Mkuu hii ndiyo misukule ambayo ndiyo intelijensia ya CHADEMA. Ona ilivyochoka
View attachment 146090
Ni kweli mkuu. Intelijensia hiyo ilimdanganya kwamba kuna malori wameyakamata kule Tunduma yakiwa na masanduku feki ya kuramkuu ebu nikumbushe uchaguzi wa mwaka 2010 inteligensia ya chadema ilimdanganya kuna mkuu wa mkoa amekufa kumbe uzushi tu
Slaa alwahi kuwambia watu kapata tarifa kuwa kunakontena tunduma limekuja na kura za bandia hatujaliona mpaka kesho.mkuu ebu nikumbushe uchaguzi wa mwaka 2010 inteligensia ya chadema ilimdanganya kuna mkuu wa mkoa amekufa kumbe uzushi tu
Tehetehetehetehe, mkuu, kama ulikuwepo vileha ha namuona mzee mtei hapo anaongoza kikao cha inteligensia, bila shaka hapo ni shambani kwake tengeru
Hahahahahaaaaaa! Kwa hiyo mabomu ya mwaka juzi anakuja kuyalipua 2015?Dr Slaa utamsikia na mabomu makali zaidi tunavyoelekea kwenye chaguzi za serikali za Mitaa na zaidi subirieni mwakani
Kabisa kabisa hiki kikosi cha mtei lazima kiwe kimejikiti kutafuta tarifa zinazohusu migomba na matikiti maji.ha ha namuona mzee mtei hapo anaongoza kikao cha inteligensia, bila shaka hapo ni shambani kwake tengeru
Unazungumzia TISS ipi? TISS wazalendo au TISS mafisadi! Kama ni TISS wazalendo ndio kabisaaaaaaaa habari zinaendelea kumfikia kila siku! Tena kipindi hiki cha karibia na uchaguzi ndio kabisaaaaaa ziko za kumwaga! Kinachowaumiza roho mafisadi ni kuwa ni vigumu sana kujua ni yupi TISS fisadi na ni yupi TISS mzalendo. Wacha kabisa kuna watu wamejitolea kumfanya kazi kwa ajili ya Tanzania. Muda ukifika utaona matokeo!
Huyu mzee muongo tu kama kweli ni mtaalamu wa kutafuta tarifa mkewe asingetekwa kizembe vile lazima angekuwa na tarifa.
Tehetehetehe. Hapo ndipo unafiki wa Dr Slaa unapobainika
Nakubaliana nawe mkuuhabari zote za ufisadi wa nchi alikua anapewa na zito . toka chadema wamfukuze zito hakuna tena habar zozote za maana anazopata
Kabisa kabisa hiki kikosi cha mtei lazima kiwe kimejikiti kutafuta tarifa zinazohusu migomba na matikiti maji.
NUSU YA USALAMA WA TAIFA WANARIPOTI KWANG0_Dr.SLAA.
USALAMA WA TAIFA WAMENIIBIA KURA_DR .SLAA.
Teh teh teh misukule sijui leo wamelala?
WanaJF,
Naamini wote mtakubaliana na mimi kuwa moja ya mambo ambayo yalimpa jina Dr Slaa ni kuibua kwake mambo ya ufisadi ambayo yalikuwa yakifanywa na vigogo wa serikali.
Kwa kuibua kwake huko taarifa juu ya ufisadi wa baadhi ya maafisa wa serikali na hata mawaziri/manaibu, kulimpa mhe rais fukuto la kulazimika kubadili baraza la maaziri mara kadhaa.
Lakini pia Dr Slaa bila ya hiyana alikuwa akieleza wazi sehemu anayopata taarifa zake kuwa ni kutoka kwa watu wa usalama (TISS). Kama tujuavyo watu wa TISS wanajua mambo yote ya serikali A to Z.
Kitendo cha Dr Slaa kuwa kimya kwa muda mrefu bila ya kuwa na taarifa zozote za yale yanayo endelea serikalini kuna ashiria kuwa "connection" yake na vijana wa TISS itakuwa terminated!
Je, Dr Slaa imekuwaje sasa hata taarifa za kuibiwa kwa chaki mashuleni upewi!?
What happened Dr Slaa!? Jina lako linazidi kusahaulika.
Natamani ingekuwa inawezekana kumuachia mtu madaraka hata kwa miezi 6 hivi ingetosha. Binadamu tu wanafki sana na huwa tuna midomo mirefu sanaaa tukiwa out of system ukitaka kujua utamu wa ngoma ingia uicheze. Natamani wangempa mtu kama wewe hata kwa miezi hiyo tukaona unafanya nini usimcheke mamba kabla hujavuka mto. Mpira kwa maneno huwa ni ushindi tu kwa kila timu hata iwe Tanzania Vs Brazil Taifa stars inashinda. Ila kipenga kipigwa afu chronometer ikaanza kusoma mshindi tunamjua. Ni kumuomba Mwenyezi Mungu akupe roho ya kuwatumia watu na kujikana nafsi ni kujikweza tu ili uweze lakini kwa kusuta wenzio hivihivi tu usije ukapewa wewe ikawa bora Angepewa simba mnyama hataHapo kwenye blue.....
Mama zetu wanataabika kwa kukosa pesa za matibabu, yeye anatumia pesa zetu 'kutanua' na akina dada....!!!
![]()
![]()
Hawa wamebainika ila wachafuu si wao peke yao. Hata sie huku chini kwetu tunanuka though harufu yetu ni ndogo tunauza mabox ya chalk za shule na kujipa allowance hewa magari ya hao ivory huwa tunaweka kichochoroni tunajinyonyea wese tunanuka hata sie harufu yetu ni kama ka kijambo ka yusuphuuuu ila wao mmmhh choo kilichozibuliwa haaaa haaaa waliopo hatuwatatiki/tumewachoka wanaotaka tuwape hatuwaamini migogoro ya wao kwa wao inatufanya tuhofie uwezo wao kama wataweza tatua migogoro sugu ya hii kata yetu. Ya kwao tu yamewashinda sasa yetu wataweza?Jamaa yuko busy akiwadanganya misukule....
Anajifanya anabeba tofali, kumbe kiukweli anabeba vitu vingine kabisa......
Misukule mpo...????
![]()
![]()
Huyu mzee muongo tu kama kweli ni mtaalamu wa kutafuta tarifa mkewe asingetekwa kizembe vile lazima angekuwa na tarifa.