Dr Slaa kufikishwa Mahakamani!

Tangulieni mahakamni mtaaibika sana,
JK mwenyewe anashangaa nani kampa Dr. Slaa hizo habari, Naomba Mungu Mtangulie kabla ya wiki ijayo kwisha kwani mtaumbuka sana,
 
Ni vizuri sana akifunguliwa mashtaka ila hao watakaofungua mashtaka wahakikishe wamefanya mawasiliano ya kutosha kuhakikisha kuwa mkuu wa nchi atatoa ushahidi kwa kuwa mnasema wenyewe kuwa tuhuma hizo zinamhusu mkuu wa nchi. Kama katiba inampa kiongozi huyo kinga ya kupelekwa mahakamani basi mfahamu kuwa hapo ni shidaaaaa.
 
Huyu jamaa na Dr. Slaa,,halali kila muda anamuwaza Slaa.
 
Anzeni na ile list of shame aliyoitaja Mwembeyanga, then mje na EPA kwani mliodai ni vijikatasi tu vya mtandani then mje na RADA pia mtuambie ile chenji yetu mmeipeleka wapi?
 

Porojo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…