima naomba kukanusha na kuweka kumbukumbu sawasawa kwa kusema mambo mawili ya muhimu.

1. Ni kweli kuwa kesho jumapili tarehe 11 Mei, 2014 CHADEMA kitafanya mkutano mkubwa wa hadhara wilaya ya Temeke kama jinsi kinavyo fanya mikutano kwenye maeneo mengine kwa madhumuni ya kujenga na kueneza falsafa, itikadi na sera za chama kwa wanachama, wapenzi, na mashabiki wake maeneo mbalimbali .

2. Katibu mkuu wa CHADEMA, Dr Wilbrod Slaa hatakuwepo kwenye mkutano huo wa Temeke kesho bali watakuwepo viongozi na maafisa wengine wa chama. Dr Slaa kwa sasa pamoja na makatibu wenzake wa vyama vingine (vyama vinavyounda UKAWA) wana majukumu ya UKAWA ambayo anaendelea nayo.

Hivyo ni muhimu kila aliye pata taarifa za uwepo wa nguli za siasa za upinzani Tanzaniza (Dr Slaa) kuwa atakuwepo kwenye mkutano wa hadhara wa kesho unaotarajiwa kufanyika wilaya ya Temeke afahamu kuwa hatakuwepo kama ilivyo tangazwa na kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii, lakini nadhibitisha kuwa mkutano huo utakuwepo kama ulivyopangwa.

Tunaomba wanachama na wapenzi wetu wapokee taarifa hii kama taarifa rasmi na tunawapo pole kwa usumbufu wowote ambao utakuwa umejitokeza na nawakaribisha sana kwenye mkutano huo.
 
Ee mungu asante kwa kutuletea mwana mfalme na mwokozi wa wanyonge hapa kwetu.chadema tulianza na mungu na tutamaliza na mungu.Amen
Unamshukuru Mungu gani tena wakati kesho Dr.Slaa hawezi kuwepo Temeke.
 
Unamshukuru Mungu gani tena wakati kesho Dr.Slaa hawezi kuwepo Temeke.

Unawashwa wewe ..si umesema utakuwa unaangalia mpira sasa nini tena...nije nikukune?
 
Watu wa kijichi msikose...diwani charles anatakiwa kutafutiwa dawa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom