Dr. Slaa atazishinda propaganda dhidi yake!

Wata hangaika sana wakina TUNTEMEKE +BAVICHA lakini Dr slaa ata simama kama kawaida na wahakikishia!

Na kama kuandamana waanze kuandamana!
 
Last edited by a moderator:
Usihangaike na akina NAPE. Karume ameshafanya hesabu za INTEGRATION na kuja na jibu hili......
1845918e723ad0b5874fa2fb77870925.png
=
CCM-Samaki.jpg

mhhhh!!!!! hiyo nayo kali bandugu
 
Dr slaa ana akili sana hadi leo analipia ada kadi ya CCM! Hakika ni mtu wa ajabu na wakipekee hapa Tanzania,ukianza kufuatilia vituko vyake utachoka yani Padri alie asi,ana wake wawili kwa mpigo Rose Kamili na Josephin Mshumbusi !
 
Katika Nchi hii na pengine hata nchi nyingine sijawahi kumwona au kumsikia kiongozi wa kisiasa anayetajwa mambo yake mengi hadharani kama Dr. Slaa.

Wapinzani wake wana/wamemwongelea sana mambo yake mengine hadi ya ndani ya zipu lakini Babu amehilimi na kukabiliana nayo vizuri kabisa. Kwahiyo hata hizi propaganda za sasa nina uhakika Dr. Slaa atazishinda.

Kwasababu anajua uwezo wa kufikiri na kutenda na hata mbinu za wapinzani wake. Sina shaka kabisa na hili. Na huu unaweza kuwa mmoja ya mipango ambayo mtu mmoja aliiandika...

Kwamba ili CCM iendelee kuongoza ni:
1. Au wakiue CHADEMA
2. Au Wakiue CCM na kuanzisha chama kingine
3. Watumie Demokrasia.

Hili la kwanza lilipewa kipaumbele sana. LAKINI KWA TAARIFA YENU (MAGAMBA) HAMTAWEZA HATA KIDOGO. Uwezo wa Dr. Unaweza kuwa sawa au hata zaidi ya Sekretariati nzima ya CCM.

Sina uhakika kama unamsaidia babu
 
dk slaa ni jembe acha waseme mwisho watalala. slaaa ndiye mkombozi wetu ufisadi wote ameuweka hadharani hongera dk slaa
 
Katika Nchi hii na pengine hata nchi nyingine sijawahi kumwona au kumsikia kiongozi wa kisiasa anayetajwa mambo yake mengi hadharani kama Dr. Slaa.

Wapinzani wake wana/wamemwongelea sana mambo yake mengine hadi ya ndani ya zipu lakini Babu amehilimi na kukabiliana nayo vizuri kabisa. Kwahiyo hata hizi propaganda za sasa nina uhakika Dr. Slaa atazishinda.

Kwasababu anajua uwezo wa kufikiri na kutenda na hata mbinu za wapinzani wake. Sina shaka kabisa na hili. Na huu unaweza kuwa mmoja ya mipango ambayo mtu mmoja aliiandika...

Kwamba ili CCM iendelee kuongoza ni:
1. Au wakiue CHADEMA
2. Au Wakiue CCM na kuanzisha chama kingine
3. Watumie Demokrasia.

Hili la kwanza lilipewa kipaumbele sana. LAKINI KWA TAARIFA YENU (MAGAMBA) HAMTAWEZA HATA KIDOGO. Uwezo wa Dr. Unaweza kuwa sawa au hata zaidi ya Sekretariati nzima ya CCM.

hiyo hoja ya kwanza nilipata email yake na sijajua huyu mtu alikuwa serious kiasi gani! Ila nilitrack ip addr yake na nikutoka dom! Wakati huohuo kwenye ac ya twita rafiki yangu alipokea twt ya mtu mwenye id ya balali akimuelezea mipango yake ya kutaka kurudi tz na kuna story inayokaribia kureflect iyo point ya 1 lakini pamoja na hayo tumeshtukia game lao! Waue sisiem chama chao na mafisadi wao!
 
Dr slaa ana akili sana hadi leo analipia ada kadi ya CCM! Hakika ni mtu wa ajabu na wakipekee hapa Tanzania,ukianza kufuatilia vituko vyake utachoka yani Padri alie asi,ana wake wawili kwa mpigo Rose Kamili na Josephin Mshumbusi !
3) uanachama wa mwanachama wa CCM utakwisha kwa: (f)kujiunga na chama kingine chochote cha siasa. - Katiba ya CCM
 
Dr slaa ana akili sana hadi leo analipia ada kadi ya CCM! Hakika ni mtu wa ajabu na wakipekee hapa Tanzania,ukianza kufuatilia vituko vyake utachoka yani Padri alie asi,ana wake wawili kwa mpigo Rose Kamili na Josephin Mshumbusi !
Kuna ule msemo usemao "msifuate matendo yangu fuateni maneno yangu" hapa kweli Dr Slaa ametumia elimu yake ya u-Padre kuongopea watu.
 
Kuna ule msemo usemao "msifuate matendo yangu fuateni maneno yangu" hapa kweli Dr Slaa ametumia elimu yake ya u-Padre kuongopea watu.
3) uanachama wa mwanachama wa CCM utakwisha kwa: (f)kujiunga na chama kingine chochote cha siasa. - Katiba ya CCM
 
Mimi namwona Dr Slaa ni kiongozi mkweli sana. Kwani angekuwa mwongo kama magamba angekanusha tu kuwa hana kadi hiyo ya CCM. Si mtu mwenye tamaa ya mali, ni mkali sana kwa wazembe na wala rushwa na mtu ambaye yupo karibu na Dr atakuthibitishia hili. Nina imani 2015 nchi itapata Nyerere mpya. As a country under Dr Slaa we will rise again, we will lead again!
 
Hizi story bana basi tu,, hivi jamaa hana mtoto mkubwa ambaye yumo humu JF!?
 
Wewe unafikiri watu hawalali juu yake kwa sababu gani, mara sijui padri mara sijui ana kadi, mara sijui nini, kitaeleweka tu.
 
Angekuwa sio mroho wa pesa na msaliti kwa Mungu kama unavyomtetea,nijibu swali moja tu,Kwanini aliiba michango ya pesa za ujio wa Papa Paul ndo maana akakimbia kanisani??
Mimi namwona Dr Slaa ni kiongozi mkweli sana. Kwani angekuwa mwongo kama magamba angekanusha tu kuwa hana kadi hiyo ya CCM. Si mtu mwenye tamaa ya mali, ni mkali sana kwa wazembe na wala rushwa na mtu ambaye yupo karibu na Dr atakuthibitishia hili. Nina imani 2015 nchi itapata Nyerere mpya. As a country under Dr Slaa we will rise again, we will lead again!
 
Wewe unafikiri watu hawalali juu yake kwa sababu gani, mara sijui padri mara sijui ana kadi, mara sijui nini, kitaeleweka tu.

Na bado hawa CCM wanajiaibisha sana kwa kudai kadi yao kutoka kwa Dr.mbona wapo wanacha waliokikimbia ccm na wanakadi,je mbona hao hawawadai?KAMA WANAMUHIJI DR.MWANASIASA WA KARNE YA 21 WAPANDE DAU BASI.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom