Nimesoma na nimeona niquote baadhi ya maneno kutoka kwenye hiyo link:
'It is irrelevant whether or
not the couple is married or common-law, Catholic or Muslim, or share the output
of their union or have one party hired by a wage.Whatever the optimal outcome is, is independent of
the rules under which the trade and production takes place, because everyone in the
model operates in a friction less environment.'
Hizi neo - classical theories si za kutumiwa na mtu kama DR Slaa ambaye doctrate yake ni katika falsafa ya dini chini ya kanisa katoliki. Haki na sheria za kanisa ilibidi zitumike kumuongoza sio kumfuata Douglas Allen ambaye anaongozwa na akili zake badala ya maandiko kutoka kwa mungu. DR Slaa alipotoka na inabidi atubu na kumuomba radhi mume wa huyo dada Josephine kwa kumpora isivyo halali kwa kutmia influence na pesa alizonazo. Ni hatari sana.
Kambi ya ''Masalia'' kwa sasa amebaki Boss peke yake na ile misukule yake anayoitunza Dar, wapenzi na mashabiki wake wote wamemkimbia.Ufisadi mradi wa maji karatu.hoja za magafu wa bavicha mwanza na kisandu wa bavicha tanga
kweli mumeo hajakufunza.mistari mitatu matusi mia? Vp kuhusu mradi wa maji karatu,kiwanja mabwepande,kuigawa bavicha na kutaka kumuua zitto
Acha uongo wewe yaani watu kuhoji kuwa na kadi mbili na kwa nini katelekeza watoto wake ndio kumuongelea sana...