Taarifa za awali zinasema mkutano huo pia utatumika kufuta nyayo za chama cha CUF ambacho kilisomba watu Dar-es-Salaam kwenda kuwahutubia Arusha ili kuepuka aibu ya kukosa watu.
Hoja yako haikuwa hayo maendeleo yamepelekwa na nani!
Ulichokuwa unamaanisha ni kwamba eti watu wa Arusha wakienda kuandamana wanapoteza muda wa kufanya shughuli zingine za maendeleo! Which is untrue!!!!
Kwanini watu wanapokwenda Uwanja wa Taifa kuangalia mechi ya Simba na Yanga n.k, husemi kwamba hawana shughuli za maendeleo!
Mkuu, mbona kafu hawakuacha hizo nyayo! Walikuja na watu wao, wakawahutubia, wakaondoka nao!
Unapokwenda uwanja wa taifa kuangalia mpira unalipa kiingilio pesa zile zinatumika kwenye shughuli mbalimbali za maendeleo
sasa hebu shughuli kubwa za maendeleo za hii mikutano isiyokwisha zaidi ya kuzuia watu kufanya kazi zao; juzi Lema; kesho Slaa; wiki ijayo itakuwa molemo; hivi watu wa Arusha ni wagumu kuelewa au walimu ndio wenye matatizo ya kueleweka?
Chama
Gongo la mboto DSM
Nitamshangaa Dr Slaa akipoteza hata dakika 3 kuwa wajibu utumbo wa CUF...Mkuu, mbona kafu hawakuacha hizo nyayo! Walikuja na watu wao, wakawahutubia, wakaondoka nao!
Kwani shughuri za chama cha siasa ni zipi?Unapokwenda uwanja wa taifa kuangalia mpira unalipa kiingilio pesa zile zinatumika kwenye shughuli mbalimbali za maendeleo
sasa hebu shughuli kubwa za maendeleo za hii mikutano isiyokwisha zaidi ya kuzuia watu kufanya kazi zao; juzi Lema; kesho Slaa; wiki ijayo itakuwa molemo; hivi watu wa Arusha ni wagumu kuelewa au walimu ndio wenye matatizo ya kueleweka?
Chama
Gongo la mboto DSM
Nasikia CCM wametumia fedha ya mishahara ya watumishi wa serikali na umma kwa ajili ya kutoa rushwa kwenye chaguzi zao za ndani!Mkuu chama,
Tatizo kubwa la vijana wa Arusha hawana ajira ndio maana kila kukicha wao na maandamano ya Chadema.
Unadhani wangekuwa wamejikita kwenye ajira zao binafsi viwandani au kwenye kilimo kwanza wangekuwa wanaangaika na mikutano isiyoisha pamoja na maandamano ni mradi wa kina Lema na Dr Slaa kugawana posho.
Chadema kwa mwaka wananatumia zaidi ya milioni 800 kwa maandamano tu.
Badala ya malumbano tuelewesheni mkutano utakuwa sehemu gani.
Utakuwa uwanja gani wakuu ..... Mwenye taarifa atuwekee hapa jf
Sijajua kwa nini CDM hakuna utaratibu wa kusomba watu kutoka Dar kwenda Arusha kwa kutumia mabasi 8 kama CUF.
Mkuu chama,
Tatizo kubwa la vijana wa Arusha hawana ajira ndio maana kila kukicha wao na maandamano ya Chadema.
Unadhani wangekuwa wamejikita kwenye ajira zao binafsi viwandani au kwenye kilimo kwanza wangekuwa wanaangaika na mikutano isiyoisha pamoja na maandamano ni mradi wa kina Lema na Dr Slaa kugawana posho.
Chadema kwa mwaka wananatumia zaidi ya milioni 800 kwa maandamano tu.