Hivi Dr Slaa tunamhuweka kwenye kundi gani sasa hivi?
Mpaka sasa kwangu bado ni shujaa sana kama angeongea mwanzoni tu wakati lowassa anaingia ukawa,,,chama kingekuwa nashida,,,,
Hivi Dr Slaa tunamhuweka kwenye kundi gani sasa hivi?
Mwache Dr Slaa apumzike. Hapa tunaona historia inajirudia - Mwalimu JKN alipoona hawezi kuhimili wimbi la mageuzi ya soko huria lililokuwa likivuma duniani kote, aliamua kung'atuka mwaka 1985 ili apishe watu wengine kusimamia hayo mageuzi. Na kwa uamuzi huo aliendelea kutoa ushauri kwa warithi wake na pia kuthaminiwa hadi leo kama Baba wa Taifa. Dr Slaa naye ameona hawezi kuhimili wimbi la mafuriko ya kuleta mabadiliko na amefanya uamuzi wa busara na ataendelea kukumbukwa kuwa chachu na kamanda mkuu wa ukombozi wa pili wa tiafa hili. Tutabuni kumbukumbu maalum kwa ajili yake itakayoingia katika historia ya nchi hii. Sasa hivi jukumu linalotukabili ni operesheni futilia mbali ccm.Dr slaa ndio taswira ya cdm , yeyote anayeijua cdm hawezi kumsahau maana kumsahau dr slaa ni sawa na kuisahau cdm .
Dr Slaa alitakiwa kujua kwamba watanzania wanataka mabadiliko. Pili watanzania wanaipenda Tanzania yao kuliko wanavyompenda yeye. Tatu katika team work huwa mnatofautiana mawazo lakini kazi inaendeelea siyo kuzira.
Nne alitakiwa awe na moyo wa kusamehe. Yeye ni kasisi. Katika mapokeo ya kanisa hakuna misa ya kumvua mtu ukasisi. EL ameteseka miaka nane juu ya Richmond. Tumsamehe. Hakuna mkamilifu. Slaa akiwa bado kwenye upadri alikuwa na mwanamke ndo huyo mwanamke wake kabla ya Josephine. Alikuwa amempangia nyumba. Baada ya kuona upadri basi hapo aliomba kutoka kwenye utumishi. Lakini kilichoanza ni kuwa na mwanamke kinyume na taratibu za upadri. Hivyo hakuna mkamilifu.
Watanzania tunataka tuue tembo (ccm), mengine baadae.
Tuipige CCM chini.
Dr slaa endelea kupumzika kazi uliyoifanya umemaliza magamba yanaruka na kukanyagana.
Mbona hujaelezea kasaulika kivipi?
Dr. Slaa jua kuna watu wanampenda sana nami nikiwepo.
Wanajanvi ni ukweli usiofichika kuwa wanachadema kwa sasa hawana muda tena kumfikiria Dr Slaa na wala hawaoni pengo lake. Hatuzisikii tena zile movement za bring back or Dr slaa, nitaondoka na dr slaa etc. Muda mwingi wako busy na MADODOKI kumsafisha yule walomwita fisadi kwa miaka minane mfululizo bila aibu yotote.Nawatahadharisha kuwa dhambi ya kumnyanyapaa kiasi hiki Dr Slaa aliyekiweka chama katika sura iliyopo leo, hata kikawavutia hao mnaowasafisha leo haitowaacha salama.
Tangu lini adui yako akakuonea huruma? Wanafiki nyie!!! Kama mnamtaka Slaa mwalikeni kwenu ccm, CDM ni taasisi na si mtu.
Wanajanvi ni ukweli usiofichika kuwa wanachadema kwa sasa hawana muda tena kumfikiria Dr Slaa na wala hawaoni pengo lake. Hatuzisikii tena zile movement za bring back or Dr slaa, nitaondoka na dr slaa etc. Muda mwingi wako busy na MADODOKI kumsafisha yule walomwita fisadi kwa miaka minane mfululizo bila aibu yotote.Nawatahadharisha kuwa dhambi ya kumnyanyapaa kiasi hiki Dr Slaa aliyekiweka chama katika sura iliyopo leo, hata kikawavutia hao mnaowasafisha leo haitowaacha salama.
Sio kusaliti tu ccm walimuua nyerere
Wanajanvi ni ukweli usiofichika kuwa wanachadema kwa sasa hawana muda tena kumfikiria Dr Slaa na wala hawaoni pengo lake. Hatuzisikii tena zile movement za bring back or Dr slaa, nitaondoka na dr slaa etc.
Muda mwingi wako busy na MADODOKI kumsafisha yule walomwita fisadi kwa miaka minane mfululizo bila aibu yotote.
Nawatahadharisha kuwa dhambi ya kumnyanyapaa kiasi hiki Dr Slaa aliyekiweka chama katika sura iliyopo leo, hata kikawavutia hao mnaowasafisha leo haitowaacha salama.
sasa ilikuaje Lowasa ambae alikua adui yenu mkampokea..?