Dr. Slaa atazishinda propaganda dhidi yake!

Ufisadi mradi wa maji karatu.hoja za magafu wa bavicha mwanza na kisandu wa bavicha tanga
 
Nimesoma na nimeona niquote baadhi ya maneno kutoka kwenye hiyo link:

'It is irrelevant whether or
not the couple is married or common-law, Catholic or Muslim, or share the output
of their union or have one party hired by a wage.Whatever the optimal outcome is, is independent of
the rules under which the trade and production takes place, because everyone in the
model operates in a friction less environment.'

Hizi neo - classical theories si za kutumiwa na mtu kama DR Slaa ambaye doctrate yake ni katika falsafa ya dini chini ya kanisa katoliki. Haki na sheria za kanisa ilibidi zitumike kumuongoza sio kumfuata Douglas Allen ambaye anaongozwa na akili zake badala ya maandiko kutoka kwa mungu. DR Slaa alipotoka na inabidi atubu na kumuomba radhi mume wa huyo dada Josephine kwa kumpora isivyo halali kwa kutmia influence na pesa alizonazo. Ni hatari sana.

Anayepaswa kuomba msamaha kwa wote wawili ni wewe maana unajiingiza kwenye private issues za watu maana unamwaminisha mtu ajione ana mke kumbe sio kweli. Kwa mila zetu za kiafrika mwanaume ndiye huacha mwanamke. What pains the man who got divorced is that he's noe exposed and shortsighted people are becoming more concerned than the concerned. The weaer of the shoe is the one who knows how it pinches. Sasa wewe na nukuu zote kinakuuma nini. Ukikita unayemtetea hana sifa za kuwa mwanaume maana kuwa. Mwanaume sio cheti au madevu ni vitendo what qualify him to be a man- to be a husband
 
kweli mumeo hajakufunza.mistari mitatu matusi mia? Vp kuhusu mradi wa maji karatu,kiwanja mabwepande,kuigawa bavicha na kutaka kumuua zitto

mmekosa hoja mnabaki kuweweseka na majungu, ni aibu kubwa kujibizana na watu wa jamii yako, hamtaki kuongelea mabilion ya uswis, dowans, gas ya mtwara, maisha bora kwa kila m-tz mnabaki kumteta Dr. ,
wenye akili wanabaki kuwashangaa kwa masaburi yenu
 
Hadi muda huu propaganda nyingi amezishinda nyingine zimejibiwa humu humu jamvini na nje ya hapa ,na akiamua kukaa kimya wanajf wanatosha kujibu mapigo yakiwemo ya kadi .yeye atamalizia kazi kidogo iliyobaki
 
Jamani baba huyu ni zawadi kwa watanzania Mungu anaipenda sana nchi yetu imetumika vibaya sasa anasema basi. Naomba tumpe ushirikiano tumwombee katika haya mapito. Bila kujali itikadi zetu. .Dr usikatishwe tamaa bali propaganda hizi
ziwe chachu ya kuja na mbinu nyingine . Wewe ni mkali na ni chaguo la wengi. Mwenyezi Mungu atakulinda tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom