Mandla Jr.
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 3,099
- 630
Kwani Dr Slaa ndani ya UKAWA yeye ni nani???
Kwenye msafara wa mamba hata kenge huwa wanajichomeka...
Njaa tu za posho
Watakuwa wawili. Shibuda na Leticia Mageni.Wakuu Katibu Mkuu wa CHADEMA ametoa angalizo hilo kwa mbunge wake atakeenda bungeni kusaliti wananchi.Hii imeripotiwa magazetini asubui.Pia imeripotiwa wabunge wa Ukawa wamerejea bungeni,huu ni upotoshaji,mbunge aliyerejea ni mmoja tu sio kama CCM wanavyopotosha
Ukawa waliopo bungeni ni leticia nyerere, hamad rashid mohamed, said arf, na john shibuda
Wakuu Katibu Mkuu wa CHADEMA ametoa angalizo hilo kwa mbunge wake atakeenda bungeni kusaliti wananchi.Hii imeripotiwa magazetini asubui.Pia imeripotiwa wabunge wa Ukawa wamerejea bungeni,huu ni upotoshaji,mbunge aliyerejea ni mmoja tu sio kama CCM wanavyopotosha
kweli kabisa. wako wengi sana wanachukizwa na ujinga wa ukawa lakini wafanyeje sasa wataitwa wasaliti
Mwambie slaa kitanda alichokitandika lazima atakitandua mwaka huu mwambie pia aje dodma atamkuta arfi,leticia na shibuda.
Ahmad Rashid na zzk,hao ni wabunge wa mahakama hawapo Ukawa,aliyepo Ukawa ni Leticia Nyerere ambaye tayari mh Halima Mdee alishamuonya juu ya undumila kuwili wake kwa ccm,na Shibuda ni Mbunge wa ccm kupitia chadema
chadema inaendekeza utawala wa kibabe na kimabavu, chadema ni chama cha kidikteta,, leticia ni haki yake kikatiba kwenda bungeni,, babu slaa atuonyeshe katiba ya ukawa inayokataza wasiende bungen
Ilikuaje hii ya halima Mdee kwa Leticia mkuu?
na wananchi pia wamewachoka na vituko vyao
hiyo ni picha tu ya kawaida kama wameshindwa kuwashawishi viongozi wenzao je wananchi???
yeye mdee anamuonya kama nani
Wakuu Katibu Mkuu wa CHADEMA ametoa angalizo hilo kwa mbunge wake atakeenda bungeni kusaliti wananchi.Hii imeripotiwa magazetini asubui.Pia imeripotiwa wabunge wa Ukawa wamerejea bungeni,huu ni upotoshaji,mbunge aliyerejea ni mmoja tu sio kama CCM wanavyopotosha
dr slaa hili fundisho kwa chadema kuwa umakini wa kuhifadhi vijana waliokulia kwenye chama ni muhimu kuliko watu waliokuwa upande fulani
hawa watu wanakuja kwa malengo tofauti tofauti