Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,711
- 1,914
Atajuaje wakati elimu ya kujua hana anayo elimu ya dini tu.
Lowasa nasikia ana ugonjwa wa kusahau,sasa sijui itajuwaje akiwa raisi..
Hivi wewe mirembe uliruhusiwa kweli?
Atajuaje wakati elimu ya kujua hana anayo elimu ya dini tu.
Huyu Simiyu Yetu pamoja na MaCCM wenzake sio kuwa wanapenda kuattack watu badala ya hoja. Tatizo ninaloliona kwao ni kuwa kwanza kabisa uelewa wao wa mambo ni mdogo kwa ujumla lakin pia Ukiwa CCM huwezi pata hoja ya mashiko ya kusifia CCM mana ni genge linalokusanya Mafisadi, Makabaila, Wakwepa Kodi, Wezi wa rasilimali za Taifa etc. Ni ngumu sana kwa mtu mwenye akili timamu kuwa ccm.Simiyu ukiamua kuwatukana viongozi wa cdm,ujue na sisi wana cdm tutaamua kuwatukana viongozi wa ccm,tuongelee utendaji wa viongozi wetu ki kazi na siyo kuawashambulia ki maumbo yao.
Hahahahahahaaaaaaa ....mkuu Mingoi huyu mzee atawatesa sana mwaka huu. Na tabu inawazidi kwakuwa yuko kimya anawaangalia mnavyo ruka ruka tuMkuu Kabwela usitutishe na PhD ya Sayansi kimu.
Kanoni ndo nini?Hiyo elimu ya kanoni za kanisa katoliki yenyewe imemshinda. Msanii tu hana kingine.
Atajuaje wakati elimu ya kujua hana anayo elimu ya dini tu.
Kuna kipnd tumia akili kuwaza sio tumbo kulipa majkumu makubwa mkuu
Nadhani ukiandika tena sentensi hiyo hutaiandika ilivyo sasa. Hao wanaokuongoza wana elimu gani ya kujitambua kumzidi unaemdharau? Jadili siasa philosophy zingine kama huzijui pita tu sio lazima uchangie