East African Eagle
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 3,759
- 2,205
Mh Mdee alimchana live bungeni huyo Leticia kwa kujipendekeza kwa magamba,na ilikuwa bungeni.
Walikuwa na mugomvi yao binafsi ya mambo ya kike taabu Mdee akaamua ku-steam out mahasira yake bungeni.Si unajua watoto wa kike wakiwa na bifu waweza lipukiana popote hata harusini