Dr. Slaa asahaulika CHADEMA

Dr. Slaa asahaulika CHADEMA

Naona ccm mnaumia sana, magafuri mbuzi kafia kwa muuza supu, ni lazima tumble tu.kwani hakuna namna nyingine
 
CDM ni chama cha umma siyo cha Slaa wala Mbowe, tunasonga mbele hata kama hawa watahama kesho cdm inadumu daima
 
Wanajanvi ni ukweli usiofichika kuwa wanachadema kwa sasa hawana muda tena kumfikiria Dr Slaa na wala hawaoni pengo lake. Hatuzisikii tena zile movement za bring back or Dr slaa, nitaondoka na dr slaa etc.

Muda mwingi wako busy na MADODOKI kumsafisha yule walomwita fisadi kwa miaka minane mfululizo bila aibu yotote.

Nawatahadharisha kuwa dhambi ya kumnyanyapaa kiasi hiki Dr Slaa aliyekiweka chama katika sura iliyopo leo, hata kikawavutia hao mnaowasafisha leo haitowaacha salama.
Kampe cheo nyumbani kwako!Chadema ni taasisi sii mtu mmoja
 
Kwi kwi munaatamani asahaulike haiwezekani hilo ndio li baba la siasa za mageuzi mfumo alioujenga ndio chadema uionayo kwa sasa unataka aanikwe kwenye matangazo au unatakaje Dr yupo with all his blessings ndio chadema ya sasa
 
Aliacha upadre akijua atakua Raisi wa Tanzania hatimaye kakosa vyote na umri ndo ushamtupa mkono. Arudi tu karatu akalime Mbaazi
 
Dr slaa ndio taswira ya cdm , yeyote anayeijua cdm hawezi kumsahau maana kumsahau dr slaa ni sawa na kuisahau cdm .

mnaongea tu,dk alikuja cdm 1995 akitokea ccm,waasisi bado wapo hai,tunamhitaji dk km mtu mwngin yyt kujenga chama but we wont wait him kusonga mbeleeee.
 
Aliacha upadre akijua atakua Raisi wa Tanzania hatimaye kakosa vyote na umri ndo ushamtupa mkono. Arudi tu karatu akalime Mbaazi

tuliwahi kusema humu mwaka jana kwamba Mbowe anamtumia tu kupata washabiki na mwishoni atamtupa, basi nyumbu walishambulia sana hoja ile. Leo yako wapi, mpaka mnadiriki kusema kasahaulika! Lahaula!
 
Slaa aende tu kwanza Makamanda hatuna habari naye sisi tunawaza ukombozi pia chama si mtu ni taasisi.
 
tuliwahi kusema humu mwaka jana kwamba Mbowe anamtumia tu kupata washabiki na mwishoni atamtupa, basi nyumbu walishambulia sana hoja ile. Leo yako wapi, mpaka mnadiriki kusema kasahaulika! Lahaula!

Muda wa slaa ushaisha hana tena mvuto wa kisiasa
 
Wana izaya wanafiki wakubwa waliwahi kuimuta majina kibao mara dr slaa rais wa mioyoni mwao,mara baba yao wa kambo etc...sasa wote wamenunuliwa na Fisadi papa nyangumi
 
Slaa aende tu kwanza Makamanda hatuna habari naye sisi tunawaza ukombozi pia chama si mtu ni taasisi.

Ngoja kwanza mgombea wenu huyo mgonjwa apigwe ndio mtamkumbuka dr slaa wanafiki wakubwa
 
Mtoa mada atakuwa na ugonjwa wa kusahau bila shaka, kwani Dr.Slaa kafukuzwa na nani? amekaa pembeni mwenyewe na akirudi hata leo ataendelea na nafasi yake,au umesikia kuna katibu mkuu mwingine kachaguliwa? Shida nyie watu wa CCM mnadhani mnaweza kutuendesha mtakavyo, kama lini fisi akamwonea huruma sungura? HATUDANGANYIKI !!!!!!!
 
Back
Top Bottom