Dr. Slaa delivers a Stunning speech, challenges Americans!

Dr. Slaa delivers a Stunning speech, challenges Americans!

the best speech, and thats philosophy we need in TZ ,rather than these CCM old fashioned philosohpy
 
Kwanini ndgu mnaoSupport CCM hampendi kubadilika! Kwanini mnapenda kujadilia wa2 Badala ya HOJA? nadhani ndomana humu mnadharaulika hadi mnaambiwa mnaishi kwa Elf 7! Binafs ningefurahi km wa2 mngekuwa mnaichana hiyo Speech! kwa HOJA lkn nmna hii haikusaidii ww wala hao unaowawakilisha acheni woga NCH hii niyetu SOTE hakuna mwenye hatimiliki!

Hao ni sikio la kufa mkuu wemegundua tunawazidi kwa hoja ndiyo maana wanajihami kwa ku attack watu na sio kushambulia hoja husika na mpaka Rais wetu nae wanamwandikia hotuba za kushambulia watu wakati anajua kabisa anahutubia Taifa,ni full kuambukizana aka wamechanganyikiwa
 
yani kunawatu hawana tofauti na wabunge wao.. Hoja iliyoko hapa haimjadili slaa lakini watu wanatoka povu kujadili maisha yake binafsi.
 
what a speech!!!!!!!sijawahi hata cku moja kusikia,kuona au kushuhudia baba ritz akitoa speech yenye akili kama hii.yaani hata siamini wanalumumba hakuna hata mmoja ambaye ameweza kuikosoa hii speech.wanabaki kutupia viembe tu badala ya kujenga hoja.what a speech,what a katibu mkuu

Nimependa sana maneno yako..

Hakika Dr Slaa ni the best Katibu Mkuu ever in our country for recent years!
 
A well prepared speech,each paragraph is written in its own unique way,I HOPE WHAT IS WRITTEN is WHAT HE AND THE PARTY REAL MEAN AND WANT.
 
yani kunawatu hawana tofauti na wabunge wao.. Hoja iliyoko hapa haimjadili slaa lakini watu wanatoka povu kujadili maisha yake binafsi.

Nyerere alishasema hao ni watu waliofilisika kumkichwa..!!
 
Watanzania wepi waliomtuma huko alikoenda na mchumba? mbona babu anavunga wanafunzi huko?

Faiza! Thinking reasonably is the beginning of change. If we really want to be successful let's be more pragmatic and forget about party politics because it tends to cover our minds with a black veil, the veil of ignorance.Lets focus on issues and how to manage our institutions, how to govern our politics...we have problems, serious ones.Aren't we enlightened enough to think big for our country?

What i can see here is Responce to Change against Reaction to change. It is obvious that you are not ready for change and your reacting to change.Humans suffer because they don't want to be real which is called idealism. Idealists find artificial solutions than pragmatic one.

Let's us open the new door, time has come to accept our failure and start moving. This is called Realism. We need Realists and i'm sure we have such leaders in the country.

Ritz,ZeMarcopolo,Hammy-D na wengine let's think big for our country.
 
Una ushahidi wa huu ujinga ulioandika hapa au tu ni kwa kuwa umepata INTERNET ya bure na keyboard ya kugonga gonga bila kulipia?

Kumbe na wewe ni mmoja wa mnaodanganywa danganywa? ushahidi wa nini ili hali mambo yako wazi. Google uone. Slaa atawadanganya sana na mtaishia kula hewani mnaangalia tu.

Kudadadadadadeki
 
Bado nashangaa wenye AKILI Hawaongozi nchi hapa Tanzania???shame on;;;;;;;;;;;

Mkuu ni huku kwetu tu ndo mtu anayetegemea kuongoza kwa kuambiwa,kusikia kuelezwa, kujulishwa ndiyo anaweza kuwa raisi. Ndiyo maana leo hii kila mtu anataka kuwa Rais maana inaoekana hahitajiki mtu mwenye akili. Hebu jaribu kufikiri watu wote wanotaka Uraisi kupitia CCM ni nani ana uwezo wa kumzidi Dr. Slaa? Lakini kwa vile wanajua watanzania hawaangalie intelligence ya mgombea hata Wasira anaweza kuwa mgombea uraisi kisa tu wajumbe wengi wa halmashauri ya wamempigia kura nyingi!

Kw wenzetu Raisi lazima uwe una akili kuwazidi wengine, akili kubwa ndiyo huongoza akili ndogo. hapa kwetu ni kinyume chake!
 
Ahsante Rais wangu....Ahsante kwa kurudisha hadhi ya TAifa la tanzania katika hali yake ya zamani...Dhaifu ameharibu kabisa taswira ya nchi yetu Kimataifa...Ahsante Dr. kwakusafisha Image ya nchi nyetu..
 
