Adharusi
JF-Expert Member
- Jan 22, 2012
- 14,402
- 7,310
Dr Slaa naomba kukushauri uanzishe utaratibu wa kukutana na vijana kila mwenzi,kuanzia mwaka huu 2012 mpaka 2015 septemba
1.vijana walengwa kuanzi miaka 14(wapiga kura wapya 2015) mpaka miaka 30
2.kuwaeleza nini maana ya maendeleo na mabadiliko
3.kuwajengea ujasir nk
4.kuwa ambia vijana wasomi wasomee ualimu,ili warudi mashuleni kufundisha vijana elimu yenye kuleta mabadiliko kimaisha na kisiasa,ili wawe mabaloz wazuri mashuleni, wawafundishe ujasir watoto ngaz ya msingi mpaka chuo kikuu(msingi mkuu uwe wa kudai HAKI)
5.Ili kiwe kizazi kisicho ogopa Kuwajibika.
6.nk
Iwa mwema
Wakatabahu
Adharusi
1.vijana walengwa kuanzi miaka 14(wapiga kura wapya 2015) mpaka miaka 30
2.kuwaeleza nini maana ya maendeleo na mabadiliko
3.kuwajengea ujasir nk
4.kuwa ambia vijana wasomi wasomee ualimu,ili warudi mashuleni kufundisha vijana elimu yenye kuleta mabadiliko kimaisha na kisiasa,ili wawe mabaloz wazuri mashuleni, wawafundishe ujasir watoto ngaz ya msingi mpaka chuo kikuu(msingi mkuu uwe wa kudai HAKI)
5.Ili kiwe kizazi kisicho ogopa Kuwajibika.
6.nk
Iwa mwema
Wakatabahu
Adharusi