nosocomial
JF-Expert Member
- Dec 6, 2013
- 404
- 45
Dr. Slaa we andaa ratiba na timu za ukweli kufanya mageuzi kama yale ya mwKa juzi na jana mwanzo ili octoba chaguzi zikianza tupite kiurahisi saaaanaa
Uzuri safari za Kikwete zina mafanikio mengi. Sasa katibu mkuu anazurura kila siku???
Hayo ni matumizi mabaya ya Fedha za chama....
Alipaka yale mafuta yanaitwa MAMIS au AYU ( SLAA ni mlaghai haaminiki, weka mbali na wake za watu)
Dr Slaa rais wangu mtarajiwa.
Dr Slaa anapenda sana kusafiri. Hivi hizo hela za safari za kila siku si bora
zipelekwe sehemu nyingine. Wana cdm kataeni hizi ziara.
Katika hali ya kutia hamasa,
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema) Dr Wilibroad Slaa katika siku za awali za mwaka (2014),
Ameorodheshwa katika jarida la Uchambuzi wa siasa nchini Ujerumani kama Mtu mwenye ushawishi zaidi, katika kanda ya Afrika Mashariki, Dr Slaa ambae amewahi kuwa mgombea wa Uongozi wa juu kabisa Nchini Tanzania, Anaangaliwa zaidi kwa jicho la karibu na watanzania walio wengi,
Akifanya Mahojiano katika jimbo la Bavaria,Mhariri wa gazeti la kila siku Nchini Ujerumani,Iern Madrne, Aliwapa Maono yake kuhusu nchi zinazoendelea hususani Nchi za Afrika Mashariki, Na kupongeza kazi inayofanywa na chama cha Upinzani nchini Tanzania Chadema,
Dr Slaa anatarajiwa kuwa na Ziara ya kikazi katika Jimbo la Bavaria Nchini Ujerumani hapo baadae mwaka huu.
anaenda kucheki afya yake na mrembo wake(ukiwa ni sehemu ya matumizi ya zile pesa za ruzuku zinazomgombanisha na akina mwigamba,kitilya,na zitto ),na pia akapeleke taarifa ya pesa za chama cha conservative,kuanzishwa kwa gazeti la tanzania daima ambalo sasa lipo mikononi mwa mbowe family.-wakati chama hicho cha ujerumani kikijua kilitoa mtaji kwa chadema kuanzisha gazeti la kiharakati,kumbe mwenyekiti aliugeuza mradi wa gazeti kuwa wa familiya)na zaidi huko nako atarajie upinzani kama wa kigoma,maana zitto kabwe ndo maarufu huko ujerumani kuliko dr.slaa,na ni zitto aliyeitambulisha chadema huko ujerumani.
Rais wa wazee au wa waporaji wake za watu?
Body without head
Anaenda kucheki afya yake na mrembo wake(ukiwa NI sehemu ya MATUMIZI ya ZILE PESA ZA RUZUKU zinazomgombanisha NA AKINA MWIGAMBA,KITILYA,NA ZITTO ),na pia akapeleke taarifa ya pesa za chama cha conservative,kuanzishwa kwa gazeti la tanzania daima ambalo sasa lipo mikononi mwa mbowe family.-WAKATI CHAMA HICHO CHA UJERUMANI KIKIJUA KILITOA MTAJI KWA CHADEMA KUANZISHA GAZETI LA KIHARAKATI,KUMBE MWENYEKITI ALIUGEUZA MRADI WA GAZETI KUWA WA FAMILIYA)na zaidi huko nako atarajie upinzani kama wa kigoma,maana zitto kabwe ndo maarufu HUKO UJERUMANI kuliko dr.slaa,na ni zitto aliyeitambulisha chadema huko ujerumani.
Kwa kupenda kusafiri una maana ya Dr. Slaa au Dr. Kikwete? Nakubaliana na wewe kuwa ikibidi CDM waandamane kupinga ziara za JK nje ya nchi kwani fedha za safari hizo zingeweza kupelekwa mahospitalini wamama wanaojifungua wasingelala sakafuni!Dr Slaa anapenda sana kusafiri. Hivi hizo hela za safari za kila siku si bora
zipelekwe sehemu nyingine. Wana cdm kataeni hizi ziara.
Uzuri safari za Kikwete zina mafanikio mengi. Sasa katibu mkuu anazurura kila siku???
Hayo ni matumizi mabaya ya Fedha za chama....