Dr Slaa ang'ara katika salam za Mwaka 2014,

Dr Slaa ang'ara katika salam za Mwaka 2014,

Status
Not open for further replies.
Usinilishe maneno kijana
Jibu hoja kwanini picha ya jk pale ajilegeze hivo wakati ni Chief wa Makamanda?

Leta hoja za maana utajibiwa lakini sio hizi za kitoto na sijui kujilegeza ni nini?
Na umetumia kipimo gani kujua hilo la kujilegeza?
Usitake tuongeze page kwa kubishana kwa hayo mambo yako ya kitoto unayo yaita hoja.
 
Dr Slaa anapenda sana kusafiri. Hivi hizo hela za safari za kila siku si bora
zipelekwe sehemu nyingine. Wana cdm kataeni hizi ziara.

kataeni kwanza ziara za mwenyekiti wa ccm anayekwenda mpaka kubembea kwenye nchi za watu
 
Leta hoja za maana utajibiwa lakini sio hizi za kitoto na sijui kujilegeza ni nini?
Na umetumia kipimo gani kujua hilo la kujilegeza?
Usitake tuongeze page kwa kubishana kwa hayo mambo yako ya kitoto unayo yaita hoja.

kama kusoma hujui hata picha huioni.
Kweli buku saba zimewakolea.
 
Walevi kama wewe wote mnaimani naye kwa vile karuhusu gongo itumike akiwa madarakani sasa kwa nini msimpende.
We maku kweli maana unaongea upuuzi tu unabadilisha tafsiri ya maneno ya mtu nakuweka ya kwako.
 
Nimekuambia leta hoja nitakujibu kama hauna kaa kimya.

Kama hamna hoja,yanini kufuatilia huu uzi we kiazi? Kaa kimya wewe hapa Jamiiforums hatufundishwi uoga,
Hoja yako ya msingi ni ipi kama sio kudaka maneno?
 
Dr Slaa bado tunakuhitaji, watanzania tumejenga imani juu yako, Mungu akulinde na maadui wanaokutafuta kila uchao, na kamwe hawatakuweza, maana maana Mungu yu pamoja nawe.
 
Uzuri safari za Kikwete zina mafanikio mengi. Sasa katibu mkuu anazurura kila siku???
Hayo ni matumizi mabaya ya Fedha za chama....
Fedha za chama cha chadema wewe@gamba zinakuhusu nini???
 
Dr.Slaa anaweza..njinsi anavyo cdm kuwa tasisi imara ni ushahidi tosha..hongela sana dk.
 
Dr.Slaa anaweza..njinsi alivyo ifanya cdm kuwa tasisi imara ni ushahidi tosha..hongela sana dk.
 
Slaa keshajichokea zake, hata yeye anashangaa inakuwaje mnampa sifa ambazo hana.
 
Kuna Mwanaharakati mmoja aliwahi kuniambia, kinachomuweka Slaa pale CHADEMA ni ruzuku, ukitaka kujua Slaa ana hasira, tishia kuzuia ruzuku!
 
Ruzuku ni ya CHADEMA na si mali ya CCM, mwacheni Dr. Slaa azile kazi anafanya mlitaka akale wapi?, Nasema azile tuu!!, zikiisha Dr. tuambie kuchange!.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom