Dr Slaa kutikisa Dar leo

Dr Slaa kutikisa Dar leo

Status
Not open for further replies.
Dar ndiyo sehemu pekee ambayo hawa buku 7 fc wanaitegemea kujikimu , kwa hiyo wakisikia Mkombozi Slaa anaingia lazima watoe Mapovu ya Kifafa .

mkuu wewe sijui ulizaliwa na mwanamke gani slaa hawezi hata kujenga hoja akiwa dar watu wa dar huwezi kuwadanganya na yeye kazoea kuongopa eti anafuatiliwa na usalama wa taifa mwe! mzee wa ajabu kweli huyu.
 
Mkuu eneo ambalo chama kina wabunge wawili wa kuchaguliwa,na madiwani kadhaa halafu unasema hakikubaliki,kweli wewe ulipaswa upelekwe milembe!kaa ukijua Segerea,Ukonga,Kawe na Ubungo ni majimbo ya CHADEMA 2015,hayo yaliyobaki ndiyo tutayagombea!

Anajidanganya na viuchaguz uchwara vya serikal ya mitaa ambao taratibu ni mbovu ajabu ya Mungu.....ndo wanaona kama wamekubalika.

Wanasahau upigaji kura,haukuhitaj vitambulisho yaan unaenda msoga kuwachukua vijana na njaa zao unampa no na jina aipigie ccm basi unatangaza ushindi.

Kaz imeshaanza sasa.....mwakani kila mtu atacheza ngoma yake,tuone kama hamkuhama mji na JF.Chezea CDM nini.
 
Mkuu tunashukuru kwa taarifa, ombi la wananchi kwako ni kumfikishia ujumbe Dr. Slaa kwamba na wakazi wa Jimbo la Kawe wanaomba baraka zake.
 
Tumesha sema huju JF na kwengineko kuwa, CHADEMA Dar hamna lenu.

Ni vyema nguvu kubwa muielekeze vijijini, kwani Dar tayari wameshaikataa CHADEMA siku nyingi ingawa makao makuu ya chama yapo hapa hapa Dar.

Thanks for your wonderful comments again You look so disappointed with the efforts done by CHADEMA or Dr. Slaa. Why don't you share with us another insight as far as CHADEMA is concerned.

Wow!!!!!
 
mkuu wewe sijui ulizaliwa na mwanamke gani slaa hawezi hata kujenga hoja akiwa dar watu wa dar huwezi kuwadanganya na yeye kazoea kuongopa eti anafuatiliwa na usalama wa taifa mwe! mzee wa ajabu kweli huyu.
Kwa hoja hizo hizo CCM sasa hakukaliki kila siku vikao kujadili namna ya kumnyamazisha Dr. Slaa. Angekuwa hajui kujenga hoja yanini kumfuatilia mtu kama huyo?

Ameibua hoja nyingi nzito Bungeni mpaka mlifikia hatua ya kumtishia kumshtaki kwa kutoa siri nyeti za nchi, mbona hamkumfikisha hata mahakama ya mwanzo kama kweli CCM wanajua kujenga hoja?
 
Tumesha sema huju JF na kwengineko kuwa, CHADEMA Dar hamna lenu.

Ni vyema nguvu kubwa muielekeze vijijini, kwani Dar tayari wameshaikataa CHADEMA siku nyingi ingawa makao makuu ya chama yapo hapa hapa Dar.
  • :frog:" Ndo maana hawana wabunge kabisa DSM":wave:

Una maana ubungo na kawe zipo zanzibar sio!?
 
mzee slaa hata kama atakuja kavaa kilemba hatapata watu dar alishakuwa kama kituko tu kwa watu wa dar wanaosifika kwa kuchambua mambo na kujua ukweli zaidi.
 
Tumesha sema huju JF na kwengineko kuwa, CHADEMA Dar hamna lenu.

Ni vyema nguvu kubwa muielekeze vijijini, kwani Dar tayari wameshaikataa CHADEMA siku nyingi ingawa makao makuu ya chama yapo hapa hapa Dar.

Karibu tule hami-da,hapo lumumba utakufa njaa na jamaa wapo Dom
 
Mkuu, wameona waende gongolamboto pengine huko watawapata wafuasi wao wa kisarawe, chanika na maeneo ya pembezoni. hapa Mjini kati wamechemsha sana. hata huko gongolamboto wataaibika sana

Shirikisha ubongo japo kidogo tu, wangekuwa wanataka watu wengi wangeenda ubungo na kawe, lengo sio kutafuta watu wengi bali kuwafikia watu sehemu zote za Tanzania.
 
mkuu wewe sijui ulizaliwa na mwanamke gani slaa hawezi hata kujenga hoja akiwa dar watu wa dar huwezi kuwadanganya na yeye kazoea kuongopa eti anafuatiliwa na usalama wa taifa mwe! mzee wa ajabu kweli huyu.

We kweli ku
 
Kwa hoja hizo hizo CCM sasa hakukaliki kila siku vikao kujadili namna ya kumnyamazisha Dr. Slaa. Angekuwa hajui kujenga hoja yanini kumfuatilia mtu kama huyo?

Ameibua hoja nyingi nzito Bungeni mpaka mlifikia hatua ya kumtishia kumshtaki kwa kutoa siri nyeti za nchi, mbona hamkumfikisha hata mahakama ya mwanzo kama kweli CCM wanajua kujenga hoja?

slaa katoa siri gani ya taifa hili zaidi ya uongo eti anatafutwa kuuawa kwani slaa ananini mpaka afuatwe?
alichonacho mzee slaa ni wale akina mama wake tu,

vikao gani ambavyo ccm wamekaa kumjadili slaa.
 
slaa katoa siri gani ya taifa hili zaidi ya uongo eti anatafutwa kuuawa kwani slaa ananini mpaka afuatwe?
alichonacho mzee slaa ni wale akina mama wake tu,

vikao gani ambavyo ccm wamekaa kumjadili slaa.
Ulifuatilia Bunge wakati ule Dr. Slaa akiwemo?
 
Dr Slaa amesababisha CCM wajinyee hovyo !
Kumbe ndiyo maana magari ya maji taka yanatusumbua kwenye foleni kila siku barabara ya morogoro na yakifika njia panda yanapinda kulia kuelekea Lumumba?
 
Dr amekuwa mwiba mchungu kwa magamba ndio maana kila ukilitaja jina la Dr utaona jinsi watu wanavyohaha,
KARIBU SANA DAR ES SALAAM DR.
 
Mkuu tunashukuru kwa taarifa, ombi la wananchi kwako ni kumfikishia ujumbe Dr. Slaa kwamba na wakazi wa Jimbo la Kawe wanaomba baraka zake.

Usijali mkuu grafani kwote huko mtetezi wa maslahi ya nchi atafika!
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom