Tupo vitani tukitetea rasilimali zetu yakiwemo madini na makanikia, so wenzetu mnaoishi Canada makao makuu ya adui tujulishane yanayojiri huko. BTW Katibu Mkuu wa Chadema mstaafu aishiye huko Canada anafanya shughuli gani ya kumuingizia kipato?
Tupo vitani tukitetea rasilimali zetu yakiwemo madini na makanikia, so wenzetu mnaoishi Canada makao makuu ya adui tujulishane yanayojiri huko. BTW Katibu Mkuu wa Chadema mstaafu aishiye huko Canada anafanya shughuli gani ya kumuingizia kipato?