think3r91
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 469
- 211
Sio kusaliti tu ccm walimuua nyerere
Story hii... mwisho wake mwezi huu ukiendelea nayo... mwezi mpya tutakuja kukusalimia keko
Sio kusaliti tu ccm walimuua nyerere
Sio kusaliti tu ccm walimuua nyerere
Dr Slaa alitakiwa kujua kwamba watanzania wanataka mabadiliko. Pili watanzania wanaipenda Tanzania yao kuliko wanavyompenda yeye. Tatu katika team work huwa mnatofautiana mawazo lakini kazi inaendeelea siyo kuzira.
Nne alitakiwa awe na moyo wa kusamehe. Yeye ni kasisi. Katika mapokeo ya kanisa hakuna misa ya kumvua mtu ukasisi. EL ameteseka miaka nane juu ya Richmond. Tumsamehe. Hakuna mkamilifu. Slaa akiwa bado kwenye upadri alikuwa na mwanamke ndo huyo mwanamke wake kabla ya Josephine. Alikuwa amempangia nyumba. Baada ya kuona upadri basi hapo aliomba kutoka kwenye utumishi. Lakini kilichoanza ni kuwa na mwanamke kinyume na taratibu za upadri. Hivyo hakuna mkamilifu.
Watanzania tunataka tuue tembo (ccm), mengine baadae.
Tuipige CCM chini.
Kwi kwi munaatamani asahaulike haiwezekani hilo ndio li baba la siasa za mageuzi mfumo alioujenga ndio chadema uionayo kwa sasa unataka aanikwe kwenye matangazo au unatakaje Dr yupo with all his blessings ndio chadema ya sasa
Mtoa mada atakuwa na ugonjwa wa kusahau bila shaka, kwani Dr.Slaa kafukuzwa na nani? amekaa pembeni mwenyewe na akirudi hata leo ataendelea na nafasi yake,au umesikia kuna katibu mkuu mwingine kachaguliwa? Shida nyie watu wa CCM mnadhani mnaweza kutuendesha mtakavyo, kama lini fisi akamwonea huruma sungura? HATUDANGANYIKI !!!!!!!
Jamani nasikia Dr Slaa amerudi ccm rasmi ni kweli wana Jf?
Yaani na hili pia wamelifanya, hawa ni watu hatari sana!
Wanajanvi ni ukweli usiofichika kuwa wanachadema kwa sasa hawana muda tena kumfikiria Dr Slaa na wala hawaoni pengo lake. Hatuzisikii tena zile movement za bring back or Dr slaa, nitaondoka na dr slaa etc.
Muda mwingi wako busy na MADODOKI kumsafisha yule walomwita fisadi kwa miaka minane mfululizo bila aibu yotote.
Nawatahadharisha kuwa dhambi ya kumnyanyapaa kiasi hiki Dr Slaa aliyekiweka chama katika sura iliyopo leo, hata kikawavutia hao mnaowasafisha leo haitowaacha salama.
Wanajanvi ni ukweli usiofichika kuwa wanachadema kwa sasa hawana muda tena kumfikiria Dr Slaa na wala hawaoni pengo lake. Hatuzisikii tena zile movement za bring back or Dr slaa, nitaondoka na dr slaa etc.
Muda mwingi wako busy na MADODOKI kumsafisha yule walomwita fisadi kwa miaka minane mfululizo bila aibu yotote.
Nawatahadharisha kuwa dhambi ya kumnyanyapaa kiasi hiki Dr Slaa aliyekiweka chama katika sura iliyopo leo, hata kikawavutia hao mnaowasafisha leo haitowaacha salama.
Wanajanvi ni ukweli usiofichika kuwa wanachadema kwa sasa hawana muda tena kumfikiria Dr Slaa na wala hawaoni pengo lake. Hatuzisikii tena zile movement za bring back or Dr slaa, nitaondoka na dr slaa etc.
Muda mwingi wako busy na MADODOKI kumsafisha yule walomwita fisadi kwa miaka minane mfululizo bila aibu yotote.
Nawatahadharisha kuwa dhambi ya kumnyanyapaa kiasi hiki Dr Slaa aliyekiweka chama katika sura iliyopo leo, hata kikawavutia hao mnaowasafisha leo haitowaacha salama.
We unacheza za fisadi papa
Kaisha nunua chama chake , sasa hivi ni mwendo wa gharika sio mafuriko tena, wote ni mzobe mzobe subiri gharika likitua kila kitu ni vipande vipande hakuna Ukawa wala Kahawa na kashata