WanaJF,
Naamini wote mtakubaliana na mimi kuwa moja ya mambo ambayo yalimpa jina Dr Slaa ni kuibua kwake mambo ya ufisadi ambayo yalikuwa yakifanywa na vigogo wa serikali.
Kwa kuibua kwake huko taarifa juu ya ufisadi wa baadhi ya maafisa wa serikali na hata mawaziri/manaibu, kulimpa mhe rais fukuto la kulazimika kubadili baraza la maaziri mara kadhaa.
Lakini pia Dr Slaa bila ya hiyana alikuwa akieleza wazi sehemu anayopata taarifa zake kuwa ni kutoka kwa watu wa usalama (TISS). Kama tujuavyo watu wa TISS wanajua mambo yote ya serikali A to Z.
Kitendo cha Dr Slaa kuwa kimya kwa muda mrefu bila ya kuwa na taarifa zozote za yale yanayo endelea serikalini kuna ashiria kuwa "connection" yake na vijana wa TISS itakuwa terminated!
Je, Dr Slaa imekuwaje sasa hata taarifa za kuibiwa kwa chaki mashuleni upewi!?
What happened Dr Slaa!? Jina lako linazidi kusahaulika.
Naamini wote mtakubaliana na mimi kuwa moja ya mambo ambayo yalimpa jina Dr Slaa ni kuibua kwake mambo ya ufisadi ambayo yalikuwa yakifanywa na vigogo wa serikali.
Kwa kuibua kwake huko taarifa juu ya ufisadi wa baadhi ya maafisa wa serikali na hata mawaziri/manaibu, kulimpa mhe rais fukuto la kulazimika kubadili baraza la maaziri mara kadhaa.
Lakini pia Dr Slaa bila ya hiyana alikuwa akieleza wazi sehemu anayopata taarifa zake kuwa ni kutoka kwa watu wa usalama (TISS). Kama tujuavyo watu wa TISS wanajua mambo yote ya serikali A to Z.
Kitendo cha Dr Slaa kuwa kimya kwa muda mrefu bila ya kuwa na taarifa zozote za yale yanayo endelea serikalini kuna ashiria kuwa "connection" yake na vijana wa TISS itakuwa terminated!
Je, Dr Slaa imekuwaje sasa hata taarifa za kuibiwa kwa chaki mashuleni upewi!?
What happened Dr Slaa!? Jina lako linazidi kusahaulika.