Dr Slaa kuunguruma Temeke Jumapili hii

Dr Slaa kuunguruma Temeke Jumapili hii

Status
Not open for further replies.
Huyu babu mtamuua hana issue tena aturie kama Kingunge Mzee mwenzie halafu aache uzinzi umri umeenda atakuja kufia juu.
 
Hana kitu huyo mnadanganyika. Ndio maana mkakimbilia ukawa. Mwisho ya yote mtakimbilia ccm baada ya kuona hata ukawa hamna mtu anawajali.


Kweli kabisa inaonekana umerukwa na akili. hata wewe zuzu unachangia hivyo. kaa kimya
 
ni katika viwanja vya NHC , njia panda ya uwanja wa Taifa karibu kabisa na CHUO KIKUU CHA UALIMU - DUCE , kwa mujibu wa matangazo kutoka kwenye gari la matangazo mkutano huo utaanza majira ya saa 8 mchana . wito wangu kwa wana Temeke TUSIKOSE KUHUDHURIA MKUTANO HUU , KUTEMBELEWA NA DR SLAA NI BAHATI KUBWA NA HESHIMA KUBWA SANA KWETU , HUYU NDIYE MKOMBOZI HALISI WA NCHI , KILA MAHALI NCHI HII WANAMLILIA , PIIIPOOOOZZZZZ !!!!!

Acha kudanganya watu Babu yupo busy na UKAWA na family issues! Ameonekana mitaa ya Shelui akielekea pande za BK yupo na familia yake!

Sasa uongo wa nini? Semeni tu kuwa atakuwepo Tumaini Makene, MWITA Mwikabe, Mohamed Mtoi na John Mrema!

Chagadema siasa za ki ulaghai hadi lini? Kila kitu kwenu ni ghiriba!
 
Mwisho wa fitna ni aibu sasa mnaiona aibu chagadema? Kwanini mumsingizie mtu Kama atakuwepo Huku hayupo? Kwa faida gani? Kwa maana gani?

Babu ameonekana mitaa ya Shelui amembeba Junior akiwa na kimada chake wakielekea BK!

Chezea mambo ya Katerero wewe hadi mmbulu kanyooka!
 
Habari za uhakika tulizozipata Usiku huu Babu yupo Hotel Moja Kahama na kimada chake na Junior wakijipumzisha!

Kesho wataendelea na safari Yao ya kwenda BK! Babu yupo busy na dada yangu wa Kanyigo
 
Habari za uhakika tulizozipata Usiku huu Babu yupo Hotel Moja Kahama na kimada chake na Junior wakijipumzisha!

Kesho wataendelea na safari Yao ya kwenda BK! Babu yupo busy na dada yangu wa Kanyigo

babu slaa kwa josephin hapindui, kafa kaoza.. chezea haya wewe..
 
ni katika viwanja vya NHC , njia panda ya uwanja wa Taifa karibu kabisa na CHUO KIKUU CHA UALIMU - DUCE , kwa mujibu wa matangazo kutoka kwenye gari la matangazo mkutano huo utaanza majira ya saa 8 mchana . wito wangu kwa wana Temeke TUSIKOSE KUHUDHURIA MKUTANO HUU , KUTEMBELEWA NA DR SLAA NI BAHATI KUBWA NA HESHIMA KUBWA SANA KWETU , HUYU NDIYE MKOMBOZI HALISI WA NCHI , KILA MAHALI NCHI HII WANAMLILIA , PIIIPOOOOZZZZZ !!!!!

Nini Agenda ya Mkutano? Maana huyu BABU hanaga Agenda maalumu, huwa Anazungumzia zile issue alizozisikia kwenye vyombo vya habari.
 
Kurugenzi ya habari imepinduliwa na UKAWA akina Erythrocyte maana sasa wao ndio wenye kutoa matamko!

Kweli chadema kimekufa kabisa angalia mikanganyiko ndani ya CDM kwani kila mtu anasema lake!

mjomba usitake kujifanya huelewi kiswahili , mimi nimenukuu gari la matangazo pamoja na vipeperushi vilivyosambazwa na nimeeleza tangu mapema sana, kamanda MTOI AMEWEKA UFAFANUZI , SASA MAJUNGU YA KAZI GANI MJOMBA ?
 
katerero ni habari nyingine.. slaa amemganda josephin kama super glue.. babu atakuwa amelishwa limbwata la kihaya maarufu kama SHUNTAMA.

umasikini ulionao hauwezi kwisha kwa matusi mjomba .
 
Haya maneno yameshapoteza maana. Ni muda mrefu sana mnaandika hivi. Inaonekana ni matamanio yenu tu mashetani wa lumumba.

Poleni na pumb@vu zenu.

hakuna haja ya kuhangaika na watu wa aina hiyo .
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom