Nimesoma na nimeona niquote baadhi ya maneno kutoka kwenye hiyo link:
'It is irrelevant whether or
not the couple is married or common-law, Catholic or Muslim, or share the output
of their union or have one party hired by a wage.Whatever the optimal outcome is, is independent of
the rules under which the trade and production takes place, because everyone in the
model operates in a friction less environment.'
Hizi neo - classical theories si za kutumiwa na mtu kama DR Slaa ambaye doctrate yake ni katika falsafa ya dini chini ya kanisa katoliki. Haki na sheria za kanisa ilibidi zitumike kumuongoza sio kumfuata Douglas Allen ambaye anaongozwa na akili zake badala ya maandiko kutoka kwa mungu. DR Slaa alipotoka na inabidi atubu na kumuomba radhi mume wa huyo dada Josephine kwa kumpora isivyo halali kwa kutmia influence na pesa alizonazo. Ni hatari sana.