Dr. Slaa atazishinda propaganda dhidi yake!

Dr. Slaa atazishinda propaganda dhidi yake!

Angekuwa sio mroho wa pesa na msaliti kwa Mungu kama unavyomtetea,nijibu swali moja tu,Kwanini aliiba michango ya pesa za ujio wa Papa Paul ndo maana akakimbia kanisani??

Acha uzushi, ni wewe na wasira mnaosema ameiba hela za kanisa maana kanisa lenyewe limekanusha na kulaani kauli hizo
 
Angekuwa sio mroho wa pesa na msaliti kwa Mungu kama unavyomtetea,nijibu swali moja tu,Kwanini aliiba michango ya pesa za ujio wa Papa Paul ndo maana akakimbia kanisani??

HULAZIMISHWI KUCHANGIA HASA KAMA HUNA LA KUCHANGIA NA KICHWANI MWAKO PAMEJAA KINYESi, NYAMBAF WEWE
 
Angekuwa sio mroho wa pesa na msaliti kwa Mungu kama unavyomtetea,nijibu swali moja tu,Kwanini aliiba michango ya pesa za ujio wa Papa Paul ndo maana akakimbia kanisani??

wewe hizo akili zako za mataputapu achana nazo.
 
Dr. slaa ni MKOMBOZI wa wanyonge,
Ahsante Mungu kwa kutupa tumaini jipya ambalo sisi vijana tumeapa kwa nafsi zetu tutapigana usiku na mchana ktk kumuunga mkono MOMKOBOZI JEMDARI wetu mpaka mwisho wa maisha yetu.

We love you our hero Dr.Slaa.
 
Slaa ni nyerere wa 2015, mungu mbariki slaa, mungu ibariki cdm, mungu wabariki wapenda haki wa tz. Amina.
 
2015 asipowekwa dr. Slaa kupitia chadema sipigi kura.!
 
Kwa sasa Tanzania hivi hakuna kiongozi anayefaa kuongoza ncha hivi Kama Dr. Slaa.
Nchi yetu inamatatizo mengi sana na inahitaji Kiongozi Shupavu na jasiri Kama Mwalimu ambaye kwa sasa ni Dr. Slaa.
 
As a country under Dr Slaa we will rise again, we will lead again!
.

Kwanza si vibaya kukumbushana maana ya uadilifu: Uadilifu ni:

a. Kukipa kila kitu haki yake inayostahiki.
b. Kuipa nafsi yako yale yaliyo ya haki tu.
c. Ni hali ya kuwa katikati baina ya kuchupa mipaka katika kufanya jambo au kujizuia kufanya jambo hilo bila ya kumdhulumu mwengine.

DR Slaa anakosa sifa za uadilifu kwa hivyo vigezo vitatu kwa kashfa ya kupora mke wa mtu na hasa kwa kuzingatia umri alionao.
Mengine itakuwa ni mahaba ya kipendacho moyo, Jicho huona kingeza!
 
Dk dk slaa tanzania inakutazama wewe dk pliz usirudi nyuma kaza uzi magamba yaendelee kuishiwa pumzi,. Asante Mungu kwa kutuletea slaa kila maombi yangu napolala najitaidi angalau dk1 nimwombee dk, jaman watz naombeni nanyie tue pa1 kumwombea dk
 
We need to be serious jamani,
upumbafu wa namna umefanya nccr, cuf leo kuwa historia.
There is something fishing going on kwa hawa vijana wa cdm,
bavicha imeshavamiwa na ela za mafisadi awa wa ccm,
watu wa mwanza na mwenyekiti wenu wa bavicha hamko salama, ela ya mafisad wa ccm imemwagwa apo na imeshaliwa.
Ishu ya kadi ya dr ni propaganda za ccm na kila mtu anajua ata ccm wanajua, lakini nimeshtushwa na kaul ilojaa ushabiki na yenye utov wa nidhamu wa hali ya juu dhid ya dr.
Huyu mwenyekiti wa bavicha mwanza si sampuli ya viongoz wa chadema, ril lzm awajibike /shwe.
We are commited kwa chadema pia dr. Slaa
 
Magamba wakilala, wakiwa ulabu, wakiwa ofisini, wakiwamikutanoni, wakiwa kwenye magari yao wanamwota Dr Slaa, hivyo usiogope hizi ni ndoto za mchana za kuweweseka kumwogopa kiongozi wa ukweli. Do not fear that coz mwisho wa utawala wa ccm ndo unaisha ndo maana tunaona haya yote. Mungu bariki 2015 tuone mabadiliko haya.
 
Mimi namwona Dr Slaa ni kiongozi mkweli sana. Kwani angekuwa mwongo kama magamba angekanusha tu kuwa hana kadi hiyo ya CCM. Si mtu mwenye tamaa ya mali, ni mkali sana kwa wazembe na wala rushwa na mtu ambaye yupo karibu na Dr atakuthibitishia hili. Nina imani 2015 nchi itapata Nyerere mpya. As a country under Dr Slaa we will rise again, we will lead again!

Kweli kabisa Mkuu, hakuna kiongozi yeyote nchi hii mkweli na muadilifu kama dr Slaa. Ni mzalendo wa kweli anayeipenda nchi hii na watu wake kwa moyo wake wote.

Dr Slaa amejitolea maisha yake kwa ajili yetu sote. Magamba wametumia kila njia na vitisho kumbadilisha lakini yameshindwa.

Sasa hivi magamba yameamua kuja na propaganda uchwara. Hawatafika popote na magamba yatashindwa
 
Mkuu hivi unajua maana ya uadilifu au unajisemea tu.
 
JAMANI MIMI NASIKITIKA SANA, TUSISAHAU UFUKARA HUU WA TANZANIA TULONAO UMESABABISHWA NA CCM,
TAIFA ILI LINAHITAJI KUOKOLEWA TOKA MIKONONI MWA MAFISADI, MAJANGILI, WAHUJUMU WA UCHUMI WANAOITWA CCM, LAKINI LEO PROPAGANDA DHAIFU ZA CCM ZINATAKA KUTUGEUZA TOKA KT LENGO HILi.
NI AJABU TUMESAHAU UHUNI WA KIKWETE NA LOWASA KT RICHMOND WHERE EACH TANZANIAN IS SUFFERING, MKAPA NA KIKWETE JUU YA EPA,
JANGILI KINANA ALIVOTUMIA MELI YAKE KUTOROSHA NYALA ZA TAIFA ZILOKAMATIWA HONGKONG.
BUSARA TUANDAMANE DHIDI YA AYA MAFISADI.
NAWALAUMU NA KUWALAANI BAADHI YA VIONGOZI WA BAVICHA KWANI SASA MMENUNULIKA NA RASMI TMEWABAINI KUWA MNATUMIWA NA MAFISADI KTK KUYAPINGA MAGEUZI YANAYOTARAJIWA NA WATANZANIA
 
Back
Top Bottom