Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Wadau,
Muda mfupi uliopita nimekuwa nafanya mawasiliano na jamaa zangu walioko Mugumu kuhusu ujio wa Rais mtarajiwa Dr. Slaa. Taarifa nilizopata toka kwa watu niliowasiliana nao zinasema kwamba watu wamejitokeza kwa wingi sana kumlaki na kumsikiliza.Naambiwa amefanya mikutano Issenye, Ngoreme na Mugumu mjini ambako kumelipuka kufuatia ujio wake. Watu wamejitokeza kwa wingi mugumu mjini toka vijiji vya jirani tangu asubuhi wakitaka kumshuhudia Dr. Silaha (ndivyo wanavyomuita huko). Nimemuomba mwandishi wa habari mmoja aliyeko huko anitumie picha ili niitundike hapa. Sasahivi amemaliza kuhutubia Mugumu na ameruka kuelekea Ngorongoro.
Mwisho naomba tusisahau kujitokeza kwa wingi tarehe 31/10/2010 kupiga kura za mabadiliko ya kweli. Tuhamasishe na wengine waliokata tamaa ya kura kuibiwa. Kama alivyoshauri Mwanakijiji, kura zinaibiwa kwa baadhi yetu kutokupiga kura.
Muda mfupi uliopita nimekuwa nafanya mawasiliano na jamaa zangu walioko Mugumu kuhusu ujio wa Rais mtarajiwa Dr. Slaa. Taarifa nilizopata toka kwa watu niliowasiliana nao zinasema kwamba watu wamejitokeza kwa wingi sana kumlaki na kumsikiliza.Naambiwa amefanya mikutano Issenye, Ngoreme na Mugumu mjini ambako kumelipuka kufuatia ujio wake. Watu wamejitokeza kwa wingi mugumu mjini toka vijiji vya jirani tangu asubuhi wakitaka kumshuhudia Dr. Silaha (ndivyo wanavyomuita huko). Nimemuomba mwandishi wa habari mmoja aliyeko huko anitumie picha ili niitundike hapa. Sasahivi amemaliza kuhutubia Mugumu na ameruka kuelekea Ngorongoro.
Mwisho naomba tusisahau kujitokeza kwa wingi tarehe 31/10/2010 kupiga kura za mabadiliko ya kweli. Tuhamasishe na wengine waliokata tamaa ya kura kuibiwa. Kama alivyoshauri Mwanakijiji, kura zinaibiwa kwa baadhi yetu kutokupiga kura.