Gor
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,791
- 850
Mwaka 2010 ulinifanya nikuheshimu sana maana hata sikujua umetokea wapi?.Nilikuheshimu kwa challenge kubwa uliyotoa kwa CCM.
Sasa Daktari wa ukweli nakuomba sasa utuoneshe kwa ishara na matendo ya kuwa mara hii unataka kuitumikia ofisi kuu ya nchi ukiwa rais wa nchi hii na si vinginevyo.
Umekaa kimya mno,watangazie wananchi sasa ili waone graph yako inavyopanda,kukaa kimya sio poa kisiasa.Ruhusu watu wahoji utendaji wako ili wasiwe na maswali juu yako lakini pia utatusaidia sisi wapiga kura kufanya maamuzi mapema ya kukuchagua.Pia hii itawavutia watu wengi sasa kukufuatilia ambayo ni safi sana kisiasa,do it Sir.
Sema kamanda kwa madaha na kiburi kuwa 2015 unataka kuwa mtumishi mkuu.Natumia kiburi sababu unaungwa mkono sana na utaungwa mkono na nguvu mkubwa sana,usisite tuko nyuma yako.
Sasa Daktari wa ukweli nakuomba sasa utuoneshe kwa ishara na matendo ya kuwa mara hii unataka kuitumikia ofisi kuu ya nchi ukiwa rais wa nchi hii na si vinginevyo.
Umekaa kimya mno,watangazie wananchi sasa ili waone graph yako inavyopanda,kukaa kimya sio poa kisiasa.Ruhusu watu wahoji utendaji wako ili wasiwe na maswali juu yako lakini pia utatusaidia sisi wapiga kura kufanya maamuzi mapema ya kukuchagua.Pia hii itawavutia watu wengi sasa kukufuatilia ambayo ni safi sana kisiasa,do it Sir.
Sema kamanda kwa madaha na kiburi kuwa 2015 unataka kuwa mtumishi mkuu.Natumia kiburi sababu unaungwa mkono sana na utaungwa mkono na nguvu mkubwa sana,usisite tuko nyuma yako.