Dr. Slaa kama amerudi kuwa kijana, hapa wakiwa wanafurahi na wife huko Ulaya

real G

JF-Expert Member
Feb 7, 2013
5,227
5,296
1458639230402.jpg
 
Hapo alikuwa Canada ubatani na mamsap!
Ni kawaida na haki siku zote ukimpata na mkashibana.. lazima uonekane kijana!!
 
mimi
Nilifikiri wapo Canada kumbe ulaya sasa? Ina maana baada ya harusi wakaenda ulaya kwa fungate? Ina maana mzee alikuwa na kiasi kikubwa cha dola kuzunguka ulimwengu kama JK, au ndo ile Ten percent ya kutokea? Duh Wacha tusote kwenye joto letu tu.
Inaweza kuwa Canada, mimi Ulaya nilimaanisha nchi za magharibi au 'mbele'
 
Najaribu kuangalia kwa ukaribu......eti nyie mliopo huko duniani.......ndio viatu mnavyovaa hivi mkiwa huko kipindi cha baridi yenye theluji.....?......
Au hiyo baridi huwa inakuwaje.........?......
 

Attachments

  • image.png
    image.png
    227.6 KB · Views: 33
Back
Top Bottom