Dawa ya mapenzi ya kihaya mkuu, ukitupiwa hio huchomoki mkuu.shuntama ndio nini mkuu?
shuntama ndio nini mkuu?
Nilifikiri wapo Canada kumbe ulaya sasa? Ina maana baada ya harusi wakaenda ulaya kwa fungate? Ina maana mzee alikuwa na kiasi kikubwa cha dola kuzunguka ulimwengu kama JK, au ndo ile Ten percent ya kutokea? Duh Wacha tusote kwenye joto letu tu.
Ha ha h h haaa ; means KATIBU kakaliwa chapati?Limbwata toka kanda ya ziwa.
Inaweza kuwa Canada, mimi Ulaya nilimaanisha nchi za magharibi au 'mbele'Nilifikiri wapo Canada kumbe ulaya sasa? Ina maana baada ya harusi wakaenda ulaya kwa fungate? Ina maana mzee alikuwa na kiasi kikubwa cha dola kuzunguka ulimwengu kama JK, au ndo ile Ten percent ya kutokea? Duh Wacha tusote kwenye joto letu tu.
Ala kumbe?mimi
Inaweza kuwa Canada, mimi Ulaya nilimaanisha nchi za magharibi au 'mbele'