Unwazungumzia first year wa vyuo vy nchi gani mkuu wakati graduates wetu tu kiingereza ni shughuli
Seriously mkuu, nazungumza nikimaanisha kwamba hii hotuba ni ya kawaida kabisa, ukitafuta first year yoyote wa sheria anaweza andika vizuri kuliko jinsi hii hotuba ilivyoandikwa...kama mwenye phd anaandika vibaya hivi, sina haja ya kutafuta hiyo phd...
 
Hotuba ya kinafiki hii! Misaada ya watu wa denmark na ujerumani ambayo Chadema imenunua magari ya M4C ni nini? Au Chadema imeuza uhuru kiasi kwa wazungu wa ujerumani na denmark haitaki kuuza uhuru wake marekani????
 
Faiza! Thinking reasonably is the beginning of change. If we really want to be successful let's be more pragmatic and forget about party politics because it tends to cover our minds with a black veil, the veil of ignorance.Lets focus on issues and how to manage our institutions, how to govern our politics...we have problems, serious ones.Aren't we enlightened enough to think big for our country?

What i can see here is Responce to Change against Reaction to change. It is obvious that you are not ready for change and your reacting to change.Humans suffer because they don't want to be real which is called idealism. Idealists find artificial solutions than pragmatic one.

Let's us open the new door, time has come to accept our failure and start moving. This is called Realism. We need Realists and i sure we have such leaders in the country.

Ritz,ZeMarcopolo,Hammy-D na wengine let's think big for our country.

No one can change without any compelling reasons. Changing like chameleons, like most of you do, is very dangerous and may ruin your dreams results to cutting short your life. You need to convince people that they need change before they decide to change. convincing goes hand in had with data and evidences collected at local and global level. Telling me that we are poor and "someone" from the space can make me rich is as nonsense as some who has never been to school at all. Give me a vivid example, of any opposition leader within the sub-saharan countries who swept into power after removing a long standing Government and managed to change people lives at their expectations. Then we start talking sense..........
 
Faiza! Thinking reasonably is the beginning of change. If we really want to be successful let's be more pragmatic and forget about party politics because it tends to cover our minds with a black veil, the veil of ignorance.Lets focus on issues and how to manage our institutions, how to govern our politics...we have problems, serious ones.Aren't we enlightened enough to think big for our country?

What i can see here is Responce to Change against Reaction to change. It is obvious that you are not ready for change and your reacting to change.Humans suffer because they don't want to be real which is called idealism. Idealists find artificial solutions than pragmatic one.

Let's us open the new door, time has come to accept our failure and start moving. This is called Realism. We need Realists and i sure we have such leaders in the country.

Ritz,ZeMarcopolo,Hammy-D na wengine let's think big for our country.

Ye shall know them by their fruits. Do men gather grapes of thorns, or figs of thistles? Mat. 7:16

In your right senses, what will Slaa teach us other than immorality. Think.
 
Ahsante Rais wangu....Ahsante kwa kurudisha hadhi ya TAifa la tanzania katika hali yake ya zamani...Dhaifu ameharibu kabisa taswira ya nchi yetu Kimataifa...Ahsante Dr. kwakusafisha Image ya nchi nyetu..

Rais wa nchi gani? Au wewe ni mkimbizi Hata hivyo sijawahi sikia rais anaitwa Padre Wilbroad Peter Slaa hapa duniani!!!!!
 
Unwazungumzia first year wa vyuo vy nchi gani mkuu wakati graduates wetu tu kiingereza ni shughuli

Kiingereza ni janga la taifa, hata Slaa na speechwriters wake wame bungle lugha hapo kwenye speech.

Sema mengine tunamezea tu kwa maana tushaambiwa sana "si lugha ya taifa".

Sasa kama si lugha ya taifa kwa nini tunaitumia?
 
Kumbe na wewe ni mmoja wa mnaodanganywa danganywa? ushahidi wa nini ili hali mambo yako wazi. Google uone. Slaa atawadanganya sana na mtaishia kula hewani mnaangalia tu.

Kudadadadadadeki

Wewe mama, misaada unayoongelea ni ya kijeshi ambayo US inatoa kwa maslahi yake wala haina faida yoyote kwa wananchi wa kawaida.

Usije ukachanganya Fungu la kumi inaotoa Marekani kwa Israel na misaada. Huo ni uamuzi wa wamarekani kutoa Fungu la kumi la budget yao kwenda Isirael. USA waajua baraka za Isirael, siyo Tanzania wanaokataa hata ubalozi wa Isirael, tutaendelea kuwa chini ya laana maana imeandikwa ukilaani isirael utalaaniwna ukiwabariki utabarikiwa! Kumbuka Matajiri wengi wa US ni wayahudi wa Isirael hivyo US kutoa misaada Isirael ni kuwabembeleza pia wafanyabiashara wa kiyahudi ambao wana mchango mkubwa kwenye uchumi wa US. Tofautisha mama uombaomba wa Rais wetu ambao unakuwa mpka kero. Hebu fikiria mtu anayekuja kwa kwako kila siku anakuomba, hivi ukimuona anakuja unajisikiaje?
 
Back
Top Bottom