Operation Chaos! Ndio mkakati wa sasa wa CCM.
kamsa Slaa ni mamluki wenue sindiyo vizuri awe anawaletea siri sasa kwanini nyie ndiyo iwasumbue, hilo ni tatizo kubwa tu
Vipi kuhusu kukamatwa kwa meli za bosi wenu Kinana zikiwa na meno ya Tembo mmesha mchukulia hatua kwa kuhujumu rasilimali za Nchi? hata baba yako alichuliwa hatua gani kwa kufisadi hii nchi ? Peleka hoja za kishambenga huko
Hongera kwa kutupa ukweli ambao wengi tulikuwa htuujuwi. Hata hivyo tuseme Slaa alikuwa hajuwi hilo hata akaendelea kulipia hicho chama ambacho sote tunajuwa kuwa ni chama cha mafisadi? Hili lengo lake naona lingekuwa swali la kujibiwa?Mkuu bado unauliza hayo pamoja na kujua katiba ya CCM?
Mimi nilimsikia Dr. Slaa akisema wanaoshabikia hoja ya kadi ni mbumbumbu, unasemaje?
View attachment 78816
- CUF na CCM wanatawala pamoja kule Zanzibar, kwa hiyo ni sawa sana kwa Lipumba kuw ana kadi ya CCM, lakini Slaa kuwa na kadi ya CCM na anailipia kila mwezi, na huku majuzi mmewafukuza dagaa kwamba ni Mamluki, inatia shaka sana na uwezo wenu wa kuheshimu na kuzingatia Sheria au katiba!!
- Kama hamuwezi kuzingatia Katiba ya Chama chenu itakuwa Katiba ya Jamhuri, mtatupeleka pabaya sana jamani!!
Le Mutuz
Dr. Slaa hawezi kujibu upuuzi kama huu (acha uvivu kasome sheria mbalimbali upate kujuwa uanachama wa mtu unakoma lini na kwa vigezo vipi) hata sisi hatupendi kukujibu ila kwa kuwa tunajuwa kwamba nguvu ya umma lazima itumike kuwalinda wale wote wenye mapenzi mema na taifa hili la walio wengi dhidi ya mafisadi wachache wanaofaidi utajiri wa nchi hadi kurundika mabaki kwenye mabenki (Uswiss nk) na kisha kuwaadaa wananchi kwa sifa za kijinga eti uchumi wetu unakuwa kwa kasi wakati idadi ya walalahoi ikizidi kuongezeka kwa kasi.- Anayetakiwa kujibu ni Slaa menyewe au Chadema, sio wewe na kwa nini mmewafukuza wale watoto wadogo au kwa sababu ni watoto wadogo na hasa Msichana mdogo kwa sababu hawezi kujitetea mbele yenu wababe wa matusi, I mean think about it mamluki ni mamluki tu huwezi kuwa na kadi ya CCM na Chadema ukakosa kuwa mamluki, au?
le mutuz
Ndio maana unaambiwa kila unalolisikia changanya na akili zako!Hongera kwa kutupa ukweli ambao wengi tulikuwa htuujuwi. Hata hivyo tuseme Slaa alikuwa hajuwi hilo hata akaendelea kulipia hicho chama ambacho sote tunajuwa kuwa ni chama cha mafisadi? Hili lengo lake naona lingekuwa swali la kujibiwa?
Ndio maana unaambiwa kila unalolisikia changanya na akili zako!
mr william akili yako ni finyu, kwanza ukianzia maisha yako ni aibu kwa wakati huo mtoto wa waziri mkuu kudadindia meli na kuwa bahari badala ya kusoma kama ilivyo kwa ndugu zake hapo ninashaka sana brain yako, kumbuka kwamba wakati unatoka usa kurudi bongo ulikuwa unatangaza kwamba chadema wanakutaka wamekuhaidi kukupa mil 200 au sio ww, kitu ambacho sielewi kwa ww na wenzako ni tuhuma dhidi ya dr slaa, kuna vitu vya msingi ambavyo watanzania wanapaswa kujadili sorry najua kichwa chako si kizuri, hivyo umewahi kujiuliza kwann wakina mama wanapojifungua wakati mwingine wanalala watu wawili kitanda kimoja? vp fedha za EPA, vp richmond na mikataba mingine mibovu ambayo serikali ya ccm imeingia, vp ajira kwa vijana, vp viwanda vilivyokufa mikononi mwa ccm, hivi ndivyo vitu vya msingi kwa miasha ya watanzania, sio mambo ya dr SLAA kumiliki card ya ccm, hatutaki kusikia upuuzi huu. tujadili vitu vya maana ni jinsi gani tunaweza kutengeneza maisha bora kwa watanzania. mr william malecela kwanza mambo ya kujita baharia, le mutuz, big show etc ni utoto kwa age uliyonayo ya 50+ ni aibu sana, cmon lazima ukue hata kama akili haipo basi tulia, mjinga utamjua kwa kufunua kinywa chake.- Alianza Mheshimiwa Nape kwa kusema kwamba Dr. Slaa anayo kadi ya CCM, Dr. Slaa akamjibu kwamba ni kweli anayo, and then Mh. Nape akaongeza tena kwamba DR. Slaa amekuwa akiilipia Kadi yake ya CCM kila Mwezi, akiwa na maana hata Mwezi uliopita ameilipia, na yupo tayari kuonyesha risiti za Dr. Slaa akilipia kadi yake hiyo ya CCM.
