Usihangaike na akina NAPE. Karume ameshafanya hesabu za INTEGRATION na kuja na jibu hili......
=
Unajua ccm wanamuona Nape kama jembe lao hawajui kuwa Nape ni pandikizi la Chadema ndani ya ccm, ndio maana hafanyi kazi ya kueneza sera ya chama badala yake ni kueneza umbea na majungu.
View attachment 75064
Katika Nchi hii na pengine hata nchi nyingine sijawahi kumwona au kumsikia kiongozi wa kisiasa anayetajwa mambo yake mengi hadharani kama Dr. Slaa.
Wapinzani wake wana/wamemwongelea sana mambo yake mengine hadi ya ndani ya zipu lakini Babu amehilimi na kukabiliana nayo vizuri kabisa. Kwahiyo hata hizi propaganda za sasa nina uhakika Dr. Slaa atazishinda.
Kwasababu anajua uwezo wa kufikiri na kutenda na hata mbinu za wapinzani wake. Sina shaka kabisa na hili. Na huu unaweza kuwa mmoja ya mipango ambayo mtu mmoja aliiandika...
Kwamba ili CCM iendelee kuongoza ni:
1. Au wakiue CHADEMA
2. Au Wakiue CCM na kuanzisha chama kingine
3. Watumie Demokrasia.
Hili la kwanza lilipewa kipaumbele sana. LAKINI KWA TAARIFA YENU (MAGAMBA) HAMTAWEZA HATA KIDOGO. Uwezo wa Dr. Unaweza kuwa sawa au hata zaidi ya Sekretariati nzima ya CCM.
Katika Nchi hii na pengine hata nchi nyingine sijawahi kumwona au kumsikia kiongozi wa kisiasa anayetajwa mambo yake mengi hadharani kama Dr. Slaa.
Wapinzani wake wana/wamemwongelea sana mambo yake mengine hadi ya ndani ya zipu lakini Babu amehilimi na kukabiliana nayo vizuri kabisa. Kwahiyo hata hizi propaganda za sasa nina uhakika Dr. Slaa atazishinda.
Kwasababu anajua uwezo wa kufikiri na kutenda na hata mbinu za wapinzani wake. Sina shaka kabisa na hili. Na huu unaweza kuwa mmoja ya mipango ambayo mtu mmoja aliiandika...
Kwamba ili CCM iendelee kuongoza ni:
1. Au wakiue CHADEMA
2. Au Wakiue CCM na kuanzisha chama kingine
3. Watumie Demokrasia.
Hili la kwanza lilipewa kipaumbele sana. LAKINI KWA TAARIFA YENU (MAGAMBA) HAMTAWEZA HATA KIDOGO. Uwezo wa Dr. Unaweza kuwa sawa au hata zaidi ya Sekretariati nzima ya CCM.
3) uanachama wa mwanachama wa CCM utakwisha kwa: (f)kujiunga na chama kingine chochote cha siasa. - Katiba ya CCMDr slaa ana akili sana hadi leo analipia ada kadi ya CCM! Hakika ni mtu wa ajabu na wakipekee hapa Tanzania,ukianza kufuatilia vituko vyake utachoka yani Padri alie asi,ana wake wawili kwa mpigo Rose Kamili na Josephin Mshumbusi !
Kuna ule msemo usemao "msifuate matendo yangu fuateni maneno yangu" hapa kweli Dr Slaa ametumia elimu yake ya u-Padre kuongopea watu.Dr slaa ana akili sana hadi leo analipia ada kadi ya CCM! Hakika ni mtu wa ajabu na wakipekee hapa Tanzania,ukianza kufuatilia vituko vyake utachoka yani Padri alie asi,ana wake wawili kwa mpigo Rose Kamili na Josephin Mshumbusi !
3) uanachama wa mwanachama wa CCM utakwisha kwa: (f)kujiunga na chama kingine chochote cha siasa. - Katiba ya CCMKuna ule msemo usemao "msifuate matendo yangu fuateni maneno yangu" hapa kweli Dr Slaa ametumia elimu yake ya u-Padre kuongopea watu.
Mimi namwona Dr Slaa ni kiongozi mkweli sana. Kwani angekuwa mwongo kama magamba angekanusha tu kuwa hana kadi hiyo ya CCM. Si mtu mwenye tamaa ya mali, ni mkali sana kwa wazembe na wala rushwa na mtu ambaye yupo karibu na Dr atakuthibitishia hili. Nina imani 2015 nchi itapata Nyerere mpya. As a country under Dr Slaa we will rise again, we will lead again!
Wewe unafikiri watu hawalali juu yake kwa sababu gani, mara sijui padri mara sijui ana kadi, mara sijui nini, kitaeleweka tu.