Ngambo Ngali
JF-Expert Member
- Apr 17, 2009
- 3,517
- 1,360
Tunawaomba Chadema watafute muda na siku muafaka ya kumtambulisha mgombea wao wa Urais Dr Wilbroad Slaa hapa Dar Es Salaam na ikiwezekana Visiwani. Tunaisubiri tarehe hiyo kwa hamu sana.
Chonde Chonde
Chonde Chonde