Dr Slaa atikisa Iramba Magharibi- Singida

Status
Not open for further replies.
Kwa msio na ufahamu, Christina Mugwai ni Dada wa Mh. Tundu Lissu.
Christina Mugwai ni Mbunge wa Viti Maalum Chadema.

Na wasiojua January Makamba ni mtoto wa Mzee Yusuph Makamba aliyekuwa katibu mkuu wa CCM.
 
Peoples power hakuna chama kama Chadema,kama kweli watu wanataka kuotoka kwenye dimbwi la umaskini hawana budi kuwaamini na kuwachagua Chadema make ndio suluhisho lililobaki Tulianza na Mungu na bado tuko naye hadi kieleweke.Peoles Power
 
Hoja hiyo haina mshiko ulitaka amuweke dada yako ambaye ni kibaraka wa ccm
 
kwa msio na ufahamu, christina mugwai ni dada wa mh. Tundu lissu.
Christina mugwai ni mbunge wa viti maalum chadema.
hili ni jambo la ujinga kabisa to divert unnecessary attention. This is not the first for the folks to join hands in fighting against the malaise of the nation . There are several scores around the world where member from the same family are ruling democratically, we have comrade Raul Castro brother to former Cuban president Fidel Castro, even within ccm itself there are score of same family rullers; the first lady is the member of one of the ccm organs, the son of incumbent president is a very powerful icon behind the decisions of the ruling party and the government. The family of the president is suspected of taking party in assisting the president to make tough decisions. So we are worried by motive behind mentioned mugwai as having nominated her for a special set. After all CDM had no outstanding choice beside her. Please refrain yourselves from causing insinuation at this [point of time
 
Na wasiojua January Makamba ni mtoto wa Mzee Yusuph Makamba aliyekuwa katibu mkuu wa CCM.

Napia waziri Husein Mwinyi ni mtoto wa Rais mstaafu Ally Hasani Mwinyi na Mathayo David ni mtoto wa Waziri mkuu mstaafu David Msuya.
 
CCM ni destructive machine ambayo ni powerful sana. NCCR walipoihenyesha sana mwaka kwenye uchaguzi wa mwaka 1995 hawakuweza tena kuhimiri mapigo ya CCM yaliyofuata hadi wapiganaji wakubwa akina Lamwai wakaishia kuisaliti NCCR yao na hivyo kuelekea kifo chake cha mende, mwisho wa yote makadi wengi wa NCCR-Mageuzi ya wakati huo kama vile Lamwai, Nsanzugwako na wengineo wakarudi CCM na kupata vyeo huo.

Baada ya mateso yaliyotolewa na CHADEMA kwa CCM mwaka 2010 na kuilazimisha kutumia njia chafu ili ipate ushindi, haya tunayoona leo ni matokeo ya hiyo destructive machinery process. Baadhi ya makada wakubwa wa CHADEMA watarudi CCM na kupata vyeo kama ilivyokuwa kwa akina Lamwai na Nsanzugwako,
 

Aisee wewe jamaa huna hurima kabisa duh. Mtamuua huyo jamaa na presha walah
 
Last edited by a moderator:
Na wasiojua January Makamba ni mtoto wa Mzee Yusuph Makamba aliyekuwa katibu mkuu wa CCM.

Kweli sasa tunapo kipeleka chama(CDM) ni kubaya,
January Makamba sio mbunge wa viti maalum,hakuna conflict of interest hapo kwani January amechaguliwa kwa kupigiwa kura na wananchi,wakati huyu amepata ubunge coz ya lisu,na ndio maana chama kinachafuka kwakufanya mambo ya ajabu.
 

Hata mimi inaniuma saaaaana
 
Last edited by a moderator:
Hoja hiyo haina mshiko ulitaka amuweke dada yako ambaye ni kibaraka wa ccm

Si kila jambo lakupinga,huku ni kujuana,na hapa ndipo kwenye walakini coz hapa ndio CDM haijashika dola akishika dola itakuaje,ni bora tubaki na CCM kwani Zimwi likuajalo halikuli ukakwisha.
 
pia ndesamburo ana mtoto wake pia na mkwe wake kiwhelu. Pia mbowe ana mzazi mwenzake ,same to dkt slaa,na wote ni s.seats.

Nafasi za ubunge wa viti maalumu zimetumiwa vibaya na vyama vyote - CCM na CHADEMA. Nafasi wamepewa maswahiba, wapenzi, ndugu wa damu nk. Yaani ni kama vile zilikuwa zinagawanywa kwa wanene ndani ya chama. Huu pia ni ufisadi. Kuna haja ya kuvifuta viti maalumu kwani havina tija yoyote
 
kwa hiyo wanapeana ubunge kiundugu siyo! Ina maana huko singida chadema wapo ukoo wa tundu lissu tu waliosoma??? Chadema genge la koo za watu

vp kuhusu ukoo karume,mwinyi,kikwete,makamba na wengineo kibao,hivi ni wao tu wanaofaa kuwa vingozi? Familia ya kikwete uchaguzi wa nec ilipitaje bila kupingwa? Una boga badala ya kichwa! Cdm ndilo tumaini pekee la wanyonge ndio maana hata sisi maskini tunapata fursa ya kugombea uongozi na hilo lipo wazi hata kwa misukule kama wewe mnatambua!
 
sema tu christina lisu, mbona kila moja anajua?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…