Injury to reputation iliyowakuta Dkt. Slaa na Zitto Kabwe mpaka sasa wanaonekana wasaliti wasiofaa nani alaumiwe?

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Jan 9, 2022
1,383
3,023
Zitto kabwe na Dkt. Slaa ni moja kati ya wanasiasa ambao hadhi zao zilipotea kwa sababu ya Propaganda ndani ya CHADEMA ambazo zinaweza kuwa za kweli au uongo.

Baada ya kutumia zaidi ya miaka 15 kujenga majina yao kisiasa wanasiasa hawa walijikuta katika migogoro ya kisiasa na CHADEMA iliyopelekea kupoteza hadhi na mvuto mbele ya Jamii.

Hakuna asiye mjua Dr Slaa kipindi cha Mwembeyanga, hakuna asiyemjua zitto kabwe pia , Je walistahili kilichowakuta au nani alaumiwe?
images (34).jpeg
images (36).jpeg
 
Mmoja alitaka kuleta demokrasia ndani ya chama cha demokrasia kwa kutaka kuchukua nafasi ya mwenyekiti dikteta mwenyekiti akamtimua, mwingine alikataa unafki miaka yote wamemuita Lowasa fisadi alafu from nowhere aanze kumpigia kampeni kuwa ni mtu safi kisa mwenyekiti wa chama kakunja Billion 5 za kumpa nafasi ya kugombea u Rais , akaona huo unafki yeye hauwezi akajiweka pembeni.
 
Mmoja alitaka kuleta demokrasia ndani ya chama cha demokrasia kwa kutaka kuchukua nafasi ya mwenyekiti dikteta mwenyekiti akamtimua, mwingine alikataa unafki miaka yote wamemuita Lowasa fisadi alafu from nowhere aanze kumpigia kampeni kuwa ni mtu safi kisa mwenyekiti wa chama kakunja Billion 5 za kumpa nafasi ya kugombea u Rais , akaona huo unafki yeye hauwezi akajiweka pembeni.
Pesa ndio kila kitu
 
Back
Top Bottom