On a serious note,Jk amekuwa rais hajawahi hata kuhutubia chuo chochote cha nje,Slaa amefanya hii kuonesha kabisa kwamba jk anajulikana ni kilaza tu huko kwa wenzetu sishangai kuona watu wa bk7 wakiwa wamechanganyikiwa kiasi hiki.So proud of Dr Slaa
Kiingereza ni janga la taifa, hata Slaa na speechwriters wake wame bungle lugha hapo kwenye speech.
Sema mengine tunamezea tu kwa maana tushaambiwa sana "si lugha ya taifa".
Sasa kama si lugha ya taifa kwa nini tunaitumia?
Watanzania wepi waliomtuma huko alikoenda na mchumba? mbona babu anavunga wanafunzi huko?
Rais wa nchi gani? Au wewe ni mkimbizi Hata hivyo sijawahi sikia rais anaitwa Padre Wilbroad Peter Slaa hapa duniani!!!!!
Tutakuwekea kipengere kimoja baada ya kingine katika hii hotuba soma kwanza hiki hapa chini, ukimaliza sema tukuwekee kingine.slaa hana jipya.
Now, now, now, now.
Hii ni serious allegation.
I am hardly a Kikwete fan. But I respect facts.
JK hajawahi kuhutubia chuo chochote cha nje?
Do you want to qualify this before a few google searches?
No one can change without any compelling reasons. Changing like chameleons, like most of you do, is very dangerous and may ruin your dreams results to cutting short your life. You need to convince people that they need change before they decide to change. convincing goes hand in had with data and evidences collected at local and global level. Telling me that we are poor and "someone" from the space can make me rich is as nonsense as some who has never been to school at all. Give me a vivid example, of any opposition leader within the sub-saharan countries who swept into power after removing a long standing Government and managed to change people lives at their expectations. Then we start talking sense..........
Watanzania wepi waliomtuma huko alikoenda na mchumba? mbona babu anavunga wanafunzi huko?
Our country rich in resources is being exploited by foreign entities, while our President is busy trotting the world begging for mosquito nets. With our resources, we can make our own mosquito nets without them being donated to us. Chadema party which I represent is poised to changed that, and the most important tool we need is the development of human capital
Babu hapo umesema uongo wa wazi wazi kabisa; Jionee hapa A-Z Textiles Arusha:
... A to Z is the leading manufacturer of long lasting impregnated mosquito nets in the continent.
(photo by Paul Sarwatt)
Hata ma Princess wanakitembelea, babu anadangaya USA.
Dr. kasema tunauwezo wa kutengeneza vyandarua bila kuomba msaada kutoka kwa wafadhili. A-Z ni mradi wa nani?
Black Widow
'''We believe on education to be the only way for Tanzania to rise from the abject poverty it is in today. We have no alternative but train our young people who will in turn, employ their intellectual creativity into full practice to enable Tanzania become an economic giant in a continent long forgotten'''
Wengine wakienda huko wanaomba na kupewa SUTI