Dr Slaa ang'ara katika salam za Mwaka 2014,

Dr Slaa ang'ara katika salam za Mwaka 2014,

Status
Not open for further replies.
Uzuri safari za Kikwete zina mafanikio mengi. Sasa katibu mkuu anazurura kila siku???
Hayo ni matumizi mabaya ya Fedha za chama....

Zina mafanikio mengi?ndivyo mnavyodanganya?Deni la Taifa limefikia Trillioni tatu(3,000,000,000,000/= kwa safari hizihizi mnazodai zina mafanikio,na bado bajeti ni tegemezi kwa asilimia 50!?
 
Dr Slaa anapenda sana kusafiri. Hivi hizo hela za safari za kila siku si bora
zipelekwe sehemu nyingine. Wana cdm kataeni hizi ziara.

Na anazo tumia rais magamba unazijua ni ngapi?
Kwa muda wote wa uraisi wake gharama za safari zake zinatosha kujenga zahanati na kuboresha huduma nyingine kwa baadhi ya vijiji.
Ungekuwa mfano mzuri kama ungeanza kuzikataa ziara za rais mizigo kwa kuto wapa nafasi ya kwendelea kuwa tawala watanzania na siraha yako pekee ni kura yako 2015.
 
Muulize Rais dhaifu,ni safari ya 360 ,miaka mitatu nje ya nchi!Hizo hela zimetoka wapi?

kwa hiyo na nyie inabidi muendeleze uozo huu huu wa safari kwa sababu JK ana safari 360.
 
Ebu mwambie huyo Rais Magamba alekebisha hapo
o.
images
 
rais wa watanzania....Mungu ambariki Dr Slaa.
 
Dr slaa siku akifa mdomo atauacha wazi kwa ajili ya UONGO
 
kwa hiyo na nyie inabidi muendeleze uozo huu huu wa safari kwa sababu JK ana safari 360.

Tatizo ni safari za malengo gani?Hizi safari za JK za kwenda kuzindua filamu marekani kwa gharama ya kodi ya watanzania?
 
M4c iboreshwe! Kuanzia mwezi wa 10 uchaguzi wa serikali za mitaa! Dr. Slaa apange timu mapema!
Huu uchaguzi utakuwa kwa katiba ipi maana kama sielewi elewi na vyama jicho wameliweka 2015 wakati huu wa serikali za mitaa ndio msingi wa mambo yote
 
Ha haha haaaaa mumkumbushe umeme umepanda huku,mazoezi kwa vitendo sasa; mambo ya kusifiwa yashatuponza tayari!!!!
 
Dr slaa siku akifa mdomo atauacha wazi kwa ajili ya UONGO
The world is turning around Yesterday becomes tomorrow when lies are said to be the truth and truth is said to be lie.
"No truth in this world"
 
...watanzania tunaimani na uwezo wa dr.slaa na toko radhi uongoze tanganyika...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom