Dr. Slaa ashindwa kung'ara Shinyanga

Chukuwa like yangu mkuu
 
acha zako bwana huyu kiumbe sio mwenzio ni hatari sana ile hujapata kuona hata kama vpi ss tunamkubali sana tu
 

ulitaka afanye nini wakati mimi binafsi niliandika thread yenye title😀R.SLAA AFUNGUKA SHINYANGA NA KUIONYA SERKALI
 
Kweli bhana hapakua na taarabu na mipasho kama ya.....
 
kakosa watu kabisa kwenye mkutano..dalili mbaya mapema kwa cdm
 
Hebu weka wazi, ni kiwango kipi hasa mlichotarajia?


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Eti alikosa manjonjo!? Ndo nini? Kama ni taarabu na maigizo mi sijawahi kuona kwenye mikutano ya cdm..wasubiri ccm
 
 
Jamani msimshambulie sana kazoea manjonjo kwao. Hamjawahi kuona mkulu mwenyewa anakata kiduku cha kufa mtu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…