Dr. Slaa interview na Washington, D.C., U. S. A. Pacifica station WPFW 89.3 FM, Oct 9, 2013

Dr. Slaa interview na Washington, D.C., U. S. A. Pacifica station WPFW 89.3 FM, Oct 9, 2013

Chadema Diaspora

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2010
Posts
480
Reaction score
644

Dr. Slaa interview na Washington, D.C., U. S. A. Pacifica station WPFW 89.3 FM, Oct 9, 2013


Dr. Wilbroad Slaa amealikwa kwa mahojiano na WPFW Radio ya Washington, D.C. U.S.A. siku ya Jumatano October 9, 2013. Saa saba mchana saa za Amerika ya mashariki (1pm U.S Eastern time)/ Saa mbili usiku saa za Afrika mashariki (8pm East Africa time).

Kumefanyika jitihada za kuushirikisha ubalozi wa Tanzania nchini Marekani kushiriki mahojiano haya bila kuwa na mafanikio. Bado jitihada za kuushirikisha ubalozi zinafanyika mpaka hivi sasa.

Baadhi ya mambo yatakayo jadiliwa ni hali ya siasa Tanzania, hali ya kijamii, hali ya kiuchumi, amani na usalama wa Tanzania na mengineo.

Bofya hapa kusikiliza WPFW radio live WPFW Radio

Kadhalika, Dr. Slaa atasikika katika WIBC FM 93.1 ya Indianapolis. Greg Garrisson Show ndiyo moja ya Vipindi maarufu nchini Marekani. Hiki kipindi kinasikika nchi nzima. Tune in saa 3 Asubuhi (Tatu asubuhi). EST. Monday, October 7 - Garrison | Indy's News Center - 93.1 WIBC Indianapolis - Live. Local. First.
View attachment 115748
Source: CHADEMA DIASPORA : Dr. Slaa interview na Washington, D.C., U. S. A. Pacifica station WPFW 89.3 FM., Jumatano, Oct 9, 2013

Mahojiano; Dr. Slaa na Greg Garrison 93.1 WIBC; Pia Dr. Slaa na Pacifica satation WPFW Washington. D. C. Haya hapa...

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Dr. Willbrod Slaa ambaye yupo kwenye ziara ya "VISION TANZANIA" nchini Marekani,. leo amefanya mahojiano na vituo viwili vya radio hapa nchini kueleza mambo mbalimbali kuihusu Tanzania.

Saa tatu asubuhi kwa saa za Marekani ya Mashariki, Dr. Slaa alikuwa katika studio za 93.1 WIBC Indiannapolis kwenye Garrison Show....Bonyeza link hapa chini kusikiliza mahojiano hayo

[video]https://soundcloud.com/jamii-production/mahojiano-ya-dr-willbrod-slaa[/video]

Mchana wa leo (saa saba mchana kwa Marekani ya Mashariki), Dr Slaa alifanya mahojiano kwa nia ya simu na WPFW Radio ya Washington, D.C....
Bonyeza link hapa chini kusikiliza mahojiano hayo


[video]https://soundcloud.com/jamii-production/dr-slaa-afanya-mahojiano-na[/video]

Source: CHADEMA DIASPORA : Mahojiano; Dr. Slaa na Greg Garrison 93.1 WIBC; Pia Dr. Slaa na Pacifica satation WPFW Washington. D. C.
 
His Excellency.... .!

Ubalozi umeanza mambo ya kishabiki tena? Au wanaogopa yaliyomkuta Balozi Nyaki alipomkaribisha Edwin Mtei Nyumbani miaka ya 90?

Hili ndiyo Tatizo la kutotaka kuajiri professionals kwenye balozi zetu.Unazi tu!

Kwenye Interview:Nakumbuka JK alikua akitoroshwa na Bush ili asihojiwe na Mwandishi yeyote hadi alipopata uzoefu wa kuwakwepa bila msaada wa mwenyeji wake

Siku alipojaribu na kufanyiwa Interview na Chombo kimoja cha Ufaransa aliishangaza Dunia.Hakuona aibu kuitangazia dunia kwa ujasiri kuwa hajui kwanini Tanzania ni maskini maana hata yeye mwenuewe ANASHANGAA!
 
