jogoo_dume
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 2,204
- 1,939
Tu-assume leo ataongea lipi jipya kwa mfano!?
mpaka dawa iwaingie kwenye mifupa.
Tu-assume leo ataongea lipi jipya kwa mfano!?
mabadiliko = ?
Lowassa = ?
CCM mko busy kunadi mahojiano ya Dr. Slaa kwenye TV badala ya kumnadi mgombea wenu. Kwa taarifa yenu Dr. Slaa hana impact yoyote kwa kura za Lowassa. Tumeisha amua mabadiliko ni lazima na kura zetu kwa kwa Lowassa ziko pale pale. Nyie endelea kuhangaika na huyo Slaa.
Tiba
Ukweli ni kwamba Lowasa hatumtaki
Hana jipya... Sasa hivi anatumia nguvu maana tumemdharauSlaa kajiunga na genge la mafisi kuwahujumu watanzania
yaani matatizo yetu yote hayaoni mpaka wazungu wamegoma kutusaidia
Ndugu Watanzania...!
Dr Wilbrod Peter Slaa, ataendelea na harakati zake za kupambana na ufisadi na mafisadi kwa kuzungumza moja kwa moja na watanzania kupitia kituo cha televisheni cha Azam Tv, kesho siku ya jumapili saa tatu asubuhi katika kipindi cha FUNGUKA na kisha kurudiwa tena kesho hiyo hiyo saa moja jioni.
Dhamira yetu katika mapambano dhidi ya wezi, wala rushwa na mafisadi inazidi hofu juu ya UHAI wetu na inazidi tamaa ya raha na utajiri wa kidunia.
Tunatimiza wito wa MUNGU katika kuwatetea na kuwasemea wanyonge wa nchi hii, tumedhamiria kuisimamia kweli na ni KWELI pekee ndio tunayoisimamia.
Sambaza ujumbe huu kwa kila Mzalendo wa nchi hii.
Usikose kuangalia kipindi cha FUNGUKA kesho kupitia AZAM TV.[/
MWENZENU NASHANGAA SANA WANASIASA WA BONGO HIVI KAMA MWENYE DHAMBI AKIKIMBILIA KWA PADRI .PADRI AMKIMBIE MUUMINI HUYO KISA ANA DHAMMBI .? Nimeamini NA KUJIFUNZA KITU WANASIASA MASKINI HAWAFAI KWA GENERATION YA SASA MAANA NASHINDWA KUITAMBUA PhD ya mzee INAMSAIDIAJE KUCHANGANUA CHANGAMOTO ZA KILA SIKU KATIKA ULIMWENGU WA SIASA
SIJAWAHI DHANI KAMA MTU HUYU ANAWEZA KUJA KUTUMIKIA CHUO CHA WEZI KWELI AJIRA TANZANIA NI SHIDA KUBWA MOLA TUPE JICHO LA TATU
Wewe usiseme zetu, sema yako... Naona huwajui vzr Watz... Utaja pigwa butwaa na hutaamin matokeo..
Sorry kama nikieleweka vibaya...huyu mzee namheshimu sana ila anochafanya sasa si faida kwa watanzania..hakuna anachokipigania hapo zaidi ya kutimiza mkataba wake na waliomtuma kufanya anavyofanya. kuzunga vyombo vyote hivyo vya habari ni kutafuta coverage-Moja ya mashart yawaliomtuma. Shame on him....
Anafanya hivyo kwa faida ya nani? Anamtetea nani na iliiweje? Hawezi kuwa rais...siasa kaacha...hana chama.....yote hayo anatafuta nini?
mpaka dawa iwaingie kwenye mifupa.
kweli, asipoangalia atavunja ndoa ya magifuliWewe baba utawaua hawa UKAWA. SLaa nondo zako hakuna akili ya kuzijibu ndani ya UKAWA
Tatizo ccm bado mnafikiri mna deal na watanzania wa uchaguzi wa 2005, kosa kubwa sana. Mgejua ni kwanini safari hii makundi ya vijana yameamua kujiandikisha kupiga kura msinge hangaika kumtembeza Slaa kwenye vituo vya luninga. Alicho kiongea Serena Hotel watu walimsikiliza kisha wakasema sawa, kaa pembeni sisi tunasonga mbele.
Kifupi watu wameichoka ccm kupita maelezo hata hiyo oct 25 wanaiona ipo mbali kwelikweli.
CCM mko busy kunadi mahojiano ya Dr. Slaa kwenye TV badala ya kumnadi mgombea wenu. Kwa taarifa yenu Dr. Slaa hana impact yoyote kwa kura za Lowassa. Tumeisha amua mabadiliko ni lazima na kura zetu kwa kwa Lowassa ziko pale pale. Nyie endelea kuhangaika na huyo Slaa.
Tiba