- Mpaka leo Dr. Slaa hajakanusha wala kukubali kwamba huwa anailipia kadi yake, huu ni wakati muafaka sasa Chadema na Dr. Slaa wakakanusha au kukubali, ama sivyo inaweka wingu kubwa sana kwenye Uongozi wao wa Taifa na Mamluki, hasa ukizingatia kwamba ni majzui tu Chadema wamefukuza the so called Mamluki, sasa kama kina Slaa wanaachiwa ina maana Chadema ikishika Taifa kutakuwa na Sheria mbili, moja ya Slaa na nyingine ya wananchi wa kawaida?
LE MUTUZ - THE KING OF ALL BONGO NETWORK SOCIAL MEDIA. at williammalecela.blogspot.com
1. Ni katiba ya Chadema au ya CCM inayodai ukihama CHAMA NI LAZIMA URUDISHE KADI? Naomba kifungu tafadhali.Kwanini asirudishe kadi ya CCM kama haitaki CCM?. Mbona majukwaani anawaomba watu warudishe kadi za CCM kuonesha kwamba hawaitaki CCM?. Huu ni uzandiki wa hali ya juu.
Kwanini asirudishe kadi ya CCM kama haitaki CCM?. Mbona majukwaani anawaomba watu warudishe kadi za CCM kuonesha kwamba hawaitaki CCM?. Huu ni uzandiki wa hali ya juu.
Majina ya wauza madawa ya kulevya - also pending
Unaonekana kama mtu msomi na ambaye umetoka katika familia ya wanasiasa lakini post zako zinaacha kiwingu kikubwa.- Alianza Mheshimiwa Nape kwa kusema kwamba Dr. Slaa anayo kadi ya CCM, Dr. Slaa akamjibu kwamba ni kweli anayo, and then Mh. Nape akaongeza tena kwamba DR. Slaa amekuwa akiilipia Kadi yake ya CCM kila Mwezi, akiwa na maana hata Mwezi uliopita ameilipia, na yupo tayari kuonyesha risiti za Dr. Slaa akilipia kadi yake hiyo ya CCM.
- Mpaka leo Dr. Slaa hajakanusha wala kukubali kwamba huwa anailipia kadi yake, huu ni wakati muafaka sasa Chadema na Dr. Slaa wakakanusha au kukubali, ama sivyo inaweka wingu kubwa sana kwenye Uongozi wao wa Taifa na Mamluki, hasa ukizingatia kwamba ni majzui tu Chadema wamefukuza the so called Mamluki, sasa kama kina Slaa wanaachiwa ina maana Chadema ikishika Taifa kutakuwa na Sheria mbili, moja ya Slaa na nyingine ya wananchi wa kawaida?
LE MUTUZ - THE KING OF ALL BONGO NETWORK SOCIAL MEDIA. at williammalecela.blogspot.com
Umesikia kauli, umeletewa vielelezo ni juu yako kuamua.Na wala tusitake kupata ukweli? Pengine kuna vyama vyengine ukweli si lazima bali uchanganye akili tu?
Umesikia kauli, umeletewa vielelezo ni juu yako kuamua.Na wala tusitake kupata ukweli? Pengine kuna vyama vyengine ukweli si lazima bali uchanganye akili tu?
Umesikia kauli, umeletewa vielelezo ni juu yako kuamua.
Katiba inasema mtu akijiunga na chama kingine uanachama wa kwanza unafutika kwa mujibu wa sheria.
1. Kulipia kadi ndio ada ya uanachama au ni tofauti.
2. Kama ni ada ya uanachama, inakuwaje mtu ambaye uanachama wake umekoma kwa mujibu wa sheria kulipia uanachama? Kama sio ada ya uanachama ni nini?
Hapo ndipo kuna umuhimu wa kuchanganya na akili zako.
View attachment 78935
Ok. Kumbe ni chit chat na si kutoa hoja. Mie mambo ya mipasho siyawezi.Simple! mwenye kulipa ndio ajibu, alitowa hizo pesa kwa ajili gani?