Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,643
Dar ndiyo sehemu pekee ambayo hawa buku 7 fc wanaitegemea kujikimu , kwa hiyo wakisikia Mkombozi Slaa anaingia lazima watoe Mapovu ya Kifafa .
mkuu wewe sijui ulizaliwa na mwanamke gani slaa hawezi hata kujenga hoja akiwa dar watu wa dar huwezi kuwadanganya na yeye kazoea kuongopa eti anafuatiliwa na usalama wa taifa mwe! mzee wa ajabu kweli huyu.