Unajua REDET walichokifanya wanajua wenyewe na ndo maana ata CCM sijawaona kushadadia ayo matokeo
Nimeona mambo mawili makubwa hapo
Mosi: kunatofauti kubwa kati ya tafiti za kisayansi zilizo endeshwa na wasomi na polls za media zinazo wezesha mtu kupiga kura hata mara 1000
Kenda:..................................
Ataapishwa kwenye ndoto ama kwenye kanisa la Kakobe? :hand:
Nilikua nasikiliza taarifa asubuhi hii kutoka Radio Free Africa, nimeshtushwa na taarifa ya mtu aliyejitambulisha kua ni mkurugenzi wa taasisi inayojishughulisha na utafiti (CACT) kama wa REDET) akiipinga report ya REDET kwa kusema taasisi yao nayo inaendelea na utafiti huo kwa njia mbalimbali, sms, emails, kuhoji moja kwa moja, etc nchi nzima.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo hadi sasa Dr. Slaa anaongoza kwa 73%, JK 12% na Lipumba 9%. Kwa mujibu wa mkurugenzi huyo anapinga kitendo cha REDET kuchagua baadhi ya mikoa na kuacha mikoa mingine especially kanda ya Ziwa ambako ndio kuna wapiga kura wengi na anapinga report yenye only 2600 samples.
Siifahamu kampuni hii (CACT), wanaJF mwenye taarifa zaidi atuhabarishe
nina babu yangu kimazichana hata kutumia internet hawezi, asilimia kubwa ya watanzania si watumiaji wa internet basi hizo on-line hatafika hata robo ya watanzania.. subiri majibu october 31st .. hapa nasubiri slaa akitafuta sababu za kushindwa kwake
I know ur jokingNi kweli mkuu CCM wenyewe wako kimya wala hawayashabikii hayo matokeo ya utafiti wa REDET maana dhamira zao zinawasuta. Inasemekana utafiti huo wa REDET uliwahusisha viongozi wa CCM kuanzia ngazi ya shina hii ina maana kuwa hata viongozi wa CCM hawamtaki Kikwete.
Mkuu nadhani hapa hatutofautiana kukubaliana kwetu,paulss, kumbuka watakopiga kura trh 31Oktoba ni hao unaowaita si wasomi kwani ndiyo walio wengi na nafasi waliyoipata kueleza msimamo wao ni kwenye hizo media unazozidharau.
Lukolo kwanini mnapenda kugeneralise, leo kwasababu tu REDET ina wasomi wa UDSM na wametoa matokeo usiyoyapenda wewe basi nchi hii haina wasomi, hivi hao wasomi wa CHADEMA wamesoma wapi? unauliza ya Ngeleja na Magembe, vipi ya Beregu na zitto? usitake niamini ndio maana mmesimamisha mwenza wa Slaa STD sevenHey, give me a break!!! wasomi wapi unaowasema?? UDSM kuna wasomi au waganga njaa? I would like to tellyou Tanzania na hasa University of Dar es salaam hakuna msomi hata mmoja . Hawa unaowaita wewe wasomi ndiyo hawa wanaoishauri serikali kuhusiana na mambo ya kiuchumi, kijamii na kisiasa, na hali ya Tanzania ndiyo hii unayoiona. Huwa wanashauri nini basi? Au usomi wao unaisaidiaje nchi? Ukitaka kujifunza zaidi kuhusu hao unaowaita wasomi, angalia ni nin wanafanya wakiingia kwenye siasa. Pumba tupu!! Utalinganisha vipi utendaji wa Ngeleja na Professor Magembe?
My friend, ondoa kabisa habari ya wasomi uchwara hawa wanaotafuta kupata chochote kutoka CCM. Jiulize ni kwa vipi utafiti wa Synovate ulizuiwa usitangazwe halafu wa REDET ukashadadiwa hivyo? Hapa hakuna kitu kabisa, REDET ni toilet paper ya CCM.
Mkuu nakubaliana na wewe kabisa nina hakika ni asilimia kama 1,5 ndio wana access na netnina babu yangu kimazichana hata kutumia internet hawezi, asilimia kubwa ya watanzania si watumiaji wa internet basi hizo on-line hatafika hata robo ya watanzania.. subiri majibu october 31st .. hapa nasubiri slaa akitafuta sababu za kushindwa kwake