Dr. Slaa aomba ukimbizi Canada

Dr. Slaa aomba ukimbizi Canada

Ileje

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
11,821
Reaction score
18,058
Habari za kutoka magazetini leo asubuhi itv zimesema kuwa Dr. Slaa ameomba ukimbizi huko Canada kwa madai kuwa maisha yake yamo hatarini Tanzania!

Swali: Ni nani huyo anayetishia uhai wa Dr.Slaa?
 
Habari za kutoka magazetini leo asubuhi itv zimesema kuwa Dr. Slaa ameomba ukimbizi huko Canada kwa madai kuwa maisha yake yamo hatarini Tanzania!

Swali: Ni nani huyo anayetishia uhai wa Dr.Slaa?

Mwizi akiingia nyumbani kwako ujue ama zake au zako
 
Swala la lipumba...na dr slaa ni tofauti..

Mahangaiko yanayomsumbua dr ni mengi.... usaliti wa chama na kanisa... ni vitu hatari sana...

Lipumba anaweza kuomba msamaha akasamehewa ikumbukwe wakati anajiengua kwenye kiti chake bado hajakaa mbali na siasa...

Huyu dr makando ni mengi mara familia...mara chama...mara kanisa...mara bango la nyumba...
 
Mbona kijana wake Mzee Mwanakijiji karudi TZ nasikia?

Magufuli kagoma kumpa ubunge ina maana?

mbona Lipumba yupo na anadunda?
Nadhani anafuata ushauri wa Josie binti Mshumbusi.

Maisha yake yawe hatarini kwa lipi hasa???
 
Mbona kijana wake Mzee Mwanakijiji karudi TZ nasikia?

Magufuli kagoma kumpa ubunge ina maana?

mbona Lipumba yupo na anadunda?
Mkuu tatizo yule mzee ameshikiwa akili na yule mama ndio maana anatapatapa
 
Chezea Ccm wenye,Washamtumia na kumdampo.Sasa anaona aibu mke keshakula nyumba.Afadhali apotelee huko huko maisha yake yote.
Watanzania hawamwitaji tena.
 
Naomba viongozi wakuu wa ukawa waitishe harambee tumchangie babu arudi bongo...ikiwezekana tumnunulie nyumba...na tumpe onyo kiwa sisiem hawafadhiriki na tumtakie maisha mema...pia wakati huo gwajima amwambie josephine aachane nae....tumtafutie bibi mwinzake waleane wasubiri siku....ndio maisha atafanyaje sasa..
 
Back
Top Bottom