Dr Slaa kuunguruma Temeke Jumapili hii

Dr Slaa kuunguruma Temeke Jumapili hii

Status
Not open for further replies.

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
141,455
Reaction score
283,795
ni katika viwanja vya NHC , njia panda ya uwanja wa Taifa karibu kabisa na CHUO KIKUU CHA UALIMU - DUCE , kwa mujibu wa matangazo kutoka kwenye gari la matangazo mkutano huo utaanza majira ya saa 8 mchana . wito wangu kwa wana Temeke TUSIKOSE KUHUDHURIA MKUTANO HUU , KUTEMBELEWA NA DR SLAA NI BAHATI KUBWA NA HESHIMA KUBWA SANA KWETU , HUYU NDIYE MKOMBOZI HALISI WA NCHI , KILA MAHALI NCHI HII WANAMLILIA , PIIIPOOOOZZZZZ !!!!!

==========
UFAFANUZI
==========
Wakuu.

Kuna taarifa imesambazwa kwenye mitandao ya kijamii (Jamiifroums ikiwemo) kuwa katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) atafanya mkutano mkubwa wa hadhara kesho wilaya ya Temeke.

Kwa heshima na taadhima naomba kukanusha na kuweka kumbukumbu sawasawa kwa kusema mambo mawili ya muhimu.

1. Ni kweli kuwa kesho jumapili tarehe 11 Mei, 2014 CHADEMA kitafanya mkutano mkubwa wa hadhara wilaya ya Temeke kama jinsi kinavyo fanya mikutano kwenye maeneo mengine kwa madhumuni ya kujenga na kueneza falsafa, itikadi na sera za chama kwa wanachama, wapenzi, na mashabiki wake maeneo mbalimbali .

2. Katibu mkuu wa CHADEMA, Dr Wilbrod Slaa hatakuwepo kwenye mkutano huo wa Temeke kesho bali watakuwepo viongozi na maafisa wengine wa chama. Dr Slaa kwa sasa pamoja na makatibu wenzake wa vyama vingine (vyama vinavyounda UKAWA) wana majukumu ya UKAWA ambayo anaendelea nayo.

Hivyo ni muhimu kila aliye pata taarifa za uwepo wa nguli za siasa za upinzani Tanzaniza (Dr Slaa) kuwa atakuwepo kwenye mkutano wa hadhara wa kesho unaotarajiwa kufanyika wilaya ya Temeke afahamu kuwa hatakuwepo kama ilivyo tangazwa na kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii, lakini nadhibitisha kuwa mkutano huo utakuwepo kama ulivyopangwa.

Tunaomba wanachama na wapenzi wetu wapokee taarifa hii kama taarifa rasmi na tunawapo pole kwa usumbufu wowote ambao utakuwa umejitokeza na nawakaribisha sana kwenye mkutano huo.
 
Sounds good. Kila la kheri. Msisahau kuimalisha ulinzi ktk mkutano huo.
 
ni katika viwanja vya NHC , njia panda ya uwanja wa Taifa karibu kabisa na CHUO KIKUU CHA UALIMU - DUCE , kwa mujibu wa matangazo kutoka kwenye gari la matangazo mkutano huo utaanza majira ya saa 8 mchana . wito wangu kwa wana Temeke TUSIKOSE KUHUDHURIA MKUTANO HUU , KUTEMBELEWA NA DR SLAA NI BAHATI KUBWA NA HESHIMA KUBWA SANA KWETU , HUYU NDIYE MKOMBOZI HALISI WA NCHI , KILA MAHALI NCHI HII WANAMLILIA , PIIIPOOOOZZZZZ !!!!!

Yaani kutembelewa na Babu MZINZI ni bahati!!???. Unamatatizo wewe si bure!
 
ni katika viwanja vya NHC , njia panda ya uwanja wa Taifa karibu kabisa na CHUO KIKUU CHA UALIMU - DUCE , kwa mujibu wa matangazo kutoka kwenye gari la matangazo mkutano huo utaanza majira ya saa 8 mchana . wito wangu kwa wana Temeke TUSIKOSE KUHUDHURIA MKUTANO HUU , KUTEMBELEWA NA DR SLAA NI BAHATI KUBWA NA HESHIMA KUBWA SANA KWETU , HUYU NDIYE MKOMBOZI HALISI WA NCHI , KILA MAHALI NCHI HII WANAMLILIA , PIIIPOOOOZZZZZ !!!!!

Wanatemeke Peke Yao Tu Sisi Wa Kinondoni Hatutakiwi?
 
Kwa mala ya mwisho nilihudhuria mkutano wake pale furahisha Mwanza kwenye operation pamoja daima,natarajia hapo napo nitahudhuria
 
nitatembea kwa miguu kutoka mbagala ili nimsikilize kamanda WILBROD PETER SLAA
 
ni katika viwanja vya NHC , njia panda ya uwanja wa Taifa karibu kabisa na CHUO KIKUU CHA UALIMU - DUCE , kwa mujibu wa matangazo kutoka kwenye gari la matangazo mkutano huo utaanza majira ya saa 8 mchana . wito wangu kwa wana Temeke TUSIKOSE KUHUDHURIA MKUTANO HUU , KUTEMBELEWA NA DR SLAA NI BAHATI KUBWA NA HESHIMA KUBWA SANA KWETU , HUYU NDIYE MKOMBOZI HALISI WA NCHI , KILA MAHALI NCHI HII WANAMLILIA , PIIIPOOOOZZZZZ !!!!!

Hana kitu huyo mnadanganyika. Ndio maana mkakimbilia ukawa. Mwisho ya yote mtakimbilia ccm baada ya kuona hata ukawa hamna mtu anawajali.
 
PawaaaAaaaaaaaa
Pamoja kamanda tutakuwepo hapo
 
Hakyanani ilikuwa niondoke kesho nirejee kwetu boda sasa naahirisha safari, mtoa mada Ubarikiwe!

BACK TANGANYIKA
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom