OMUSILANGA
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 384
- 227
Ndiyo wakuu ! Katika kukamilisha usemi usemao kila jiwe litafunuliwa ,upepo wa M4C leo utavuma katika mkoa mpya wa geita ikiwa ni mwendelezo wa ziara na uamsho kanda ya ziwa. Zaidi ntawajuza kila hatua kwa yale yatakayo kuwa yanajiri. MUNGU BARIKI M4C, MUNGU IBARIKI TANZANIA.