Dr Slaa kuunguruma leo Geita

OMUSILANGA

JF-Expert Member
Jan 25, 2012
384
227
Ndiyo wakuu ! Katika kukamilisha usemi usemao kila jiwe litafunuliwa ,upepo wa M4C leo utavuma katika mkoa mpya wa geita ikiwa ni mwendelezo wa ziara na uamsho kanda ya ziwa. Zaidi ntawajuza kila hatua kwa yale yatakayo kuwa yanajiri. MUNGU BARIKI M4C, MUNGU IBARIKI TANZANIA.
 
Ile zana kwamba ni vyama vya msimu imefeil baba riz aje na kauli mbiu nyingine
 
Ndiyo wakuu ! Katika kukamilisha usemi usemao kila jiwe litafunuliwa ,upepo wa M4C leo utavuma katika mkoa mpya wa geita ikiwa ni mwendelezo wa ziara na uamsho kanda ya ziwa. Zaidi ntawajuza kila hatua kwa yale yatakayo kuwa yanajiri. MUNGU BARIKI M4C, MUNGU IBARIKI TANZANIA.

moja ya rules humu jamvini.ni kuwa mkweli.umesema utatujuza,wengine tupo mbali na harakati hizo.ila naujua utumwa wa geita.wanamuhitaji musa.wa kuwatoa utumwani.nawewe usiwe kama ndg.yetu humu kasema juzi.EL.kutoa maamuzi magumu.kasema atatujuza hyo jana tukasubir wapi hakuna lolote.kwa hyo na wewe ufanye kweli.uweke na picha.zote.utakazokuwa umepiga.
 
Ndiyo wakuu ! Katika kukamilisha usemi usemao kila jiwe litafunuliwa ,upepo wa M4C leo utavuma katika mkoa mpya wa geita ikiwa ni mwendelezo wa ziara na uamsho kanda ya ziwa. Zaidi ntawajuza kila hatua kwa yale yatakayo kuwa yanajiri. MUNGU BARIKI M4C, MUNGU IBARIKI TANZANIA.

Mwambien atembelee Mgusu,Nyarugusu,Katolo,Kasamwa,Nzera,Nkome na Msalala aone wananchi walivoichoka ccm na wanavyohitaji mabadiliko.
 
Mwambien atembelee Mgusu,Nyarugusu,Katolo,Kasamwa,Nzera,Nkome na Msalala aone wananchi walivoichoka ccm na wanavyohitaji mabadiliko.

Mkuu Kasamwa CCM ilishazikwa kitambo...Natunaye diwani wetu pale kamanda MAHENGE wa CDM.
 
Ndiyo wakuu ! Katika kukamilisha usemi usemao kila jiwe litafunuliwa ,upepo wa M4C leo utavuma katika mkoa mpya wa geita ikiwa ni mwendelezo wa ziara na uamsho kanda ya ziwa. Zaidi ntawajuza kila hatua kwa yale yatakayo kuwa yanajiri. MUNGU BARIKI M4C, MUNGU IBARIKI TANZANIA.

Ahadi ni deni,hakikisha kadiri ya ulivyoahidi kutupatia picha humu jamvini tuone na huko Geita Kama wamelala au wameamka.
 
Wakuu heshima kwenu.

Kwa sasa M4C iko imeingia rasmi ndani ya mkoa mpya wa GEITA ambapo Dr Slaa kishawasili na anaendesha vikao vya ndani na mikutano ya hadhara.

Leo atahutubia mkutano mkubwa wa hadhara pale Katoro katika jimbo la Busanda.Kesho atahutubia mkutano wa hadhara mjini Geita katika viwanja vya magereza.Mpaka sasa tuko kwenye maandalizi na tunafanya kila jitihada kuhakikisha Dr.Slaa anapata wasaa wa kuwatembelea wafungwa walio katika gereza la Geita miongoni mwao wakiwa ni wafuasi,wapenzi,wanachama na viongozi wa CDM.

Diwani wa kata ya Kasamwa kupitia CHADEMA bwana MAHENGE yuko mahabusu gerezani hapo tangu tarehe 28 Mwezi uliopita baada ya kushindwa kwa njama za CCM kumhusisha diwani huyo na sakata la uchomaji wa nyumba za mganga wa kienyeji lililofanywa na wananchi wenye hasira kali kule Kasamwa miezi kadhaa iliyopita wakimtuhumu(mganga)kupora mashamba yao(wananchi) na Serikali kutomchukulia hatua mganga huyo ambaye ni kada wa CCM.

Tukio hilo lilifanywa kuwa la kisiasa na kupelekea diwani huyo kukamatwa na baadaye kuachiwa.Lakini katika mazingira ya utata mganga huyo alifungua kesi ya armed robbery dhidi ya diwani Mahenge ambyo ilipelekea kukamatwa tena na yuko mahabusu mpaka sasa.

Wakuu mtaendelea kupata updates toka kwa makamanda wengine juu ya ujio wa DR SLAA hapa Geita kwani nimepokea simu muda mfupi kuwa babu yangu kizaa Mama kafariki Dunia asubuhi hii...Hivyo naelekea kijijini kuhudhuria mazishi ila tuko pamoja.

Hakuna kulala mpaka kieleweke.

Nawasilisha.
 
Wakuu heshima kwenu.

Kwa sasa M4C iko imeingia rasmi ndani ya mkoa mpya wa GEITA ambapo Dr Slaa kishawasili na anaendesha vikao vya ndani na mikutano ya hadhara.

