Dr Slaa atikisa Iramba Magharibi- Singida

Status
Not open for further replies.
Karibu nyumbani,karibu ugali wa uwele na mlenda saaafi.
Tahadhari.Bado tunaishi kwenye matembe maana tumeshindwa kununua vifaa vya ujenzi kama saruji na mabati ila mchanga na mawe yapo yakutosha,Hivyo ukiingia kuwa makini makaratasi yako yaweza vujiwa
 
Mkuu uongo huo uko wapi? mbona post ipo clear kabisa. Nimeisoma tena naona haina shida. Magazeti yaliripoti kama ambavyo niliandika.
Nyie wenyewe mnatengeneza majungu ya kubumba mnapeleka Habarileo, Uhuru na Jamboleo yachapishe ili kesho yake mnawahi kuyaposti JF na kuanza kujijibu wenyewe, hatari.
 
wewew unatuletea mambo gani wewe zito hafukuziki chadema.
Zito yuko chadema lakini shughuli zake anafanyia ccm.Na wanao muunga mkono humuJF ni wanaccm,hata ukitaka gazeti lililo cover vizuri habari za ZITO nunua la UHURU,HABARILEOnaJAMBOLEO.sijui unataka ushaidi gani?
 
Mkuu uongo huo uko wapi? mbona post ipo clear kabisa. Nimeisoma tena naona haina shida. Magazeti yaliripoti kama ambavyo niliandika.




Magazeti yaliripoti tofauti na ulivyoandika, ushabiki wako ulipitiliza, kwa kutaka sifa mpaka ukatunga uongo wako mwenyewe.
Mjane wa Mwangosi alikuja kukanusha na kuwaumbua ninyi nyote.
Ninyi watu ni waongo mpaka mwenye maswala mazito ya msiba..!!
Soma pages 09 hadi 11 za thread hiyo utajiona jinsi ulivyo muongo..!!
 
Swala la picha ofisi yetu ya propaganda bado inazishughulikia...endeleeni kusubiri na asanteni kwa utulivu.
 
Tupeni updates za kutosha na msisahau kutupia picha! Kila la heri makamanda!
Picha bado kitengo cha uenezi na propaganda kinaziandaa, tumemaliza maktaba nzima kukava matukio ya Tabora na Kigoma ndio maana kazi imekuwa ngumu kidogo.
 

By Kimbunga
Nimesikia kupitia uchambuzi wa magazeti kwamba Mjane wa Marehemu Daud Mwangosi analilia rambirambi alizoahidiwa na Dr. Slaa kwenye msiba wa mme wake. Anwalilia waandishi wamsaidie kupata hizo rambirambi toka kwa Dr. Slaa.

Kumbe kutekeleza ahadi kazi kweli kweli!


============

Mjane wa Mwangosi alilia rambirambi za Slaa

HabariLeo | Oktoba 05, 2012

UTAMADUNI mpya wa siasa za misibani, unaoendana na mauaji yaliyotokana na ukaidi wa wanasiasa kwa Jeshi la Polisi, umeanza kuiumbua Chadema ambayo imejikuta ikishindwa kutimiza ahadi ndogo ndogo za kutoa rambirambi inazoahidi kwa wafiwa.
.
.
.
"Mtoto huyu alifika na kutaka kujua sababu za kifo cha baba yake, kwa uchungu huku machozi yakimtoka, nimewasiliana na mdau wangu na kuahidi kubeba jukumu la kumsomesha na pia naahidi kufuatilia ahadi hiyo kwa kipindi chote cha masomo yake," alinukuliwa Dk Slaa akiahidi.

.

Hapo kwenye red,
Mwandishi wa mada hii (Kimbunga) kashindwa kabisa kusoma makala yake mwenyewe na kuona kuwa ina kasoro kubwa sana.
Kakurupuka, kaiweka hapa JF, na sasa anaumbuka kwa kuonyesha udhaifu wa hali ya juu sana wa kufikiri.
Yaani hakuweza kutofautisha kati ya ahadi ya rambi-rambi na ahadi ya kusomesha mtoto !!
Makala inajipinga yenyewe, halafu mwandishi wa mada anaiweka na kuiunga mkono moyoni mwake na kutoa hitimisho (conclusion) la mawazo yake !!
Huyu mwandishi wa mada hii (Kimbunga) naye ni 'Great Thinker' wa JF !! ??
CCM na vijibaraka wake wana kaazi kweli - kweli !!!

Mkuu naona hii kitu ilikuingia machoni! Mimi nimeandika makala hii wapi? Nilipoandika ni hapo kwenye wekundu na kisha habari yenyewe ikapachikwa kama ilivyokuwa imeandikwa kwenye Gazeti hapo chini ya bandiko langu.
 
Sasa Mwigulu anashikwa pabaya nyumbani kwao.Anatamani anyofoe kucha mtu
 
kwa kweli watu wamehamasika hapo Shelui,nimeonana na Kamanda Waitara maeneo ya stend nikiwa safarini,amenitia nguvu kuwa Dr.Slaa yupo fiti sana
 

wacha waendelee na majungu sisi kazi tu,ni bora askari 10 wenye nidhamu kuliko 1000 wasiona nidhamu,na kwa tafsiri hiyohiyo tutasonga
 
Last edited by a moderator:
Dr usisahau kuwafahamisha yafanywayo na serikali ya CCM kwenye operation zao
View attachment 128351

Maana hata kaburu wa South Africa akiona haya mwenyewe ananywea maana hakupata kuyafanya huko Soweto
 
asante kwa taarifa nzuri iliyozingatia taaluma ya upashaji habari,,,tumepata yaliyojiri huko kama vile nasi tulikuwepo,,,safi sana kamanda,,,muendeleee kutupa hizo taarifa zenye kutia moyo na kutusogeza hapa tulipo, kikubwa ni kushinda lkn pili kupunguza kero za watanzania, mungu ibariki chadema na viongozi wake.
 
Kitengo cha uenezi cha chama kimepwaya sana siku hizi, yaani hatupati updates za kutosha kwa wakati, na picha ndo kabisaaa! Tunaomba makamanda au wana jf walioko huko iramba watupe yanayojiri huko!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…