Dr. Slaa asahaulika CHADEMA

Dr. Slaa asahaulika CHADEMA

Slaa katumiwa na cdm,na tumia neno zuri kama gloves za tabibu, sasa katupwa kule hana maana tena.

Hiki ndicho kitakacho wapata wanamafuriko. Octoba walio wa weka madarakani watakuwa wanahangaika kulipa madeni ya hela walizokopa kuzitumia kwenye kugharamia mafuriko.

Hajatupwa kule ila ni upeo wako ndio ulipoishia, kajitoa yeye mwenyewe, kajificha yeye mwenyewe, sasa nyinyi wafia mtu mnataka kushawishi wenye akili kuwa mtu ni zaidi ya taasisi. Tuambieni nini kimekwama katika harakati za kisiasa za CDM?
 
Umeona wanahangaika sana hao wana DCM sku ya sku watalia na kuombole hawajui mpango wa rowasa ni kuvunja ukawa na kuitupilia mbali kabisa Tunasubilia jembe letu zito Lije lichimbue mizizi yote pyeeeeeee. Chadema ziiiiiiiiii
 
Back
Top Bottom