Dr Slaa Avunja rekodi Afrika

Kwa ufupi kabisa mimi si mfuasi wa siasa za mrengo wowote lakini Dr Slaa ndiye kiongozi anayeongoza kwa kuwa na maadili na uadilifu (ethical and integrity) apart from JK Nyerere. i.e. a good leader " A good leader leads by doing ..... he lives his words" vise versa yake ndo viongozi tulionao sasa''
 
Huyu mzee ana record nyingi sana mojawapo ni kuwa Katibu Mkuu wa chama pinzani mwenye mtoto mchanga(Junior) huku umri wake umesogea,hamna Katibu mkuu mwingine kama yeye duniani..

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
Huyu mzee ana record nyingi sana mojawapo ni kuwa Katibu Mkuu wa chama pinzani mwenye mtoto mchanga(Junior) huku umri wake umesogea,hamna Katibu mkuu mwingine kama yeye duniani..

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums

Ni nani hapendi kuwa na mtoto/ Watoto.?
 
Ni nani hapendi kuwa na mtoto/ Watoto.?

Huyu mzee atakuwa na panya nyumbani kwake ndo maana akamchukua nke ya ntu manake nasikia nke ya mtu sumu ati...ah ah ah panya wataisha kwake..

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
Siku chache zilizopita niliweka thread yangu inayoelezea umahiri wa cdm kiutendaji ukilinganisha na vyama vingine nchini, 85% ya wachangiaji waliunga mkono hoja, 10% walipinga na 5% hawajui chochote. Nashukuru kwamba thread yako inaelekea kuwa sawa na ile niliyoitoa.

Personally sioni chama kingine makini kama cdm. Ninapofanyia kazi kuna wafanyakazi 89. Kati ya hao 85 ni wazee wa magwanda na wa4 tu ni magamba ya mti wa mpingo.
 

Sidhani kama ni umbea kufahamu ukweli wa chama ambacho kinaweza siku moja kuniongoza mimi kama mtanzania.... inaonekana hata waliosema "Charity begins ata home" unapingana nao..... hivi usipojua mbinu na udhaifu wa adui unayepambana utapambana nae vipi? Hili ndiyo tatizo la wana CDM ukigusia suala la pesa na Uongozi wewe ni adui..... lini tutabadilika...
 

hongera dr
 
Hicho ni kichwa dr slaa nimoja ya watu wachache sana waliobaki waadilifu nchini.
 
hongera dr slaa.
 
itaifa lina hitaji watu kama hawa kina dr slaa.
 
Walicho kitangaza ni kuwa Dr. Slaa ni kiongozi jasiri bila kujali kuwa ni padri alihaidi kualalisha gongo nchi Tz akipewa dola.
 
Walicho kitangaza ni kuwa Dr. Slaa ni kiongozi jasiri bila kujali kuwa ni padri alihaidi kualalisha gongo nchi Tz akipewa dola.

Kwani watumishi wa Mungu wanatakiwa kuwa waoga?
Sijui kama unajua Uoga pia ni dhambi:
 
Chadema hakuna ufisadi Mkuu, Kuna mwenye taarifa za Ubadhirifu wa Fedha Chadema awataje wahusika hadharani,na Ulinzi atapewa.

kama hakuna ufisadi Kwa nn hawataki wakaguliwe na cag wanaogopa nini kama chama kinachotaka kuchukua madaraka inabidi wawe na utofauti na ccm km wao hawataki kukaguliwa ccm hawataki Sasa utofauti uko wapi wote wezi tu........
 
Kuzaa uzeeni maana yake nini? Nyinyi mnazaa mapema kwa sababu ya woga wa maisha tu. Kama unazaa hata miaka 90 ilimladi pay iwe fresh . Watoto watawagombaniwa na ndugu kwa sababu namna ya kuwalea mpaka 18 yrs siyo issue. Unataka kusema Iblahim alipo mzaa Isack alikuwa na maana gani? Je Mungu alikuwa kichaa mpaka Isack azaliwe na Iblahim katika umri huo? Je nani alimlaumu au kumdhihaki Ibrahim ? Enyi watu na imani haba badilikeni kuweni na malengo ya muda mrefu. Huoni huyo kijana wa mzee (DR) atakuwa mlithi mwema wa busara za mzee kwa vizazi vijavyo ambapo hata wewe unayeponda na mimi hatutakuwepo?. Mwache DR afanye kazi ya Mungu amejaliwa.
Ni wa kuiga kabisa , hasa kwa kuiba wake za watu, kuzaa uzeeni, kutelekeza mke wa ndoa, kutelekeza watoto, kupinga ufisadi wakati ukijikopesha vyama, mi nasema aigwe tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…