His Excellency.... .!

Ubalozi umeanza mambo ya kishabiki tena? Au wanaogopa yaliyomkuta Balozi Nyaki alipomkaribisha Edwin Mtei Nyumbani miaka ya 90?

Hili ndiyo Tatizo la kutotaka kuajiri professionals kwenye balozi zetu.Unazi tu!

Kwenye Interview:Nakumbuka JK alikua akitoroshwa na Bush ili asihojiwe na Mwandishi yeyote hadi alipopata uzoefu wa kuwakwepa bila msaada wa mwenyeji wake

Siku alipojaribu na kufanyiwa Interview na Chombo kimoja cha Ufaransa aliishangaza Dunia.Hakuona aibu kuitangazia dunia kwa ujasiri kuwa hajui kwanini Tanzania ni maskini maana hata yeye mwenuewe ANASHANGAA!

Ubalozi wamealikwa kwenye mazungumzo haya, lakini bado haujatoa kauli ya kushiriki au kuto shiriki. Bado radio host anasubiri kusikia kuto kwao.
 
Ubalozi wamealikwa kwenye mazungumzo haya, lakini bado haujatoa kauli ya kushiriki au kuto shiriki. Bado radio host anasubiri kusikia kuto kwao.

"Watakimbia lakini hawataweza kujificha" by John Kerry..
 
Ubalozi wamealikwa kwenye mazungumzo haya, lakini bado haujatoa kauli ya kushiriki au kuto shiriki. Bado radio host anasubiri kusikia kuto kwao.

Balozi anasubiri kibali cha kwenda kwenye mahojiano kutoka lumumba street kwa Kanali Ze Dentist Kinana.

Huu ukimya ni dalili kuwa hawajafanikiwa kumuandalia ''possible questions and answers''! Usikute wanafanya mipango ya kimya kimya ya kupatiwa maswali ili balozi ajiandae mapema!

Wakati nasoma kuna wakati tulikuwa tunamuomba ''mwalimu'' atudokezee ''area of concentration'' hasa kwa yale masomo magumu, bila shaka ndicho balozi wetu anachofanya kabla ya kukubali au kukataa!
 
His Excellency.... .!

Ubalozi umeanza mambo ya kishabiki tena? Au wanaogopa yaliyomkuta Balozi
Nyaki alipomkaribisha Edwin Mtei Nyumbani miaka ya 90?

Hili ndiyo Tatizo la kutotaka kuajiri professionals kwenye balozi
zetu.Unazi tu!

Kwenye Interview:Nakumbuka JK alikua akitoroshwa na Bush ili asihojiwe
na Mwandishi yeyote hadi alipopata uzoefu wa kuwakwepa bila msaada wa
mwenyeji wake

Siku alipojaribu na kufanyiwa Interview na Chombo kimoja cha Ufaransa
aliishangaza Dunia.Hakuona aibu kuitangazia dunia kwa ujasiri kuwa hajui
kwanini Tanzania ni maskini maana hata yeye mwenuewe
ANASHANGAA!

mkuu, ubalozi unajua kuwa dr slaa anataka kuzungumza upumbavu tu hakuna kitu kingine. naona anataka kuendeleza hoja za uzandiki, uzushi, uongo na ufitini kama alivyoanzisha Lissu
 
Balozi anasubiri
kibali cha kwenda kwenye mahojiano kutoka lumumba street kwa Kanali Ze
Dentist Kinana.

Huu ukimya ni dalili kuwa hawajafanikiwa kumuandalia ''possible
questions and answers''! Usikute wanafanya mipango ya kimya kimya ya
kupatiwa maswali ili balozi ajiandae mapema!

Wakati nasoma kuna wakati tulikuwa tunamuomba ''mwalimu'' atudokezee
''area of concentration'' hasa kwa yale masomo magumu, bila shaka ndicho
balozi wetu anachofanya kabla ya kukubali au kukataa!

