Dr Slaa ang'ara katika salam za Mwaka 2014,

Dr Slaa ang'ara katika salam za Mwaka 2014,

Status
Not open for further replies.
QUOTE=Mandla Jr.;8381238]Dr Slaa anapenda sana kusafiri. Hivi hizo hela za safari za kila siku si bora
zipelekwe sehemu nyingine. Wana cdm kataeni hizi ziara.[/QUOTE]

Fastjet uta muweka kundi gani ukiaza kumnyoshea kidole Dr.Slaa???
 
DR SLAA NDIYE MTU MAARUFU ZAIDI east and central africa kwa hivi sasa , KWA HIYO HAO WAJERUMANI HAWAJANISHANGAZA KABISA .
 
Kuna Mwanaharakati mmoja aliwahi kuniambia, kinachomuweka Slaa pale CHADEMA ni ruzuku, ukitaka kujua Slaa ana hasira, tishia kuzuia ruzuku!

We kweli choo,cdm iliasisiwa na ikasavive bila ruzuku kwa miaka mingi sembuse sasa ambapo kina wanachama kibao tz? tunaweza kukichangia hata buk 1@mwanachama na kikaendelea na kazi zake! acha kufananisha cdm na maccm ambayo yana ruzuku kubwa+majengo,viwanja yalivyopora kwa umma wa watz lakn bado yanalia njaa!
 
DR SLAA NDIYE MTU MAARUFU ZAIDI east and central africa kwa hivi sasa , KWA HIYO HAO WAJERUMANI HAWAJANISHANGAZA KABISA .

Hebu tuwekee vigezo vya uchaguzi na wanaofuatia mpaka namba kumi nasi tuongeze ufahamu
 
Kuna Mwanaharakati mmoja aliwahi kuniambia, kinachomuweka Slaa pale CHADEMA ni ruzuku, ukitaka kujua Slaa ana hasira, tishia kuzuia ruzuku!

ha ha ha ndio maana ana hasira sana na zito kabwe kwa sababu 'hakuwatonya'
 
We kweli choo,cdm iliasisiwa na ikasavive bila ruzuku kwa miaka mingi sembuse sasa ambapo kina wanachama kibao tz? tunaweza kukichangia hata buk 1@mwanachama na kikaendelea na kazi zake! acha kufananisha cdm na maccm ambayo yana ruzuku kubwa+majengo,viwanja yalivyopora kwa umma wa watz lakn bado yanalia njaa!

Toeni hizo buku buku zenu, zitaliwa kama kawaida na hakuna kipya kitakachoendelea, kama CHADEMA inalipwa milioni zaidi ya 200 kwa mwezi na serikali, bado chama hakina hata ofisi huogopi wewe?
 
hivi dr. Aliondoka ccm lini? Yaani amezeeka ndiyo anang`ara, siku zote alikuwa wapi??????? Namuonea huruma kwan urais atausikilizia ndotoni
nafkiri huu ni ushahidi kuwa ccm ni chama butu.kama mlikuwanaye miaka hiyo hakun'gara mpaka pale alipojiunga na cdm,basi cdm ni timu inayojua kumtumia mchezaji.
 
Mawazo mgando na gamba lako. Dr hana safari nyingi kama alivyo ndugu yenu mliyemchagua.
 
Dr Slaa anapenda sana kusafiri. Hivi hizo hela za safari za kila siku si bora
zipelekwe sehemu nyingine. Wana cdm kataeni hizi ziara.

Mkuu Slaa atamfikia mpendwa wetu JK?
 
Dr Slaa anapenda sana kusafiri. Hivi hizo hela za safari za kila siku si bora
zipelekwe sehemu nyingine. Wana cdm kataeni hizi ziara.
rais wako na mwenyekiti wa chama chako anayechuana na obasanjo kasafiri mara ngapi vile mpaka akahitwa aka fast jet?
 
Wewe unaonyesha dhahiri kuwa ni mmoja wapo wa misukule ya pale lumumba. poor you.

Swala la mimi kuwa msukule ni lingine na swala na kutokuwezekana kwa slaa kuwa rais ni lingine mkuu,, ila swala ni kwamba chedema mtaendelea kushika pembe hadi mwisho wa dunia huku wenzenu ccm wakikamua madhiwa,.
 
QUOTE=Mandla Jr.;8381238]Dr Slaa anapenda sana kusafiri. Hivi hizo hela za safari za kila siku si bora
zipelekwe sehemu nyingine. Wana cdm kataeni hizi ziara.

Fastjet uta muweka kundi gani ukiaza kumnyoshea kidole Dr.Slaa???[/QUOTE]

hiyo inaitwa ngumi ya chembe .
 
Siku zinavyokwenda CCM watsikia kila nchi ya Ulaya ikiandika similar things.....halfu ndipo matamko yaanze tolewa dhidi ya CCM na kuimaliza kabisa.
 
Dr Slaa anapenda sana kusafiri. Hivi hizo hela za safari za kila siku si bora
zipelekwe sehemu nyingine. Wana cdm kataeni hizi ziara.

pengine una uatani na JK..ila sishngai mlivyokosa adabu mnaweza hta uza wzazi wenu ktk madanguro ili mfikie malengo haramu....
 
M4c iboreshwe! Kuanzia mwezi wa 10 uchaguzi wa serikali za mitaa! Dr. Slaa apange timu mapema!

Program ya CHADEMA ni msingi imewaandikisha watu vijijini utadhani sensa, CHADEMA si mchezo, na uchaguzi wa Serikali za Mitaa ccm awamu hii lazima wabebeshwe hii kitu:mimba:
 
Huo ndo ukwel ambao dunia nzima inauelewa lakn watz hatuutambui haswa! Dr kichwa wa ukwel.
 
vipi, zzk yuko nafasi gani maana naye anatembeleaga hiyo nchi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom