Dr Slaa Jibu tuhuma hizi...!

Kuna watu humu JF wanamwona Slaa kama mungu mtu!

Sasa ww una muona wa kawaida? pale paramiho alihamia ili aje kusoma seminary. Hajakaa sana akawa raisi wa serikali ya wanafunzi. Kila mahala lazma mumpe cheo ndio maana kila eneo yy ni katibu. Akaja akashinda ubunge bila hata diwani mmoja wa chama chake wala mwenyekiti. miaka mitano badae anatwaa ngome yote yaan halmashauri. Huyu jamaa anashinda uongozi kama ananawa vile. Ww unadhani humu watu tusimpende mteule huyu??? Rejao naomba urejee nafsi
 
Aisee..ngoja nisiongee maana nitatukana halafu nitapigwa ban bure..hivi hapo tuhuma zinazomgusa Dr Slaa ni zipi? Hivi wewe mleta uzi,kweli umekosa akili za kawaida kabisa kufanya upembuzi yakinifu ya hii habari kabla ujaileta hapa JF? Kwanini tunapenda kujidhalilisha mbele za watu bila hata kutafakari madhara yake? Mke wako na watoto wako wanajua kuwa uwezo wako wa kuchambua mambo ni mdogo kiasi hiki? Kwamba unabeba habari kichwa kichwa bila hata kuchuja? Nadhani unapaswa kujifunza namna ya kusoma mambo na angalau kufanya uchambuzi kabla ya kuleta hapa kwenye jukwaa makini.
 
mbona hiyo haimgusi dr.slaa moja kwa moja,maana hayuko peke yake kwny utendaji,na kingine yeye sio mtendaji mkuu,hili ilibidi lielekezwe kwa mtendaji mkuu,halafu eti anasema CCBRT chini ya Dr Slaa,bogus.
 
Nimejaribu kusoma na kurudia rudia mwisho nimegundua CCM wako sharp safari hii hawalazi dammu wanashambulia ndege hata kabla haijaondoka ardhini! Arumeru itakuja na mengi kweli. Ndani ya wiki moja tumeona viongozi mbalimbali wa CDM wanavyoshambuliwa bila kupepesa macho. Natarajia hili litaendelea hadi viongozi wa CDM watakapotambua nilichosema karibu mwaka mmoja uliopita siyo maslahi ya CDM kuwasaidia CCM watawale vizuri! Lengo la CDM linatakiwa kuidhoofisha CCM na kuifanya ionenake mbovu! Bahati mbaya sidhani kama hili linaeleweka bado!
 

Nilimsikiliza alipoongea kwny ule mdahalo wa ITV wkt wa election campaigns and i was like,this is the president speaking.
 
Hivi taasisi kubwa kama CCBRT haifanyiwi year auditing na reputable consultancies? au wanafikiri international organs zinapoisaidia CCBRT huwa hazipitii account books zake!?
 
Kama anasjhinda kila mahali..kwanini hakushinda urais 2010?
Jaribu kufikiri kwanza kabla hujaandika chochote hapa!!
 

majibu ya humu bora hata ya Fb,watu wakipenda kitu hawataki kiguswe
 
Hivi taasisi kubwa kama CCBRT haifanyiwi year auditing na reputable consultancies? au wanafikiri international organs zinapoisaidia CCBRT huwa hazipitii account books zake!?
Mkuu mimi hayo mambo ya ufisadi huko CCBRT siyajui lakini nikuambie jambo moja kwamba kazi ya auditing siyo kugundua wizi ama ufisadi ndani ya kampuni ama shirika ila kuna uwezekano (nasema uwezekano si lazima) auditing ikagundua wizi ama ufisadi.
 
Kama anasjhinda kila mahali..kwanini hakushinda urais 2010?
Jaribu kufikiri kwanza kabla hujaandika chochote hapa!!

Kwa taarifa yako Dr. Slaa alishinda urais,ila nyie kwa utapeli wenu usio na aibu mkamtangaza baba mwanaasha,sisi rais wetu ni Dr. Slaa.
 
Hivi Dr Slaa ni mchagga? Huo ukaskazini as if kuna kabila linaitwa kaskazini unatoka wapi? Watanzania tuache uchochezi
 
those concerned will move on checking the reliability of the study done...!
 

Rais wa CCBRT Mhe Anne Makinda na viongozi wengine wa CCBRT wakati wa ufunguzi wa Hospotali ya Baobab
[source: website ya CCBRT]
 

Mke anahusiana nini na yeye.Mlenge yeye.
 
Kwa taarifa yako Dr. Slaa alishinda urais,ila nyie kwa utapeli wenu usio na aibu mkamtangaza baba mwanaasha,sisi rais wetu ni Dr. Slaa.

Kaka ushapiga kura tayari.Mi najua uchaguzi bado.Huyo slaa iwaje tena?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…