Dr Slaa aache unafiki. mambo ya Tanzania utaongeleaje kwenye nchi za watu? yaelekea ndo tabia yake kutoa mambo ya ndani kufikisha kwa jirani. ndo maana hakuna mwanamke anayependa kuolewa naye. walisambaza picha za uchochezi wameshindwa na sasa wanakuja kivingine. pole sana babu. bora uje kulea watoto wajukuu wako tu bongo
 
huyu babu kweli amechanganyikiwa. baada ya watanzania kumchoka na umaarufu wake kupungua, sasa anakuja kwa stail hiyo?
Opinion poll ilifanyika lini? Na nani? Kwa sample yenye ukubwa gani? Iliyochaguliwaje? Matokeo ya opinion poll?

No research no right to speak.
 
Opinion poll ilifanyika
lini? Na nani? Kwa sample yenye ukubwa gani? Iliyochaguliwaje? Matokeo
ya opinion poll?

No research no right to speak.

bila shaka wewe utakuwa unaishi uhamishoni huko marekani? tafiti zipo na dr slaa mwenyewe analijua hilo
 
mkuu, bado perdiem anayopata haijafikia kiwango anachohitaji

Slaa lately amekuwa mtu wa kujiabisha sana.

Nadhani baada ya watu kujua ufisadi wake sasa anajitahidi kutafuta njia nyingine ya kutoka, lakini mwisho wake anaharibu!

Kuna watu walimshauri apumzike siasa akakubali ila Josephine ndio anamshinikiza kuendelea na siasa kwa sababu anadhani kuna siku atakuwa first lady!!!
 

Dr. Slaa interview na Washington, D.C., U. S. A. Pacifica station WPFW 89.3 FM, Oct 9, 2013


Dr. Wilbroad Slaa amealikwa kwa mahojiano na WPFW Radio ya Washington, D.C. U.S.A. siku ya Jumatano October 9, 2013. Saa saba mchana saa za Amerika ya mashariki (1pm U.S Eastern time)/ Saa mbili usiku saa za Afrika mashariki (8pm East Africa time).

Kumefanyika jitihada za kuushirikisha ubalozi wa Tanzania nchini Marekani kushiriki mahojiano haya bila kuwa na mafanikio. Bado jitihada za kuushirikisha ubalozi zinafanyika mpaka hivi sasa.

Baadhi ya mambo yatakayo jadiliwa ni hali ya siasa Tanzania, hali ya kijamii, hali ya kiuchumi, amani na usalama wa Tanzania na mengineo.

Bofya hapa kusikiliza WPFW radio live WPFW Radio

Source: CHADEMA DIASPORA : Dr. Slaa interview na Washington, D.C., U. S. A. Pacifica station WPFW 89.3 FM., Jumatano, Oct 9, 2013


Balozi anasubiri kibali cha kwenda kwenye mahojiano kutoka lumumba street kwa Kanali Ze Dentist Kinana.

Huu ukimya ni dalili kuwa hawajafanikiwa kumuandalia ''possible questions and answers''! Usikute wanafanya mipango ya kimya kimya ya kupatiwa maswali ili balozi ajiandae mapema!

Wakati nasoma kuna wakati tulikuwa tunamuomba ''mwalimu'' atudokezee ''area of concentration'' hasa kwa yale masomo magumu, bila shaka ndicho balozi wetu anachofanya kabla ya kukubali au kukataa!

Ndugu majibu si hayo tayari ajiande tu?
au anataka kujua hayo Mengineo? kama anaogopa si awaambie watoe hiko kipengele cha mengineo?
 
Slaa lately amekuwa mtu
wa kujiabisha sana.

Nadhani baada ya watu kujua ufisadi wake sasa anajitahidi kutafuta njia
nyingine ya kutoka, lakini mwisho wake anaharibu!

Kuna watu walimshauri apumzike siasa akakubali ila Josephine ndio
anamshinikiza kuendelea na siasa kwa sababu anadhani kuna siku atakuwa
first lady!!!

mkuu, ahsante sana. Tatizo dr slaa amechanganya ya Kaisari na ya Mungu. kama angeamua kuwa padre kama alivyoanza na akaendelea kuwa hivyo hadi sasa, hizi pressure zinazomkumba sasa angeepukana nazo. huyu kibabu ana mwisho mbaya sana. wenzake wanamaliza na Mungu yeye anamaliza na shetani. na hakuna mwisho mbaya kama kumaliza na shetani
 
Back
Top Bottom