Leo atahutubia mkutano mkubwa wa hadhara pale Katoro katika jimbo la Busanda.Kesho atahutubia mkutano wa hadhara mjini Geita katika viwanja vya magereza.Mpaka sasa tuko kwenye maandalizi na tunafanya kila jitihada kuhakikisha Dr.Slaa anapata wasaa wa kuwatembelea wafungwa walio katika gereza la Geita miongoni mwao wakiwa ni wafuasi,wapenzi,wanachama na viongozi wa CDM.

Diwani wa kata ya Kasamwa kupitia CHADEMA bwana MAHENGE yuko mahabusu gerezani hapo tangu tarehe 28 Mwezi uliopita baada ya kushindwa kwa njama za CCM kumhusisha diwani huyo na sakata la uchomaji wa nyumba za mganga wa kienyeji lililofanywa na wananchi wenye hasira kali kule Kasamwa miezi kadhaa iliyopita wakimtuhumu(mganga)kupora mashamba yao(wananchi) na Serikali kutomchukulia hatua mganga huyo ambaye ni kada wa CCM.

Tukio hilo lilifanywa kuwa la kisiasa na kupelekea diwani huyo kukamatwa na baadaye kuachiwa.Lakini katika mazingira ya utata mganga huyo alifungua kesi ya armed robbery dhidi ya diwani Mahenge ambyo ilipelekea kukamatwa tena na yuko mahabusu mpaka sasa.

Wakuu mtaendelea kupata updates toka kwa makamanda wengine juu ya ujio wa DR SLAA hapa Geita kwani nimepokea simu muda mfupi kuwa babu yangu kizaa Mama kafariki Dunia asubuhi hii...Hivyo naelekea kijijini kuhudhuria mazishi ila tuko pamoja.

Hakuna kulala mpaka kieleweke.

Nawasilisha.
Pole sana kwa kuondokewa na babu. Tunaamini utatupatia full updates na picha za huo mkutano." Saa ya ukombozi ni sasa".
 
Ndiyo wakuu ! Ratiba ya leo ni kuwa atakuwa katoro-jimbo la busanda, kesho atakuwa geita mjini, ijumaa atakuwa sengerema ,jumamosi atakuwa Magu. Kama kuna mabadiliko tutajulishana. M4C FOR EVER.
 
Kanda ya ziwa inatakiwa kuwa "turning point" ya ukombozi nchini.

Yani usikonde mkuu, Musoma rural tushaanza kumshughulikia Mkono baada ya kujitanganza kuwa mbunge wa kudumu kama Mugabe!! Nimepita kwa Chief Japhet Wanzagi naona kabandika picha ukutani ila hata vigogo wa Mwitongo hawamkubali sasa ni kujipanga.

Upande wa kulia wa barabara ya Musoma- Mwanza haina shida sana huko watu ni wana mabadiliko sana kuna hadi madiwani wa Chausta na vyama vingine.

Tunajipanga kusambaza Elimu ya uraia kama hewa ya oksijeni. Kanda ya ziwa ndio hupeleka hao vilaza magogoni. This time around big NO!!
 
Tunategemea mabadiliko ya kweli huko geita, na tunawatakia kila la kheri ktk M4C ndani ya kanda ya ziwa.
 
Wakuu heshima kwenu.

Kwa sasa M4C iko imeingia rasmi ndani ya mkoa mpya wa GEITA ambapo Dr Slaa kishawasili na anaendesha vikao vya ndani na mikutano ya hadhara.

Leo atahutubia mkutano mkubwa wa hadhara pale Katoro katika jimbo la Busanda.Kesho atahutubia mkutano wa hadhara mjini Geita katika viwanja vya magereza.Mpaka sasa tuko kwenye maandalizi na tunafanya kila jitihada kuhakikisha Dr.Slaa anapata wasaa wa kuwatembelea wafungwa walio katika gereza la Geita miongoni mwao wakiwa ni wafuasi,wapenzi,wanachama na viongozi wa CDM.

Diwani wa kata ya Kasamwa kupitia CHADEMA bwana MAHENGE yuko mahabusu gerezani hapo tangu tarehe 28 Mwezi uliopita baada ya kushindwa kwa njama za CCM kumhusisha diwani huyo na sakata la uchomaji wa nyumba za mganga wa kienyeji lililofanywa na wananchi wenye hasira kali kule Kasamwa miezi kadhaa iliyopita wakimtuhumu(mganga)kupora mashamba yao(wananchi) na Serikali kutomchukulia hatua mganga huyo ambaye ni kada wa CCM.

Tukio hilo lilifanywa kuwa la kisiasa na kupelekea diwani huyo kukamatwa na baadaye kuachiwa.Lakini katika mazingira ya utata mganga huyo alifungua kesi ya armed robbery dhidi ya diwani Mahenge ambyo ilipelekea kukamatwa tena na yuko mahabusu mpaka sasa.

Wakuu mtaendelea kupata updates toka kwa makamanda wengine juu ya ujio wa DR SLAA hapa Geita kwani nimepokea simu muda mfupi kuwa babu yangu kizaa Mama kafariki Dunia asubuhi hii...Hivyo naelekea kijijini kuhudhuria mazishi ila tuko pamoja.

Hakuna kulala mpaka kieleweke.

Nawasilisha.

pole kwa msiba wa bibi.
 
Jamani mliopo karibu na maeneo anakofanyia ziara Kamanda Slaa mtujuze nini kinaendelea
 
Back
Top Bottom